MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 21,113
- 65,124
- Thread starter
-
- #101
Hawajakuvunjia miwani mkuu?
Mimi ni opposite. Watoto hawaivani na mimi kabisa na napenda iendelee hivyo.
Dah we jamaa umenifurahisha. Et sura ya kidemu huna labda likatuni! Ila sishangai sana mm nikibeba watoto wadogo hata kama awe ametoka kulala anarudi yena kulala.
Yaani wewe mazingira unayokuwepo vitoto havikosekani....au mzee wa singo mamaz?Leo asubuhi nimekaa sehemu fulani hivi.
Kuna katoto fulani hivi kapo na mama yake,
Ghafla mama yake akataka kutoa mlangoni, kale kajamaa kakanifukuza eti "Sogea mama yangu ashuke"
Yaani kananisukuma hadi watu wamecheka, nimekaangalia tu hako kanatembea yani urefu sawa na jogoo halafu unanipiga mimi mkwara......
Yaani wewe mazingira unayokuwepo vitoto havikosekani....au mzee wa singo mamaz?
Hayo mambo hayana umri....technic yako inaweza kufanya kazi.🙂Hahahaha!
Hapana Mazeee haya maisha ya kuruka-ruka sinaga, (Just too old for that)
Nikiwa nyumbani mimi nina utaratibu wa kuwapeleka na kuwachukua watoto wangu shule karibia kila siku,
Siku za michezo na maeonyesho huwa naenda kama mzazi, hivyo kuonana na vitoto vidogo ni kawaida sana.
strategy ya kuwakamata single mothers wa JF.
Hayo mambo hayana umri....technic yako inaweza kufanya kazi.🙂
Aaah come on RRONDO ,Hayo mambo hayana umri....technic yako inaweza kufanya kazi.🙂
Who said you are trying to hook someone up?Aaah come on RRONDO ,
Women are the least of my worries for now,
BTW JF is the last street on Earth that i would try hook up with someone.
Literary, the last street on Earth................
Hahahahaha,Who said you are trying to hook someone up?
Utakuwa na muonekano wa katuni
Ungeeleza aina ya malezi yako utotoni yalikuaje na wewe ni mtu wa aina gani moyoni? Ingependeza zaidiWasalaam.
Kumekuwa na kawaida sana kwamba watoto wadogo wakiniona wananiangalia sanaaaaa.
Halafu baadae wanaanza kucheka kweli kweli. Hadi wazazi wao wanaanza kushangaa maana huwa hawachekagi hivyo sana. Siku nyingine nimekaa sehemu naingia tu nakuja katoto fulani kakike kamekuja kukaa karibu yangu kananiangalia sana usoni, baadae nikakapa simu yangu kakaanza kucheza Game ya Temple Run. Mama yake akaja pale kuniomba radhi na kuanza kukaraipia kwanini kanaazima simu za watu kasiowajua. Wale majirani zangu wakasema walihisi labda ni katoto kangu hivi. Nilimwambia mama yake mimi sina shida acheze tu, tukakaa nako pale kakacheza mpaka simu ikakata chaji. Kakaanza kunipigisha stori yani tumeongea nako hadi kakalala nikakabeba. Ile naondoka wacha kaanze kunililia ova kananijua yani.
Mara nyingi watoto huwa wanaanzanga kuniongelesha na kunizoea hadi nashangaa sana.
Sasa juzi nidyo nimeishiwa na nguvu, nimekaa kwenye mstari wa hospitali nikaona kajaa fulani kana kama mwaka moja hivi. Yaani kadogo balaa (Andunje) kakamuacha maza wake kakanifuata pale nilipokuwa nimekaa, kakaniangalia kwa muda mrefu kweli halafu baadae kakaanza kucheka kama mtu mzima. Kalicheka hadi kanakaa chini, watu pale hawana mbavu wanaanza kuniangalia mimi hadi nkajistukia yani. Hii sii mara ya kwanza yaani sijui kuna nini kati yangu mimi na hivi vijamaa.
Nikiweka sura ya ukali ili kuvifukuza nidyo kabisaa vinazidi kucheka,
Yaani hata niwe mkali vipi vyenyewe hivyo mwilini. Mara kinivute sharubu, mara kinivue miwani.
Hiki kiko na andazi lake kinataka kunilisha na mimi yaani vurugu ova vinanijua atiii.
Yaani sijuia vinaniona mimi nimekaa kama likatuni fulani.
utakuwana sura ya pekee yenye mvuto kwa watoto.
utakuwa na vitu hadimu katika personality yako.Watoto huwa wananichezea sana,
Nikaja kujua labda mimi ni mpole kupita kiasi,
Ha ha ha ha hamna bhana...strategy yako inafanyakazi kwa watoto...🙂Hahahahaha,
Mnasema hii ni Strategy yangu kufukuzia Single Mamaz!