Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nina uraia wa kuzaliwa mkuu we unataka sheria ipi labda?Kwa sheria ipi ya uraia? Tushukuru tu humu tuna majina fake lakini huu uzi ungesababisha watu kudandiwa balaa
nina uraia wa kuzaliwa mkuu we unataka sheria ipi labda?
Somaliland na Mogadishu wapi na wapiMogadishu
Wewe sema umelishwa chuki Sunday schoolWabaguzi sana kuliko hata wazungu and other spices, kwakua nipata kuishi nao na kwa matendo walikua na wanayowafanyia wafanyakazi wao wa ndani ni ya kinyama zaidi kuwapa chakula tuu tena sio mile wanachokula wao waarabu.nk
Siwapendi
Hata Rwanda walianza hivi, mwishowe wakaunda umoja ulioleta kimbari.Nikianza na mimi... Nina asili ya Uarabuni ... Babu yangu mzaa Baba katoka Oman akaja Zanzibar then akazaliwa Baba yangu then Mimi... Sina nia mbaya ila tu nataka tujuane... Sorry no picture today!
Mm ni matokeo ya msouth Africa baba na mluguru mama..Nikianza na mimi... Nina asili ya Uarabuni ... Babu yangu mzaa Baba katoka Oman akaja Zanzibar then akazaliwa Baba yangu then Mimi... Sina nia mbaya ila tu nataka tujuane... Sorry no picture today!
Wanaojitenga ni washamba tu hao na malimbukeni.Hivi kwanini huwa mnajitenga sana na watu wa rangi nyingine?
Kile kisiwa asili yake ni Majinni.Wewe ukiwa sio raia wa TZ basi Shangazi Fatma Karume atakuwa raia wa Oman na Malawi.
Pua zile zinapatikana kabila gani ya Tanganyika au kwa wazanzibari gani wa asili walioshi kisiwani kabla ya sultan?
Ni wachache sana huwa naona wanajichanganya na wabantu.Wanaojitenga ni washamba tu hao na malimbukeni.
Kama wa-Yemen, wa-Oman wameshachanganya damu hivyo ukoo una mchanganyiko wa waarabu na wabantu.
Halafu ni ushamba kujitenga.
Nina babu zangu wawili wote wameoa wabantu na wametoka Yemen.
ni waajemi hao, kina rostam. toka Iran.Hivi Waburushi ni watu wa wapi hasa?
Kama ni Waarabu ni wa wapi hasa?
Wapo wengi mkuu!Ni wachache sana huwa naona wanajichanganya na wabantu.
shangazi fatuma huwa anajiita yeye ni mwarabu, wakati babu yake marehemu karume alikuwa mnyasa wa Malawi, babake ni mnyasa aliyevaa sura ya mbaaali ya kiaraub, matokeo yake kwa asivyopenda uafrika huwa anajitambulisha kuwa yeye ni mwarabu. and very proud of it.Wewe ukiwa sio raia wa TZ basi Shangazi Fatma Karume atakuwa raia wa Oman na Malawi.
Pua zile zinapatikana kabila gani ya Tanganyika au kwa wazanzibari gani wa asili walioshi kisiwani kabla ya sultan?
Aptii,Sisi wenye asili ya Somaliland tunakoment wapi?