Supu ya kokoto
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 4,194
- 7,602
Tatizo mnajikuta watutsi kwa kulazimisha tu coz mnaona ni sifa...mnadhani Rwanda ni ulaya na kila siku mko mnadowea tz? Mkimbizi anapopewa hifadhi analazimisha na uraia kabisa.Mi nimezaliwa muhimbili nimesoma mnazi mmoja primary,nina ndui,baba yangu ni mtoto wa mjini kabisa,kiswahili ndio my first language,jina na urefu tu ndio tatizo
Mimi nina asili ya kitutsi kwa upande wa mama, baba yangu ni mzaliwa wa Msoga.
Nguvu ya nama nikapewa jina la ujombani la kwanza, kosa kubwa..
Wiki mbili zilizopita kulikuwa na zoezi la kuandikisha NiDA wilayani kwetu, wajihi wangu mrefu na hili jina nusura viniponze sema kiswahili changu ni cha mwambao maana nimekulia Pwani ila niko huku kikazi ujombani.
Kuna mwenzangu aliambiwa atamke nne akasema ine, boksi akatamka bokisi, alipigwa pingu pale pale mpaka walipojiridhisha kuwa amezaliwa Ngara.
Kijijini kwa mama asilimia 50 ni wahamiaji wa kitutsi wenye miaka mingi sana sema wanajiita kabila la hapo wilaya walipo.
Sina lengo la kuwapinga Mamlaka ya Vitambulisho maana lazima wajiridhishe na uraia wa wanaovihitaji ila mlijua kutuchangamsha.
Kuanzia Kahama, Nasumbwe, Runzewe, Ushirombo, Ngara, Karagwe, Biharamulo watutsi ni wengi sana ni kama tuko Rwanda tu. Tunaishi nao na tumezaa nao, sijajua miaka 20 ijayo itakuwaje wakiamua watambulike kama kabila rasmi la Tanzania?
Uko sahihi,mifumo nimibovu sanaMatatizo yote haya yamesababishwa na Serikali iliyopo madarakani kwa kukosa kuwajibika ipasavyo katika masuala ya Msingi katika nchi hii ya Tanzania.
Siyo Siri hata kidogo, Tanzania kuna Mifumo dhaifu Sana kupita kiasi kwenye suala zima la Mchakato wa Utambuzi wa Raia wake. Serikali ilichelewa Sana kuanzisha Mfumo mzuri na ulio dhabiti katika Utambuzi wa Watu wake. Mamlaka za Utambuzi wa Watu Kama vile NIDA ilipaswa kuanzishwa mara moja wakati nchi hii ya Tanzania ilipopata Uhuru wake kutoka kwa Wakoloni. NIDA ilichelewa sana kuanzishwa. NIDA ilianzishwa kwa kuchelewa Sana wakati kila kitu kilikuwa tayari kimeharibika.
Ardhi ndogo ni matatizo yao siyo ya kwetu!
Hawa warudishwe kwao hivyo hivyo watajijua wenyewe.
Unayoyazungumza yalishafeli, tufuate hali halisi ilivyo hivi sasa.Kabla ya mkoloni hakukuwa na passports Wala mipaka ya Sasa.
Hatukupungukiwa na kitu, tumewekewa mipaka bandia imeleta Vita na kubaguana, utengano na kila ghasia.
"How good and how pleasant it would be
Before God and man,
To see the unification of all Africans"
Bob Marley said.
Na hiyo fikra inabidi izikwe!Sio sisi bali mkoloni alituaminisha hivyo,kuwa tutsi ni bora kuliko hutus,