idea nyingine labda ukienda uchukue vitenge vya kule uje kuviuza tanzania...vitenge vyao ni vizito ukilinganisha na vya hapa bongo pia bei yake iko juu kiasishukrani sana kaka, sasa harware si mpaka kupata frame mkuu? nilitaka vitu vya kuweza kubeba wakati nafanya research ili kujaribu kurejesha gharama za nauli na malazi. Frame za biashara huko zinatembea bei gani?
cc: kadafi
Biashara yoyote Pemba inafanyika kama duka baa hata hotel za kulala mgahawa na nk ni mji mzuri kwani wageni ni wengi jili ya gas,Husu permit haisumbui sana kwani ukifika una three month unapata ila wapewa mwezi mwezi ukiisha waongeza kama miezi 3 ikiisha ujapata kibali yakubidi utoke nje ya nchi na kurudi unapewa tena three month so haisumbui nafikiri mengine yapo poa .Pia waweza fanya biashara ya kuleta sigara za Tanzania na vitu vingi katika miji ya Pemba na kwa sababu hela yao iko juu utapata faida ukibadili tena ziwe shilling
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
Biashara yoyote Pemba inafanyika kama duka baa hata hotel za kulala mgahawa na nk ni mji mzuri kwani wageni ni wengi jili ya gas,Husu permit haisumbui sana kwani ukifika una three month unapata ila wapewa mwezi mwezi ukiisha waongeza kama miezi 3 ikiisha ujapata kibali yakubidi utoke nje ya nchi na kurudi unapewa tena three month so haisumbui nafikiri mengine yapo poa .Pia waweza fanya biashara ya kuleta sigara za Tanzania na vitu vingi katika miji ya Pemba na kwa sababu hela yao iko juu utapata faida ukibadili tena ziwe shilling
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
Huu wa siku nyingi ila nitafanyia kazi maoni ya humu yoteKwa nguo naona miji mikubwa kama Maputo uko watu wanavaa sana ila kwa Pemba si sana na inaweza kuwa 50 50 ila nayo inafanyika biashara kama kawaida .Kumbuka Maputo ni mbali hivyo nauli ni kubwa mfano Pemba to Maputo ni kama siku mbili nauli dola 100
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums