Watanzania wengi wafupi mno

Watanzania wengi wafupi mno

Wachina na wajapani si warefu lakini asilimia 98 ya magari binafsi tunayoendesha katika barabara zetu yameundwa na wajapani. Pia asilimia 98 ya simu za mkononi tunazotumia hapa TZ zimeundwa na wachina.

hata hiyo simu uliyotumia kuingilia jf na kuandika post yako, imeundwa na mchina fulani mafupi.
 
Labda niseme ufupi sio shida SHIDA ni IQ ,mbona wenzetu wachina na wajapani na ndugu zao wafilipino na wakorea ni wafupi lkn mambo yao yako poa?

Cha muhimu hapa nikuacha kung’ang’ania “Staple food “ambazo wataalamu wanasema zinadumaza Akili,watu wamekalia kudanganyana eti Dona dona ndio kila kitu kumbe ndani yake kuna sumukuvu,wenzetu nchi zinazoongoza kwa Mi IQ mahindi na ndugu yake Mihogo ni chakula cha mifugo na kama vitatumika ni kwa Kiasi kidogo tu!

Kwa taarifa hakuna gene ya Ufupu kwa watanzania ni KUDUMAA wazungu wanaita “Stunting”kwa wale waliopata Bahati ya kusoma Nutrition watanielewa ni baadhi ya makabila machache Tz hasa ya ukanda wa pwani kusini ndio kuna specimen ndogo ndogo other wise tunachokiface ni malnutrition yaani ukuaji wetu wa kimo kwa umri hauko sahihi.ukitaka (Ku prove mchukue kijana wa miaka let’s say 15 ambaye bado hajamaliza kukua lkn pia ameshaonyesha atakuwa kiasi gani mpeleke Marekani baada ya miaka 3 arudi kusalimia bongo hapo ndio utajua hakuna mfupi Bongo)

Mwisho,kuna mtu alikuwa ana describe jinsi ya kujua umefika bongo akasema ukishuka tu Airport utakuta watu wadogo wadogo wasiolingana vimo kwakweli iliniuma sana,kwakweli imefika wakati wa kutokomeza hii mbegu Acha na sisi tukue kwenye kimo chetu Mungu alichotupangia tule moo sahihi tuache tabia ya kula ili tuishi ,tufanye kazi tuinue uchumi ili uwezo wa kula mlo sahihi uwepo
Angalizo chakula bora sio chips Mayai kama most of us tunavyofikiri[emoji16][emoji16][emoji4][emoji4][emoji4]


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Babu zetu wamekula weee...dona still walikuwa warefu na hata sisi watoto wao tumerithi urefu wao, mfano Baba mzazi alikuwa na urefu wa futi 6.10 pia ndiyo waliobahatika kuishi miaka mingi sana kuliko ninyi mnaoigaiga mavyakula haya ya kipumbavu kama kuku wenu mataira wasio na baba wala mama/kuku wa kisasa.

Afu usiwe mjinga kiasi hata panya akakuzidi akili, dona ndicho chakula bora zaidi kuliko sembe lako hilo maana husaidia sana mmeng'enyo wa chakula kupatikana kirahisi tokana na nyuzi nyuzi zipatikanazo kwenye viini vya mahindi na maganda yake(fibres).

Kwanini panya akuzidi akili Binadamu ambaye haangaiki kula makapi tupu/mahindi yaliyokobolewa zaidi ya kula kiini cha mahindi na maganda yake pekee?

Stuka, chukua hatua sasa "haki afya"[emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
China ni wafupi ila wana jeshi imara sana. China ni wafupi, lakini kazi yao kwenye teknolojia si kitoto. So kama urefu ni akili hayo mambo ya chromosomes, wachina wangeyaelewa ili wapate warefu. Ila pia, ukipata chance ya kutengeneza 'hybridi' na couple ndefu si mbaya. Urefu pia ni mzuri kwa bongo hasa ukiwa mwalimu maana unaweza andika ubaoni bila kusimamia kucha, na kuwaona vizuri watoto wanaotoroka shule, lakini marekani urefu uleule ungekufanya uwe na pesa kwa kucheza kikapu.!.hahahahaha!(tusake pesa vimo hivi kama havitupi maslahi havina maana kwetu-kimo ni fursa)
 
Back
Top Bottom