Watanzania weusi na Chuki binafsi dhidi ya Watu weusi

Watanzania weusi na Chuki binafsi dhidi ya Watu weusi

Kijakazi

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2007
Posts
7,093
Reaction score
10,469
Unashangaa wamewekeza kushambulia vidagaa kama akina Mwigulu kwamba sijui ni Ufisadi, Mwigulu anashambuliwa tu kwa kuwa ni mtu mweusi na Mkristu na anashambuliwa na mtu mweusi na Wakristu wenzake.

Tuweke mambo sawa, hata kama Mwigulu kafanya Ufisadi ambapo sina uhakika lkn hakuna watu wanaoinyonya na kuiibia nchi yetu kama Wahindi/Waarabu/Wairani au Wachina, unaweza kusema uchumi wetu wote wameushika wao lkn husikii watu wakitia neno kwa sababu mtu mweusi amelelewa kujichukia na kuthamini wengine, hivi Mwigulu anaweza kupitisha Kodi bila idhini ya raisi wa nchi?

Juzi kati tumeona Rostamu Aziz akiwa na raisi wa nchi USA wakisaini Mikataba binafsi hakuna aliyehoji kama ni Ufisadi au vipi, mnajua kilichosainiwa? Mnakwenda kumshambulia mtu eti kaagiza sijui Yutong, really? Mnajua Waarabu na Wahindi wanatuibia kiasi gani?

Acheni chuki binafsi, kama ni chuki stahiki pelekeni kwa Mafisadi wenyewe na siyo vidagaa!

1661755300451.jpeg
 
Wahindi,waarabu,waajemi wapo Nchi hii Toka mwaka 1500 huko. Hata ukiwachukia utatumia mwenyewe tu. Laiti hizi minority society wangekua wanapewa nafasi kwenye uongozi naamini tungeendelea sana. Sasa mtu mweusi anajifanya mzalendo na kwenye Nchi wakti raia wake wanakufa njaa.

Waache wafanye biashara zao
 
Wahindi,waarabu,waajemi wapo Nchi hii Toka mwaka 1500 huko. Hata ukiwachukia utatumia mwenyewe tu. Laiti hizi minority society wangekua wanapewa nafasi kwenye uongozi naamini tungeendelea sana. Sasa mtu mweusi anajifanya mzalendo na kwenye Nchi wakti raia wake wanakufa njaa.

Waache wafanye biashara zao

Unajichukia mwenyewe siyo kosa lako!
 
Mwigulu sio fisadi. Asemwe kwa mengine sio ufisadi.

Scandal za ufisadi nyingi kwa Watanzania hazina uhalisia zaidi ya chuki na wivu tu
 
Mwigulu amefisadi nini? Mwigulu analaumiwa kupendekeza tozo. Mwigulu ni waziri. Ni public leader. He is holding a public office. Hao uliowataja hawashiki ofisi yoyote ya umma.

Mhanga wa chuki binafsi, unachukia messenger na kumtetea Bosi wake!
 
Nchi kila mtu mwizi mimi,wewe wote wapigaji tu

Ova
 
Raisi aliwahi kusema alipigiwa simu usiku na Mwigulu na kuambiwa kuwa wakope ili walipe madeni ya Mwendazake.

Hili linatuonyesha nini na kwa nini tunamlaumu Mwigu?.
 
Watu wanalalamikia utitiri wa tozo hilo tu, hayo mengine wanabuni tu.
 
Naanza kufurahi kuona wizi wa huyo jamaa umeanza kuanikwa ndio maana mnaanza kutugombeza bila sababu.

Circumstantial evidence zilizopo mpaka sasa zinatosha kabisa kumtia hatiani Mwigulu, atuambie tozo anazokata kila muamala siku hizi anazipeleka wapi? mbona hatuambiwi na mapato yake ni yapi?

Mwizi lazima ashughulikiwe, haijalishi awe mkristu, waziri wa serikali, au mfanyakazi wa kampuni binafsi, zaidi kuiba ni dhambi, tena kuibia masikini ndio laana kabisa.
 
Ijapo umeharibu pale ulipoingia kwenye UDINI bado utajibiwa! Hao waarabu na wahindi ni nani mshauri mkuu wa rais kuhusu kodi na fedha zetu wanazokwapua!? Akina Mwigu! Hatujamuambia Mwigu ajifanye uso wa mbuzi na kutuwekea sisi matozo ya mbwa koko wakati waarabu marafiki na ndugu za "mama" wakifaidi vinono vya NCHI? Mwigu adviser wa Mama the buck stops with you!
 
Ijapo umeharibu pale ulipoingia kwenye UDINI bado utajibiwa! Hao waarabu na wahindi ni nani mshauri mkuu wa rais kuhusu kodi na fedha zetu wanazokwapua!? Akina Mwigu! Hatujamuambia Mwigu ajifanye uso wa mbuzi na kutuwekea sisi matozo ya mbwa koko wakati waarabu marafiki na ndugu za "mama" wakifaidi vinono vya NCHI? Mwigu adviser wa Mama the buck stops with you!
Lakini ni kukimbia ukweli kumshambulia Waziri ambaye anatumwa, kama ni swala la kodi au tozo anayewajibika ni bosi wa Waziri na siyo Waziri mwenyewe Waziri anaambiwa tu nini cha kufanya, isitoshe Raisi wa nchi anaweza kumuondoa muda wowote kama anaona anachokifanya Waziri siyo sawa!
 
Unashangaa wamewekeza kushambulia vidagaa kama akina Mwigulu kwamba sijui ni Ufisadi, Mwigulu anashambuliwa tu kwa kuwa ni mtu mweusi na Mkristu na anashambuliwa na mtu mweusi na Wakristu wenzake.

Tuweke mambo sawa, hata kama Mwigulu kafanya Ufisadi ambapo sina uhakika lkn hakuna watu wanaoinyonya na kuiibia nchi yetu kama Wahindi/Waarabu/Wairani au Wachina, unaweza kusema uchumi wetu wote wameushika wao lkn husikii watu wakitia neno kwa sababu mtu mweusi amelelewa kujichukia na kuthamini wengine, hivi Mwigulu anaweza kupitisha Kodi bila idhini ya raisi wa nchi ?

Juzi kati tumeona Rostamu Aziz akiwa na raisi wa nchi USA wakisaini Mikataba binafsi hakuna aliyehoji kama ni Ufisadi au vipi, mnajua kilichosainiwa? Mnakwenda kumshambulia mtu eti kaagiza sijui Yutong, really? Mnajua Waarabu na Wahindi wanatuibia kiasi gani?

Acheni chuki binafsi dhidi wa mtu mweusi mwenzetu, Mwigulu angekuwa Muislamu na Mwarabu asingeshambiliwa hivi Waislamu wangeshamtetea.

Acheni chuki binafsi, kama ni chuki stahiki pelekeni kwa Mafisadi wenyewe na siyo vidagaa!


View attachment 2338055
Ni haki kumshambulia Mwigulu kama ilivyo haki kumshambulia fisadi yoyote bila kujali jinsia yake, rangi yake, dini yake na hata uraia wake. Weusi au ukristo wa Mwigulu si kinga kama ana 'mauozo' anayoyafanya.
Ashambuliwe tu nawe pia unaweza kujikita katika kushambulia mafisadi wengine ili tuwe na orodha ya mafisadi wengi kadri iwezekanavyo.
 
Lakini ni kukimbia ukweli kumshambulia Waziri ambaye anatumwa, kama ni swala la kodi au tozo anayewajibika ni bosi wa Waziri na siyo Waziri mwenyewe Waziri anaambiwa tu nini cha kufanya, isitoshe Raisi wa nchi anaweza kumuondoa muda wowote kama anaona anachokifanya Waziri siyo sawa!
Huyu PHD economics mbona mnamuonea hurumu wakati amejinasibu ni yeye mwenyewe anayemshauri mama kiasi cha kujipigia debe hadi kutukejeli "tuhamie Burundi" . Kama kaingia kwenye hii siasa kujipendekeza tu bila kutumia PHD yake! AONDOKE. Hata mama alivyo ni "tabula rasa" wa mambo mengi na hasa uchumi.
 
Nchi kila mtu mwizi mimi,wewe wote wapigaji tu

Ova

Huo ndio ukweli wenyewe tukipata upenyo mara unakwepa kodi, mara vidili vya hapa na pale ilimradi siku zisogee kikubwa tuvumiliane tu
 
Back
Top Bottom