Penologist
JF-Expert Member
- Feb 25, 2019
- 790
- 1,923
Kati ya mwenye 5'10" Vs 5'17" yupi ni mrefu.
Kama hukukimbia umande lkn?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahah chalii unayo shida mahali aisee,mzee wa 5'10" a.k.a mrefu wa ukoo wenu hahah.Aliyedumaa alikuwa ni Mess hadi walimchoma baadhi ya sindano ilibkumuongeza kimo lkn Ng'olo Kante ni NO.
Umeona hiyo comment nimemjibu nayo Mtu, then unaleta ukilaza wako hapa, jitambue wewe toto la mama.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Awkward Question!Sasa kwanini Wachina hawa waambukizi akili ndg zao ma-emolloo wa kule misitu ya Congo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli ila jitahidi urefu kidogo,maana na huo ufupi wako+huo unene ukivaa nguo nyekundu ukitembea barabarani utadhani ni kibanda cha mpesa kinatembea.Ngoja niachane na wewe maana wakati mwingine unaweza kukimbizana na kichaa aloyechukua nguo zako akioga ukidhani unataka upate haki yako kumbe wewe ndiyo kichaa 7bu uko uchi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahah chalii unayo shida mahali aisee,mzee wa 5'10" a.k.a mrefu wa ukoo wenu hahah.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa andunje ila next tyme jitahidi uchore 7 fasta hapo Kabla ya discussion.
ole wako uoe mwanamke mfupi halafu mwanasheria msomi....maji utaita mmaKama mtu mfupi kampenda mfupi mwenzake anasaidiwaje huyo?
#nooffence...hakunaga kazi ngumu kama kudeal na mtu mfupi...ni heri waowane/tuowane wenyewe kwa wenyewe tu
Sawa andunje ila next tyme jitahidi uchore 7 fasta hapo Kabla ya discussion.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa unasikia wewe popoma, kweli google raha sana.Sawa andunje ila next tyme jitahidi uchore 7 fasta hapo Kabla ya discussion.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakwambia hivi, mimi nina urefu wa futi 5.10, kama sipo katika kundi la Watu warefu basi andamana, maana ni saizi ya urefu wa kati kabisa nikiwa nimebakiwa na nchi 2 tu nifikie urefu wa saizi ya juu kabisa(futi 6).
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila mkuu tukisema wachina ni wafupi tunakosea, wachina wanateseka na nchi yao wana shida kinyama, usoshalisti kama ilivyo tanzania ni Mateso tupu, mdau mmoja alisema lishe kipindi cha ukuaji husababisha ufupi, hivyo wachina dhiki ndo zimewafupisha, ila Marekani na ulaya lishe bora kipindi cha makuzi ndo kimewarefusha.China ni wafupi ila wana jeshi imara sana. China ni wafupi, lakini kazi yao kwenye teknolojia si kitoto. So kama urefu ni akili hayo mambo ya chromosomes, wachina wangeyaelewa ili wapate warefu. Ila pia, ukipata chance ya kutengeneza 'hybridi' na couple ndefu si mbaya. Urefu pia ni mzuri kwa bongo hasa ukiwa mwalimu maana unaweza andika ubaoni bila kusimamia kucha, na kuwaona vizuri watoto wanaotoroka shule, lakini marekani urefu uleule ungekufanya uwe na pesa kwa kucheza kikapu.!.hahahahaha!(tusake pesa vimo hivi kama havitupi maslahi havina maana kwetu-kimo ni fursa)
Ukilibganisha na wachina ni kama ng'ombe amuulize mbuzi nyie mbona wafupi hamna akili. Wachina kule ndio urefu waoMtoa mada vipi kuhusu wachina na ule ufupi wao ukilinganisha na akili zao pamoja na maendeleo yao.
Urefu ingekuwa Deal basi wachina wangekuwa wanaongoza kwa umaskini duniani!
Mungu akasema na tufanye mtu kwa mfano wetu" so huwezi jua kimo cha mungu ama ni mrefu ama ni mfupi...acha kudhihaki viumbe vya muumba wetuKwanza Hongereni kwa kufanikiwa kufuzu AFCON mwaka huu baada takribani ya miaka 38.
Pil tu niwe muwazi mimi ni mmoja ya wale tuliopata bahati ya kuwa warefu.
Ila kusema ukweli watanzania wengi wafupi mno kwa kweli. Nadhani kuna haja ya kulitazama hili swala kwa jicho la tatu, kwa mstakabali wa mwendelezo wa kizazi chetu. Ikiwezekana mashuleni kwenye mambo ya genetics basi wanafunzi wafundishe hata unapotaka kuchagua mwenza basi hakikisha angalau unachagua yule mnaepisha kimo ili angalau kutokomoza tatizo la ufupi.
Kwa sababu nimegundua pia inachangiwa pia unakuta mtu mfupi then anaoa mfupi mwenzia.
Inashangaza mimi naonekana mrefu wakati ukienda maeneo mengine mimi ni wakawaida tu. Sijabahatika kufika nchi za wenzetu hasa ulaya, lakini hawa wote ninaowaonaga hapa kwetu wengi ni wana vimo vya kuridhisha sana. Yaani hata mimi nikikaa katikati yao naonekana wa kawaida tu. Ukiangalia hata hapa Afrika mashariki wenzetu kuna unafuu aisee.
Nb:samahanini kwa wale warefu kwenda chini kama nitakuwa nimewakwaza.
troublemaker 2019. all right received.
Nilisoma sehemu wanasema watu wafupi wanakua na hasira muda mwingi sababu mfuko wa mavi unakua karibu na moyo so sababu ya lile joto kila saa moyo unakua juu juu na inaleta hasira.
No hard feelings,tusameheane.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hujanielewa!Ukilibganisha na wachina ni kama ng'ombe amuulize mbuzi nyie mbona wafupi hamna akili. Wachina kule ndio urefu wao
Sent using Jamii Forums mobile app