Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Na wafupi tuimbe Hallelujah[emoji445]
Umesahau hata kwenye kuhonga tuko very smart, achilia mbali ndoa zetu kudumu[emoji39]
πππππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wafupi tuimbe Hallelujah[emoji445]
Umesahau hata kwenye kuhonga tuko very smart, achilia mbali ndoa zetu kudumu[emoji39]
Dah! KudadadekiMm ni mrefu kabisa na mke wangu mrefu kabisa na msambwanda wa kumwaga kabisa.. Ila nyumba ndogo nyumba ya kupooza kiu ni fupi na tak.0 kubwaaaaaaa la kiarab yaani...
Haaa ππππ mtaongea kila baya na zuri lakini sababu halisi hamtazijua,that z nature inatokea tuGenerally wanawake wengi wana Low regard kuhusu wanaume wafupi. Wanapendelea wanaume matolu. Tena wengi hupenda hata akivaa High heels asimzidi Mwanaume wake. Ili ajiskie salama zaidi.
But
Wanaume wafupi wanajua kupachika mimba sana. Ukigusa tu, imenasa!. Na wengi huamini heshima yao itapatikana kutokana na idadi ya wanawake watakaowalala.
Zipo Variables zinazopelekea wadada kujikuta wanaangukia kuliwa na wanaume wafupi.
Mf. Wanaume warefu huaminika kua wanaringa nk.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpwa na wewe mfupi nini?Nilifikiri wafupi kiakili kumbe kiumbo.
Haina shida.
Binafsi ni mfupi ila huwa napenda kutania wanawake kwamba najua hamtupendi wanaume wafupi ila kuliko uolewe na mwanaume mrefu afu sura Kama tairi ya grader Bora uolewe na mfupi maana ikitokea tu ukazaa mtoto wa kike akafanana na baba yake utamuoa mwenyewe
Mpwa na wewe mfupi nini?
Oooh. Safi sana Mpwa. Haya wacha niwe nahesabu wafupi wenzangu hapa. ππππHahahahah, aunty bwana.
Mie ni super tall Maasha-Allah. Alhamdulillah.
[emoji23][emoji23][emoji23] kiru!Nilisoma sehemu wanasema watu wafupi wanakua na hasira muda mwingi sababu mfuko wa mavi unakua karibu na moyo so sababu ya lile joto kila saa moyo unakua juu juu na inaleta hasira.
No hard feelings,tusameheane.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilisoma sehemu wanasema watu wafupi wanakua na hasira muda mwingi sababu mfuko wa mavi unakua karibu na moyo so sababu ya lile joto kila saa moyo unakua juu juu na inaleta hasira.
No hard feelings,tusameheane.
Sent using Jamii Forums mobile app
Oooh. Safi sana Mpwa. Haya wacha niwe nahesabu wafupi wenzangu hapa. ππππ
Jamani msipende kuwakorofisha wala kiwachokoza watu wafupi maana ni wepesi sana wa kuinama na kuokota mawe