MURUSI
JF-Expert Member
- Jun 25, 2013
- 4,537
- 8,824
Kwa saaa speed ya kupangua Ma-RPC inatisha sana haipiti mwezi wanapanguliwa na hapa tulipo huenda huu mwaka hautaisha utasikia tena pangua pangua.
Huyu Wambula kazidi sasa make haipiti mwezi hajapangua.
Yaani realocation ya ma-RPC ndio mwisho wa mageuzi wanayoimba daily.
Hawa wanakwepa kudili na sababu za msingi wanakimbilia kwenye pangua pangua ambayo haina tija wala maana na sijui ni lini wataelewa kwamba shida sio ma-RPC bali ni mfumo mzima wa jeshi la Polisi na muundo wake ambako hada sasa lina mfumo wa kikoloni miaka 60+ baada ya uhuru.
Jeshi limejaa mikwara daily, yaani ili waogopwe ni lazima toe mikwara ya kutishia raia.
Pia soma > Mabadiliko Polisi: Kamanda Mutafungwa ang'olewa Usalama Barabarani
Huyu Wambula kazidi sasa make haipiti mwezi hajapangua.
Yaani realocation ya ma-RPC ndio mwisho wa mageuzi wanayoimba daily.
Hawa wanakwepa kudili na sababu za msingi wanakimbilia kwenye pangua pangua ambayo haina tija wala maana na sijui ni lini wataelewa kwamba shida sio ma-RPC bali ni mfumo mzima wa jeshi la Polisi na muundo wake ambako hada sasa lina mfumo wa kikoloni miaka 60+ baada ya uhuru.
Jeshi limejaa mikwara daily, yaani ili waogopwe ni lazima toe mikwara ya kutishia raia.
Pia soma > Mabadiliko Polisi: Kamanda Mutafungwa ang'olewa Usalama Barabarani