Watanzania wenye asili ya bara la Asia tujuane hapa!

Watanzania wenye asili ya bara la Asia tujuane hapa!

baba angu ni munaigeria na mama yangu ni mkongo kwa kifupi kwetu ni waganga
Nikajua nawewe utajiita Muarabu, 🤣🤣🤣
 

Attachments

  • Screenshot_20241021_001205_Chrome.jpg
    Screenshot_20241021_001205_Chrome.jpg
    116.6 KB · Views: 1
Wewe ukiwa sio raia wa TZ basi Shangazi Fatma Karume atakuwa raia wa Oman na Malawi.

Pua zile zinapatikana kabila gani ya Tanganyika au kwa wazanzibari gani wa asili walioshi kisiwani kabla ya sultan?
Wamakonde, Wayao, Wazaramu, Wasambaa, Wagido..nk nk
 
Nikianza na mimi... Nina asili ya Uarabuni ... Babu yangu mzaa Baba katoka Oman akaja Zanzibar then akazaliwa Baba yangu then Mimi... Sina nia mbaya ila tu nataka tujuane... Sorry no picture today!
Nusu myahudi nusu msambaa
 
Nikianza na mimi... Nina asili ya Uarabuni ... Babu yangu mzaa Baba katoka Oman akaja Zanzibar then akazaliwa Baba yangu then Mimi... Sina nia mbaya ila tu nataka tujuane... Sorry no picture today!
Wengi wetu humu natambua tuna asili ya Uisraeli kutoka kabila la Manase, ambalo ni miongoni mwa yale makabila jumla ya 14 yatokanayo na uzao wa Yakobo, mawili yakitokana na Yusufu.
 
Mimi Baba yangu Mmasai Mama Miraq lakini makobazi mwiko.

Tunakula Mbuzi Catholic lkn tunapenda mabikira 72.
 
Wabaguzi sana kuliko hata wazungu and other spices, kwakua nipata kuishi nao na kwa matendo walikua na wanayowafanyia wafanyakazi wao wa ndani ni ya kinyama zaidi kuwapa chakula tuu tena sio mile wanachokula wao waarabu.nk
Siwapendi

Hayo ni maradhi, be careful! Huku kwetu huoni kila siku watu wanauawana!
 
Back
Top Bottom