Biashara yoyote Pemba inafanyika kama duka baa hata hotel za kulala mgahawa na nk ni mji mzuri kwani wageni ni wengi jili ya gas,Husu permit haisumbui sana kwani ukifika una three month unapata ila wapewa mwezi mwezi ukiisha waongeza kama miezi 3 ikiisha ujapata kibali yakubidi utoke nje ya nchi na kurudi unapewa tena three month so haisumbui nafikiri mengine yapo poa .Pia waweza fanya biashara ya kuleta sigara za Tanzania na vitu vingi katika miji ya Pemba na kwa sababu hela yao iko juu utapata faida ukibadili tena ziwe shilling
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums