LGE2024 Watawala hawajifunzi? Alichokifanya Magufuli ndo Samia nae anapita mule mule

LGE2024 Watawala hawajifunzi? Alichokifanya Magufuli ndo Samia nae anapita mule mule

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Feld Marshal Tantawi

JF-Expert Member
Joined
Dec 24, 2014
Posts
655
Reaction score
1,069
Samia nae anayoyafanya anayoyafanya kwenye uchaguzi anafikiri ndo atapendwa sana na wanaccm na watanzania

Rais amegoma kushaurika na anaona yeye ana mamlaka ya kuyafanya haya bila kuulizwa na mtu lkn nasikitika mana wanaompa kiburi ndo watakaorud kama ilivokuwa kwa mwendazake na hatakuwa na wakumtetea

Uchaguzi huu wa serikali za mitaa ilikuwa ni njia ya yeye kupata mamlaka kamili rohoni lakini kwa bahari ameshindwa kuchanga karata vema.

Kama ambavyo watu hawakulala juu ya dhuruma za kipind cha mwendake zake na saiz pia hawatalala tena juu ya dhuruma hizi na Mungu yupo pia upande wao.

Tulikua na nafas ya kurekebisha kama taifa lkn aliepewa mamlaka kashindwa fanya hivo kama watz tunapaswa kuiombea sn nchi katika kipind hiki na miaka 2 ijayo kuliko wakati mwingine wowote.

Naomba kuwasilisha ............✍️
 
Samia nae anayoyafanya anayoyafanya kwenye uchaguz anafikiri ndo atapendwa sana na wanaccm na watz

Rais amegoma kushaurika na anaona yeye ana mamlaka ya kuyafanya haya bila kuulizwa na mtu lkn nasikitika mana wanaompa kiburi ndo watakaorud kama ilivokuwa kwa mwendazake na hatakuwa na wakumtetea

Uchaguz huu wa serikali za mitaa ilikua ni njia ya yeye kupata mamlaka kamili rohoni lakini kwa bahar ameshindwa kuchanga karata vema.

Kama ambavyo watu hawakulala juu ya dhuruma za kipind cha mwendake zake na saiz pia hawatalala tena juu ya dhuruma hizi na Mungu yupo pia upande wao.

Tulikua na nafas ya kurekebisha kama taifa lkn aliepewa mamlaka kashindwa fanya hivo kama watz tunapaswa kuiombea sn nchi katika kipind hiki na miaka 2 ijayo kuliko wakati mwingine wowote.

Naomba kuwasilisha ............✍️
Kwani wewe hutaondoka ,
 
Nasikitika sn kuandika haya lkn huo ndo ukweli kuwa anachokifanya Samia ni kutengeneza laana ambayo ni ngumu kufutika na ni ngumu yeye kuendelea kutawala.Mwenzake alifanya aliyoyofanya na hakupata baraka zaid ya laana iliyomuondoa.
Samia nae kadanganywa nae kaingia mkenge akidhan nae kwa kufanya haya anayoyafanya kwenye uchaguz bas ndo atapendwa sn na wanaccm na watz lkn nimuambie tu ananipa laana yy na nchi kwa ujumla na anafanya nchi kuwa katika wakati mgumu wa kuendelea kumlinda sabab hata waliopanga kumfikia watamfikia kwa haraka sabab hana ulinz tena wa kimungu.

Rais amegoma kushaurika na anaona yeye ana mamlaka ya kuyafanya haya bila kuulizwa na mtu lkn nasikitika mana wanaompa kiburi ndo watakaorud kama ilivokuwa kwa mwendazake na hatakuwa na wakumtetea mana hata Mungu mwenyewe hayupo tena upande wake mana nchi kwa ujumla imetapakaa damu.

Uchaguz huu wa serk za mitaa ilikua ni njia ya yeye kupata mamlaka kamili rohoni lkn kwa bahar ameshindwa kuchanga karata vema.

Kama ambavyo watu hawakulala juu ya dhuruma za kipind cha mwendake zake na saiz pia hawatalala tena juu ya dhuruma hizi na Mungu yupo pia upande wao.

Tulikua na nafas ya kurekebisha kama taifa lkn aliepewa mamlaka kashindwa fanya hivo kama watz tunapaswa kuiombea sn nchi katika kipind hiki na miaka 2 ijayo kuliko wakati mwingine wowote.

Naomba kuwasilisha ............✍️

Familia ni ile ile ya Jembe na nyundo mkuu
 
Nasikitika sn kuandika haya lkn huo ndo ukweli kuwa anachokifanya Samia ni kutengeneza laana ambayo ni ngumu kufutika na ni ngumu yeye kuendelea kutawala.Mwenzake alifanya aliyoyofanya na hakupata baraka zaid ya laana iliyomuondoa.
Samia nae kadanganywa nae kaingia mkenge akidhan nae kwa kufanya haya anayoyafanya kwenye uchaguz bas ndo atapendwa sn na wanaccm na watz lkn nimuambie tu ananipa laana yy na nchi kwa ujumla na anafanya nchi kuwa katika wakati mgumu wa kuendelea kumlinda sabab hata waliopanga kumfikia watamfikia kwa haraka sabab hana ulinz tena wa kimungu.

Rais amegoma kushaurika na anaona yeye ana mamlaka ya kuyafanya haya bila kuulizwa na mtu lkn nasikitika mana wanaompa kiburi ndo watakaorud kama ilivokuwa kwa mwendazake na hatakuwa na wakumtetea mana hata Mungu mwenyewe hayupo tena upande wake mana nchi kwa ujumla imetapakaa damu.

Uchaguz huu wa serk za mitaa ilikua ni njia ya yeye kupata mamlaka kamili rohoni lkn kwa bahar ameshindwa kuchanga karata vema.

Kama ambavyo watu hawakulala juu ya dhuruma za kipind cha mwendake zake na saiz pia hawatalala tena juu ya dhuruma hizi na Mungu yupo pia upande wao.

Tulikua na nafas ya kurekebisha kama taifa lkn aliepewa mamlaka kashindwa fanya hivo kama watz tunapaswa kuiombea sn nchi katika kipind hiki na miaka 2 ijayo kuliko wakati mwingine wowote.

Naomba kuwasilisha ............✍️
Wanajaza kikombe cha uovu na kikishajaa haiwezekani tena kurekebisha wasubiri hukumu.
 
Maendeleo sio wote wataelewa, hata kupata uhuru kuna watu walipinga, nchi inasonga watakuja kushukuru wajukuu zako kwa yayofanyika leo!

Mama2030
 
Kwa muda wangu wa kuwa kiongozi nimegundua watanzania wengi hawataki haki, hawataki kutendewa haki, na ukiwatendea haki watakutenda saaana

Ukitaka mambo yako yaende ukiwa kiongozi, buruza watu, amrisha watu, dhalilisha mtu asiyefanya majukumu yake

Yaani kwa kifupi, ili mambo yako yaende unatakiwa kuwa mkoloni au dikteta saana.

So Mimi simshanga Mhe. Samia Suluhu Hassan, Mimi nimegundua alikuwa na plan nzuri ila watu wakamshangaza.

So, ili mambo yaende na yeye ameamua kuwashangaza watu.

With this attitude, watu watamheshimu zaidi na mambo anayoyataka yafanyike yatafanyika without questions or big hustle.
 
Mkuu kuna watu walikuwa wajeuri zaidi yako tena wakidaidi Nchi sio wewe Kada mwenye kacheo kadogo.
Unamkumbuka Sabaya wewe?
Na wanaoshabikia huu uovu, hawaujui ukweli kuwa jambazi huwa hana rafiki.

Leo hii unaweza kujifanya unaipenda sana CCM, na kwamba wewe ni special, na kwamba hao wanaoteswa na kuuawa na CCM, ni watu tofauti sana na wewe. Mara pap, nduguyo katekwa na kauawa na CCM. Upanua tu mdomo kuwalaumu kwa nini CCM wamemwua nduguyo, na wewe wanakumaliza.
 
Na wanaoshabikia huu uovu, hawaujui ukweli kuwa jambazi huwa hana rafiki.

Leo hii unaweza kujifanya unaipenda sana CCM, na kwamba wewe ni special, na kwamba hao wanaoteswa na kuuawa na CCM, ni watu tofauti sana na wewe. Mara pap, nduguyo katekwa na kauawa na CCM. Upanua tu mdomo kuwalaumu kwa nini CCM wamemwua nduguyo, na wewe wanakumaliza.
Hahaha ndivyo inavyokuwa.......Sabaya hakujua ipo siku atafungwa na watu wale wale
 
Maendeleo sio wote wataelewa, hata kupata uhuru kuna watu walipinga, nchi inasonga watakuja kushukuru wajukuu zako kwa yayofanyika leo!

Mama2030
Sijui kama unaelimu yoyote au ulipita tu madarasani basi miaka ikaenda ukamaliza shule.
 
CCM wamechokwa,wanatumia nguvu kubwa kwenye mambo madogo
HAKIKA ROMA HAKUKOSEA,TUMPE MAUA YAKE
 
Watapata wapi akili wakati haana na wanatawala watu wasio na akili wanaokubali kuitwa hata chawa?
 
Samia nae anayoyafanya anayoyafanya kwenye uchaguzi anafikiri ndo atapendwa sana na wanaccm na watanzania

Rais amegoma kushaurika na anaona yeye ana mamlaka ya kuyafanya haya bila kuulizwa na mtu lkn nasikitika mana wanaompa kiburi ndo watakaorud kama ilivokuwa kwa mwendazake na hatakuwa na wakumtetea

Uchaguzi huu wa serikali za mitaa ilikuwa ni njia ya yeye kupata mamlaka kamili rohoni lakini kwa bahari ameshindwa kuchanga karata vema.

Kama ambavyo watu hawakulala juu ya dhuruma za kipind cha mwendake zake na saiz pia hawatalala tena juu ya dhuruma hizi na Mungu yupo pia upande wao.

Tulikua na nafas ya kurekebisha kama taifa lkn aliepewa mamlaka kashindwa fanya hivo kama watz tunapaswa kuiombea sn nchi katika kipind hiki na miaka 2 ijayo kuliko wakati mwingine wowote.

Naomba kuwasilisha ............✍️
Yaani kuna wanafikiri kwa kua wao hawaitaki ccm basi lazima kila mtu haipendi ccm. Na eti ili Samia awe kiongozi mzuri basi ccm yake ishindwe kwenye uchaguzi. Ukweli wapinzani tatizo liko kwao. Yaani wananchi hawana imani na wapinzani. Hata kama kuna hawaipendi ccm basi wanaona bora jini wanalolijua. Chama cha chadema hakijajitambua tu makosa makubwa yaliyokipotezea imani kwa wananchi. Kitendo cha kumuweka Lowassa kugombea urais mtu waliyekua ndio ubao wao wa mazoezi kupiga kuhusu ufisadi lilikua kosa sana. Pili kujiengua Dr Slaa lilikua pigo mtu aliyekua katibu mkuu mwenye mvuto mkubwa. Safu ile ya kabla ya uchaguzi wa 1915 ilikua imara na ilivuta imani na wafuasi wengi. Baada ya hapo chadema wamekwisha maana hata wale wabunge walipata 1915 ilikua ni wafuasi wa lowassa. Baada ya hapo 2020 chadema ikaishilia na mbunge mmoja tu. Wamebaki uongo eti waliibiwa kura.
 
Samia nae anayoyafanya anayoyafanya kwenye uchaguzi anafikiri ndo atapendwa sana na wanaccm na watanzania

Rais amegoma kushaurika na anaona yeye ana mamlaka ya kuyafanya haya bila kuulizwa na mtu lkn nasikitika mana wanaompa kiburi ndo watakaorud kama ilivokuwa kwa mwendazake na hatakuwa na wakumtetea

Uchaguzi huu wa serikali za mitaa ilikuwa ni njia ya yeye kupata mamlaka kamili rohoni lakini kwa bahari ameshindwa kuchanga karata vema.

Kama ambavyo watu hawakulala juu ya dhuruma za kipind cha mwendake zake na saiz pia hawatalala tena juu ya dhuruma hizi na Mungu yupo pia upande wao.

Tulikua na nafas ya kurekebisha kama taifa lkn aliepewa mamlaka kashindwa fanya hivo kama watz tunapaswa kuiombea sn nchi katika kipind hiki na miaka 2 ijayo kuliko wakati mwingine wowote.

Naomba kuwasilisha ............✍️
Ndugu zangu nchi hii sasa tumebakia na kete mbili zilizo kuu ili tuondokane na vitisho na uongozi wa kidhalimu wa CCM chini ya SAMIA Suluhu Hassan ,kete ya kwanza ni ss wananchi kuamua kuandamana nchi nzima non stop kujitetea wenyewe dhidi ya mateso ya kutekwa na kuuawa kwa ndugu zetu mbalimbali.Kete ya pili ni JESHI la WANANCHI wa TANZANIA kama linavyofahamika kuchukua mamlaka kwa niaba ya wananchi kama kweli jeshi hili ni lao na liko kwa ajili ya wananchi.Mauaji yanayoendelea sasa naamin ni zaidi ya awamu zote zilizowahi kupita kuongoza Taifa hili.Kete hz mbili yoyote inaweza kuanza bila kusubiri nyingine kwa lengo la kuponya Taifa.Anayeshabikia watu kutekwa ,kuteswa na kuuawa ni kwa sababu hana upendo na uzalendo kwa watanzania wenzake.Majeshi ya wananchi kama ya Burkina faso,Mali na kwingineko yalipoona siasa chafu zinazonuka kama mavi zikiendeshwa ndani ya nchi zao majeshi hayo yaliingilia Kati ya kuwafurusha wanasiasa washenzi na wapumbavu wasio na Akili wanaohujumu nchi zao.JESHI letu linasemwa na kusifiwa kuwa lina weledi,nidhamu na maadili ya hali ya juu kabisa,Sasa SWALI la msingi linawezaje kuwa na sifa zote hizo Alafu linavumilia wananchi wake wakiteseka,je sifa hizi kea jeshi letu ni za kweli?.Kama nchi ni lazm tuache usanii na tujitafakari kwa kina na mapana.
 
Back
Top Bottom