Watarajiwa wa ajabu!

My bank has issued me with credit facility so you can see me if you need any help lol
 

Ndiyo mana mtu na I Love You kibao mie sishtuki maana sijui muda huyo mtu anakuwa serious kimapenzi!!..na wengine kusema I love You ni kawaida sana wamaanishe au wasimaanishe!!
Haya tenga fungu la mchango mamii🙂))
 
Ndiyo mana mtu na I Love You kibao mie sishtuki maana sijui muda huyo mtu anakuwa serious kimapenzi!!..na wengine kusema I love You ni kawaida sana wamaanishe au wasimaanishe!!
Haya tenga fungu la mchango mamii🙂))
I Love You BJ haujashtuka bado kama i mean it.
 
Ndiyo mana mtu na I Love You kibao mie sishtuki maana sijui muda huyo mtu anakuwa serious kimapenzi!!..na wengine kusema I love You ni kawaida sana wamaanishe au wasimaanishe!!
Haya tenga fungu la mchango mamii🙂))
Hahahaha!Haki ya nani sichangii...labda kama wakiachana atanirudishia!
 




Lizzy hao ndio wale wale wasiojua I LOVE U ni nini, mchumba ni nini na most importantly ndoa nini... watu kama hao do you think hizo ndoa zitakua na uaminifu?
 
Lizzy hao ndio wale wale wasiojua I LOVE U ni nini, mchumba ni nini na most importantly ndoa nini... watu kama hao do you think hizo ndoa zitakua na uaminifu?
Ndo wasiwasi wangu huo mpendwa!Kama uchumba tu ni wa mashaka hizo ndoa sijui zitakuaje!
 
Ndiyo mana mtu na I Love You kibao mie sishtuki maana sijui muda huyo mtu anakuwa serious kimapenzi!!..na wengine kusema I love You ni kawaida sana wamaanishe au wasimaanishe!!
Haya tenga fungu la mchango mamii🙂))

...lol! BJ, ukiambiwa i love you jibu "asante!" bana.
 
Usanii umezidi kipimo siku hizi ndio manake
 
...lol! BJ, ukiambiwa i love you jibu "asante!" bana.

Kumbe jibu standard la 'i love you' ni 'asante'?...
Hizi 'i love you' ziwe ngapi au za muda gani ndo zihesabike ni za ukweli....
:A S-heart-2:
 
Reactions: Mbu
Hakua mchumba wangu Mpendwa na namshukuru Mungu kwa hilo!


sasa alikwambiaje I love you na wewe ukamjibuje Lizzy, na vipi sasa ukashangaa anakuletea kadi ya harusi?
 
Kuna mtu yeyote anayeweza kunisaidia kwa kuniambia leo ni tarehe gani ya mwaka upi?

Nawatakieni Christmass njema..............:A S shade:
 
Kuna mtu yeyote anayeweza kunisaidia kwa kuniambia leo ni tarehe gani ya mwaka upi?

Nawatakieni Christmass njema..............:A S shade:

mjukuu wa jana atakuwa kakutenda mabaya.....badala ya kuharibu biolojia, hadi ubongo kauchakachua? ulikagua sehem zipi hasa manake zingine lazima upate ukichaa tu....habar yako bana hommie
 
Kuna mtu yeyote anayeweza kunisaidia kwa kuniambia leo ni tarehe gani ya mwaka upi?

Nawatakieni Christmass njema..............:A S shade:

dah...hommie

Mi mgeni hapa mjini....
 
<p>
mjukuu wa jana atakuwa kakutenda mabaya.....badala ya kuharibu biolojia, hadi ubongo kauchakachua? ulikagua sehem zipi hasa manake zingine lazima upate ukichaa tu....habar yako bana hommie
</p>
<p>&nbsp;</p>
nadhani huyo mjukuu wa jana alim-format kabisaa,kasahau hadi mwaka!anahitaji installation upyaa.shkamoo babu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…