interlacustrineregion
JF-Expert Member
- Oct 28, 2018
- 7,134
- 7,395
Nakwambia hivi, mimi nina urefu wa futi 5.10, kama sipo katika kundi la Watu warefu basi andamana, maana ni saizi ya urefu wa kati kabisa nikiwa nimebakiwa na nchi 2 tu nifikie urefu wa saizi ya juu kabisa(futi 6).
Wewe una lako jambo kuna mtu umemlenga ila kumtaja huwezi, ila yeye si alioa mwanamke mrefu?Kwanza Hongereni kwa kufanikiwa kufuzu AFCON mwaka huu baada takribani ya miaka 38.
Pil tu niwe muwazi mimi ni mmoja ya wale tuliopata bahati ya kuwa warefu.
Ila kusema ukweli watanzania wengi wafupi mno kwa kweli. Nadhani kuna haja ya kulitazama hili swala kwa jicho la tatu, kwa mstakabali wa mwendelezo wa kizazi chetu. Ikiwezekana mashuleni kwenye mambo ya genetics basi wanafunzi wafundishe hata unapotaka kuchagua mwenza basi hakikisha angalau unachagua yule mnaepisha kimo ili angalau kutokomoza tatizo la ufupi.
Kwa sababu nimegundua pia inachangiwa pia unakuta mtu mfupi then anaoa mfupi mwenzia.
Inashangaza mimi naonekana mrefu wakati ukienda maeneo mengine mimi ni wakawaida tu. Sijabahatika kufika nchi za wenzetu hasa ulaya, lakini hawa wote ninaowaonaga hapa kwetu wengi ni wana vimo vya kuridhisha sana. Yaani hata mimi nikikaa katikati yao naonekana wa kawaida tu. Ukiangalia hata hapa Afrika mashariki wenzetu kuna unafuu aisee.
Nb:samahanini kwa wale warefu kwenda chini kama nitakuwa nimewakwaza.
[emoji2398]troublemaker 2019. all right received.
Acha kujitetea, afu inaonekana wewe ndiwe utakuwa Mtu mfupi maana ubishi ni vinasaba vya Mtu mfupi kabisa.Khs suala la wanawake kujifungua kwa operation siku hizi huko kwny ma hosp. Especially Private hosp. ni mzazi mwenyewe kuchagua anataka kujifungua kwa style gani,govt hosp. ndio wako strictly kwny suala hilo.
Sasa kama wanaume wa vijijini wana nguvu za kutosha mbona wanaume wa dar wakija huko vijijini kwenu wanapigia mbupu dada zenu/wake zenu mlionao huko shamba?
Sent using Jamii Forums mobile app
wanawake wafupi ni watamu balaa Sijawahi kuona aisee...Hahahah watu wafupi hawachepukagi e?
Nakwambia hivi, mimi nina urefu wa futi 5.10, kama sipo katika kundi la Watu warefu basi andamana, maana ni saizi ya urefu wa kati kabisa nikiwa nimebakiwa na nchi 2 tu nifikie urefu wa saizi ya juu kabisa(futi 6).
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli ndo maana mfalme wetu ana hasira za harakaNilisoma sehemu wanasema watu wafupi wanakua na hasira muda mwingi sababu mfuko wa mavi unakua karibu na moyo so sababu ya lile joto kila saa moyo unakua juu juu na inaleta hasira.
No hard feelings,tusameheane.
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kujitetea, afu inaonekana wewe ndiwe utakuwa Mtu mfupi maana ubishi ni vinasaba vya Mtu mfupi kabisa.
Wanawake wengi husumbuliwa na mavyakula haya ya kisasa hata hivi karibuni nilikuwa pale TAZARA ktk hospitali ya Dar Group nikishuhudia daktari akimfokea sana Mama m1wapo ya wajawazito kwa kulalamikiwa Mtoto ni mkubwa sana kuliko saizi ya uke wake kumtoa tumboni, so itabidi afanyiwe operation.
Pili Wanawake wengi hupata hata kansa za vizazi, kuota mandevu kama Boko Haram na kuzeeka mapema 7bu ya hayo hayo mavyakula feki.
"Ukitaka kujifunza ni heri kuwa msikilizaji na kukubali kufunzwa siyo kujifanya unajua kila kitu"
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana Messi nimempita mbali sana, labda nije nirejee tena ktk nukuu za vipimo vya nyuma, maana 2006 nilifaulu kuchaguliwa kwa vipimo vya kujiunga na polisi tokana na urefu niliokuwa nao, na hata ufanano wa Baba mzazi na mimi ni Mtoto wa pekee kati ya Wanaume wa4 ktk familia yetu kwa kuchukua urefu wa Baba Mzazi.5.10 aisee mbona umedumaa kabisaa,huo urefu wako umejilinganisha na messi au?maana yeye ni 5'17"
Wewe bado ni ka-shotii sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Daah kweli ufupi ni tatizo linaloleta ubishi sana,nenda kacheki statistics kati ya private hosp vs Govt hosp. ni wapi kuna wazazi wengi wanaojifungua kwa njia ya operation sio umekalia vyakula sijui vimefanya nini.
Msalimie dr. Ndodi hapo
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana Messi nimempita mbali sana, labda nije nirejee tena ktk nukuu za vipimo vya nyuma, maana 2006 nilifaulu kuchaguliwa kwa vipimo vya kujiunga na polisi tokana na urefu niliokuwa nao, na hata ufanano wa Baba mzazi na mimi ni Mtoto wa pekee kati ya Wanaume wa4 ktk familia yetu kwa kuchukua urefu wa Baba Mzazi.
Sema siku-concentrate sana na vipimo vyangu kipindi hicho.
Lakini wewe ni mfupi kabisa kuliko hata hicho kipimo cha Messi ndiyomaana hata hapa unaendekeza ubishi usio na tija yoyote.
Jitambue dogo kiakili na maarifa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ama kweli wewe ni Mawatu, kama wewe ni Mama yangu mzazi basi mi nitakuwa mfupi lkn kama wewe ni mbishi wa kiukoo basi nimekuinulia mikono juu maana wengine mmerithishwa ubishi.
Wasalimie sana waliokuzaa kwa kupata hasara za kujifanya unajua kila kitu kumbe ni kuu la mataira duniani kote.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe si umesema una 5'10"?
Messi yeye ana 5'17" sasa unakua umemzidi vp Messi?daah kweli braza ufupi na ubishi kuna undugu aisee.
So ukifuzu kuchaguliwa huko police ndo ina prove nini,mbona huku mtaani kuna police wafupi wengi balaa.,hahah.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza Hongereni kwa kufanikiwa kufuzu AFCON mwaka huu baada takribani ya miaka 38.
Pil tu niwe muwazi mimi ni mmoja ya wale tuliopata bahati ya kuwa warefu.
Ila kusema ukweli watanzania wengi wafupi mno kwa kweli. Nadhani kuna haja ya kulitazama hili swala kwa jicho la tatu, kwa mstakabali wa mwendelezo wa kizazi chetu. Ikiwezekana mashuleni kwenye mambo ya genetics basi wanafunzi wafundishe hata unapotaka kuchagua mwenza basi hakikisha angalau unachagua yule mnaepisha kimo ili angalau kutokomoza tatizo la ufupi.
Kwa sababu nimegundua pia inachangiwa pia unakuta mtu mfupi then anaoa mfupi mwenzia.
Inashangaza mimi naonekana mrefu wakati ukienda maeneo mengine mimi ni wakawaida tu. Sijabahatika kufika nchi za wenzetu hasa ulaya, lakini hawa wote ninaowaonaga hapa kwetu wengi ni wana vimo vya kuridhisha sana. Yaani hata mimi nikikaa katikati yao naonekana wa kawaida tu. Ukiangalia hata hapa Afrika mashariki wenzetu kuna unafuu aisee.
Nb:samahanini kwa wale warefu kwenda chini kama nitakuwa nimewakwaza.
[emoji2398]troublemaker 2019. all right received.
Urefu ingekuwa Deal basi wachina wangekuwa wanaongoza kwa umaskini duniani!Kwanza Hongereni kwa kufanikiwa kufuzu AFCON mwaka huu baada takribani ya miaka 38.
Pil tu niwe muwazi mimi ni mmoja ya wale tuliopata bahati ya kuwa warefu.
Ila kusema ukweli watanzania wengi wafupi mno kwa kweli. Nadhani kuna haja ya kulitazama hili swala kwa jicho la tatu, kwa mstakabali wa mwendelezo wa kizazi chetu. Ikiwezekana mashuleni kwenye mambo ya genetics basi wanafunzi wafundishe hata unapotaka kuchagua mwenza basi hakikisha angalau unachagua yule mnaepisha kimo ili angalau kutokomoza tatizo la ufupi.
Kwa sababu nimegundua pia inachangiwa pia unakuta mtu mfupi then anaoa mfupi mwenzia.
Inashangaza mimi naonekana mrefu wakati ukienda maeneo mengine mimi ni wakawaida tu. Sijabahatika kufika nchi za wenzetu hasa ulaya, lakini hawa wote ninaowaonaga hapa kwetu wengi ni wana vimo vya kuridhisha sana. Yaani hata mimi nikikaa katikati yao naonekana wa kawaida tu. Ukiangalia hata hapa Afrika mashariki wenzetu kuna unafuu aisee.
Nb:samahanini kwa wale warefu kwenda chini kama nitakuwa nimewakwaza.
[emoji2398]troublemaker 2019. all right received.
Dogo mimi ndiye wa kumponda Messi afu anizidi tena urefu?
Hivi akili zako zina akili kabisa kichwani au nabisahana na kimeo hapa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Aliyedumaa alikuwa ni Mess hadi walimchoma baadhi ya sindano ilibkumuongeza kimo lkn Ng'olo Kante ni NO.Hahah aisee naona hasira za andunje zimefumuka,sasa tunaenda pamoja emolo.
Msalimie mamako hapo,mwambie mtu mfupi namsalimia kwa dhati.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtoa mada vipi kuhusu wachina na ule ufupi wao ukilinganisha na akili zao pamoja na maendeleo yao.
Urefu ingekuwa Deal basi wachina wangekuwa wanaongoza kwa umaskini duniani!