Watawala makatili zaidi kuwahi kutokea barani Afrika

Watawala makatili zaidi kuwahi kutokea barani Afrika

Namba 3 na 4 hapana kabisa idd amin hakuwa katili. Aliweza kuwafanya wanganda weusi kuwa matajiri kwa mda mfupi nenda uganda waulize waganda iddi amini alifanyiwa propogada kuwa katili kwa sababu ya kupenda sana dini yake ndio maana aliondolewa.mabutu aliifanya zaire watu kuishi kwa amani sana na kufanya kazi biashara ila usiingilie serikali zaire ya mabutu na ya sasa hivi ipi bora

Unacho kisema ni kweli
 
YAHYA JAMMEH, IDDI AMIN, MOBUTU, SANI ABACHA umedanganyanya.

Kipindi chao nchi zao ndio zilikuwa na maendeleo zaidi.
 
Kuna Mambo ya kufikilishika Sana,mtu ameua watu wengi lakini ndio huyo alinua uchumi wa nchi kufika ilipo sasa,katika hali ya kawaida ni hadithi za kutengeneza mtuu achafuke.
 
YAHYA JAMMEH, IDDI AMIN, MOBUTU, SANI ABACHA umedanganyanya.

Kipindi chao nchi zao ndio zilikuwa na maendeleo zaidi.
Kaka...

Yaani propaganda zina nafasi kubwa siku hizi kuliko maarifa. Ila kinachochanganya, wanamtaja Amin kama dictator, ila hao hao wanamtaja Gaddaf kama shujaa wa Afrika, afu hao hao wanasema amin allikimbilia kwa Gadafi after vita. Sasa Shujaa kumpokea Dictator, mmhhh.... Inanifikirisha sana
 
Hivi ushahidi wa hili ni upi? Zile muvi za kutengenezwa ama?? Kasome kitabu cha

Boräm B. Amicheviç kiitwacho.

𝘽𝙧𝙞𝙩𝙞𝙨𝙝 𝙏𝙝𝙤𝙪𝙜𝙝𝙩 𝙤𝙛 𝘼𝙢𝙞𝙣 𝘿𝙞𝙘𝙩𝙖𝙩𝙤𝙧𝙨𝙝𝙞𝙥,
Screenshot_20230103-010236.jpg
 
Gaddafi alikuwa dikteta pia
Kaka...

Yaani propaganda zina nafasi kubwa siku hizi kuliko maarifa. Ila kinachochanganya, wanamtaja Amin kama dictator, ila hao hao wanamtaja Gaddaf kama shujaa wa Afrika, afu hao hao wanasema amin allikimbilia kwa Gadafi after vita. Sasa Shujaa kumpokea Dictator, mmhhh.... Inanifikirisha sana
 
Watawala gani makatili zaidi kuwahi kutokea barani Afrika na kwa sababu gani?

Mimi Nafikiri wafuatao

1.Mfalme Leopold II wa Ubelgiji
Alikuwa pia mtawala wa Congo DR ya sasa kati ya mwaka 1885 hadi 1909. Yale yote unayosoma au kusika Hitler aliwafanyia Waisraeli wa Kijuremani na Poland basi Mfalme Leopold aliwafanyia Wakongo.

2. Makaburu wa Africa Kusini(1948-1994)
Hawa walikuwa hawaamini kama Waafrika ni sawa na binadamu wengine. Watu weusi wakazi asilia wa Africa Kusini ambao walikuwa asilimia 90 ya wakazi wote walitumikishwa chini ya kongwa la utumwa na kikundi cha watu weupe wasiozidi asilimia kumi ya idadi ya watu wote kwa miaka 46.Makaburu waliondoa kabisa dhana ya utu wa mtu mweusi.

3. Iddi Amin(1971-1979)
Huyu ni Kiongozi wa Uganda aliyekuwa Katili na mwehu.Alifanya kila ushenzi katika utawala wake.Alikuwa anaamini yeye ndiye mtu pekee asiye mzungu mwenye akili kuliko wazungu wote na anayeogopwa nao.Aliua viwete alifukuza Waasia wote Uganda. Akimpenda mke wako anakuua anamchukua.

4.Mobutu Seseko(1965-1997)
Huyu alikuwa Rais wa Congo DR aliyependa maisha ya starehe tu bila kujali raia wake wako katika hali gani.Alikuwa anafanyia shopping zake Paris. Aliingizwa katika siasa za juu za Congo na Lumumba ila baadaye alihusika kikamilifu katika Mipango ya kuuwawa kwa Lumumba.

5. Yahya Jammeh wa Gambia(1994-2017)
Huyu itoshe kusema ni mwendawazimu aliyeyafikia madaraka makubwa ya nchi ndio maana hata kuondolewa kwake ilikuwa kirahisi sana ukilinganisha na madikteta wengine. Pamoja na ukatili mwingi aliofanya aliwaaminisha wagambia anayo dawa ya jadi kutibu Ukimwi na maelfu wa waathirika waliangamia katika utawala wake.

6. Jean Bedel Bokassa
Aliitawala Jamuhuri ya Africa ya Kati(CAR) Kati ya mwaka 1966 hadi 1979.Aliingia madarakani kwa mapinduzi ya kijeshi na baadaye alijitangaza yeye ni Mfalme.Wakati wa kujiapisha aliagiza kofia ya kifalme,farasi, champagne na hata maua kutoka Ufaransa.Huyu wapinzani wake walikufa vifo vibaya sana vya kulishwa simba na mamba.Na wakati mwingine aliua familia yote ili kuzuia kulipiza kisasi.

7. Mengistu Haile Mariam
aliitawala Ethiopia kati ya mwaka 1974 hadi 1991 alipopinduliwa na Meles Zenawi. Katika utawala wake wa miaka 17 Alifanya mauji ya kimbari, ubakaji nanjaa kwa maelfu ya raia. Karatasi yake ya mashtaka na ushahidi ilikuwa ya kurasa 8000. Yupo hai anaishi uhamishoni Zimbabwe.

8. Sani Abacha
aliitawala Nigeria kwa miaka mitano tu kati ya 1993-1998 lakini Wanaigeria waliweza kuuishi jehanamu yao kwa kipindi hiko kifupi.Pamoja na mateso na mauji mengine mengi alimtesa na kumuua mfanyabiashara maarufu Moshood Abiola mshindi wa Urais mwaka 1993 kabla ya mapinduzi, alimuua mwanaharakati maarufu wa mazingira Ken Saro-Wiwa.Wakati wa utawala wake magereza zilifurika na wapinzani wake. Aliiba zaidi ya Tirioni 1 za hela ya madafu na kuzificha ughaibuni. Alikufa mwaka 1998 kifo cha utata akiwa na makahaba watatu.

9. Teodoro Obianga Nguema
Rais wa sasa Equatorial Guinea tangu mwaka 1979.Taifa lake ni mojawapo ya nchi zenye mafuta mengi zaidi barani Africa ila zaidi ya theluthi mbili ya Raia wake wanaishi katika umaskini topevu.Yeye ndiye Alfa na Omega Guinea huwezi ukazungumza chochote dhidi yake hadharani ukabaki salama. Amemfanya mmoja wa watoto wake kuwa makamu wake wa Rais pia. Propaganda za vyombo vya habari zinamuelezea yeye kama mungu katika nchi hiyo.

10.Hissene Habre (1982-1990)
Inakadiriwa aliua watu zaidi ya elfu arobani na alitumia njia zozote za mateso kwa wapinzani wake.Katika utawala wake watu walinyongwa na vipago, walichomwa kwa gesi, waliuwawa kwa kunyimwa oksijeni n.k.

Tunahitaji the opposite list ya Viongozi makatili Africa
Inawezekana Tanzania tunaongoza Kwa Marais wapole Africa
1.Ally Hassan Mwinyi
2.Samia Suluhu Hassan.
4.Jakaya Kikwete
5.Benjamin Mkapa...
6.Uhuru Kenyatta
7.Bakili Muluzi
8.Thabo Mbeki
9. Nelson Mandela
10.Marais wa Botswana almost wote ...

List sijaipanga Kwa ranks
 
Katika wote hao hakuna aliyemfikia Francisco Macias Nguema. Mjomba wa Theodore Nguema. Africa haijawahi kuwa na kiongozi kichaa na katili kama huyo jamaa.
 
Watawala gani makatili zaidi kuwahi kutokea barani Afrika na kwa sababu gani?

Mimi Nafikiri wafuatao

1.Mfalme Leopold II wa Ubelgiji
Alikuwa pia mtawala wa Congo DR ya sasa kati ya mwaka 1885 hadi 1909. Yale yote unayosoma au kusika Hitler aliwafanyia Waisraeli wa Kijuremani na Poland basi Mfalme Leopold aliwafanyia Wakongo.

2. Makaburu wa Africa Kusini(1948-1994)
Hawa walikuwa hawaamini kama Waafrika ni sawa na binadamu wengine. Watu weusi wakazi asilia wa Africa Kusini ambao walikuwa asilimia 90 ya wakazi wote walitumikishwa chini ya kongwa la utumwa na kikundi cha watu weupe wasiozidi asilimia kumi ya idadi ya watu wote kwa miaka 46.Makaburu waliondoa kabisa dhana ya utu wa mtu mweusi.

3. Iddi Amin(1971-1979)
Huyu ni Kiongozi wa Uganda aliyekuwa Katili na mwehu.Alifanya kila ushenzi katika utawala wake.Alikuwa anaamini yeye ndiye mtu pekee asiye mzungu mwenye akili kuliko wazungu wote na anayeogopwa nao.Aliua viwete alifukuza Waasia wote Uganda. Akimpenda mke wako anakuua anamchukua.

4.Mobutu Seseko(1965-1997)
Huyu alikuwa Rais wa Congo DR aliyependa maisha ya starehe tu bila kujali raia wake wako katika hali gani.Alikuwa anafanyia shopping zake Paris. Aliingizwa katika siasa za juu za Congo na Lumumba ila baadaye alihusika kikamilifu katika Mipango ya kuuwawa kwa Lumumba.

5. Yahya Jammeh wa Gambia(1994-2017)
Huyu itoshe kusema ni mwendawazimu aliyeyafikia madaraka makubwa ya nchi ndio maana hata kuondolewa kwake ilikuwa kirahisi sana ukilinganisha na madikteta wengine. Pamoja na ukatili mwingi aliofanya aliwaaminisha wagambia anayo dawa ya jadi kutibu Ukimwi na maelfu wa waathirika waliangamia katika utawala wake.

6. Jean Bedel Bokassa
Aliitawala Jamuhuri ya Africa ya Kati(CAR) Kati ya mwaka 1966 hadi 1979.Aliingia madarakani kwa mapinduzi ya kijeshi na baadaye alijitangaza yeye ni Mfalme.Wakati wa kujiapisha aliagiza kofia ya kifalme,farasi, champagne na hata maua kutoka Ufaransa.Huyu wapinzani wake walikufa vifo vibaya sana vya kulishwa simba na mamba.Na wakati mwingine aliua familia yote ili kuzuia kulipiza kisasi.

7. Mengistu Haile Mariam
aliitawala Ethiopia kati ya mwaka 1974 hadi 1991 alipopinduliwa na Meles Zenawi. Katika utawala wake wa miaka 17 Alifanya mauji ya kimbari, ubakaji nanjaa kwa maelfu ya raia. Karatasi yake ya mashtaka na ushahidi ilikuwa ya kurasa 8000. Yupo hai anaishi uhamishoni Zimbabwe.

8. Sani Abacha
aliitawala Nigeria kwa miaka mitano tu kati ya 1993-1998 lakini Wanaigeria waliweza kuuishi jehanamu yao kwa kipindi hiko kifupi.Pamoja na mateso na mauji mengine mengi alimtesa na kumuua mfanyabiashara maarufu Moshood Abiola mshindi wa Urais mwaka 1993 kabla ya mapinduzi, alimuua mwanaharakati maarufu wa mazingira Ken Saro-Wiwa.Wakati wa utawala wake magereza zilifurika na wapinzani wake. Aliiba zaidi ya Tirioni 1 za hela ya madafu na kuzificha ughaibuni. Alikufa mwaka 1998 kifo cha utata akiwa na makahaba watatu.

9. Teodoro Obianga Nguema
Rais wa sasa Equatorial Guinea tangu mwaka 1979.Taifa lake ni mojawapo ya nchi zenye mafuta mengi zaidi barani Africa ila zaidi ya theluthi mbili ya Raia wake wanaishi katika umaskini topevu.Yeye ndiye Alfa na Omega Guinea huwezi ukazungumza chochote dhidi yake hadharani ukabaki salama. Amemfanya mmoja wa watoto wake kuwa makamu wake wa Rais pia. Propaganda za vyombo vya habari zinamuelezea yeye kama mungu katika nchi hiyo.

10.Hissene Habre (1982-1990)
Inakadiriwa aliua watu zaidi ya elfu arobani na alitumia njia zozote za mateso kwa wapinzani wake.Katika utawala wake watu walinyongwa na vipago, walichomwa kwa gesi, waliuwawa kwa kunyimwa oksijeni n.k.
magufuli umemuachia nani?
 
Samwel Doe alikuwa katili sana. Na aliamini sana katika ushirikina.

Alikuwa akiwakamata wapinxani wake na kuwafunga pingu kisha matrekta yakiwaburuza kwenye lami, huku miili yao ikinyofoka mpaka kufa hukuru matangaxo yakitolewa kuwa yeye atakayejaribu kuchezea utawala wa Masta Sajenti Doe mwisho wake ni huu.

Alikuja kukamatwa na wapiganaji wa Prince Johnson, wakamvua nguo zote, wakamtesa, wakampiga picha akiwa uchi. Kisha kumwua na kuilaza maiti yake juu ya kichanja kilivlchokuwa pembeni ya barabara.
Nasikia pia wana wa jeshi la waasi au mpinzani wake, prince johnson.

Walichukua jukumu la kumla-witi / kumchezea buttocks zake,

Wana wa jeshi wapatao 38, lakini samuel doe alikuwa imara bado...?

Ni kweli samuel doe, waliliwa- tako na wana hawa wa jeshi wa prince johson.

🍁..............kush master..................🍁
 
Watawala gani makatili zaidi kuwahi kutokea barani Afrika na kwa sababu gani?

Mimi Nafikiri wafuatao

1.Mfalme Leopold II wa Ubelgiji
Alikuwa pia mtawala wa Congo DR ya sasa kati ya mwaka 1885 hadi 1909. Yale yote unayosoma au kusika Hitler aliwafanyia Waisraeli wa Kijuremani na Poland basi Mfalme Leopold aliwafanyia Wakongo.

2. Makaburu wa Africa Kusini(1948-1994)
Hawa walikuwa hawaamini kama Waafrika ni sawa na binadamu wengine. Watu weusi wakazi asilia wa Africa Kusini ambao walikuwa asilimia 90 ya wakazi wote walitumikishwa chini ya kongwa la utumwa na kikundi cha watu weupe wasiozidi asilimia kumi ya idadi ya watu wote kwa miaka 46.Makaburu waliondoa kabisa dhana ya utu wa mtu mweusi.

3. Iddi Amin(1971-1979)
Huyu ni Kiongozi wa Uganda aliyekuwa Katili na mwehu.Alifanya kila ushenzi katika utawala wake.Alikuwa anaamini yeye ndiye mtu pekee asiye mzungu mwenye akili kuliko wazungu wote na anayeogopwa nao.Aliua viwete alifukuza Waasia wote Uganda. Akimpenda mke wako anakuua anamchukua.

4.Mobutu Seseko(1965-1997)
Huyu alikuwa Rais wa Congo DR aliyependa maisha ya starehe tu bila kujali raia wake wako katika hali gani.Alikuwa anafanyia shopping zake Paris. Aliingizwa katika siasa za juu za Congo na Lumumba ila baadaye alihusika kikamilifu katika Mipango ya kuuwawa kwa Lumumba.

5. Yahya Jammeh wa Gambia(1994-2017)
Huyu itoshe kusema ni mwendawazimu aliyeyafikia madaraka makubwa ya nchi ndio maana hata kuondolewa kwake ilikuwa kirahisi sana ukilinganisha na madikteta wengine. Pamoja na ukatili mwingi aliofanya aliwaaminisha wagambia anayo dawa ya jadi kutibu Ukimwi na maelfu wa waathirika waliangamia katika utawala wake.

6. Jean Bedel Bokassa
Aliitawala Jamuhuri ya Africa ya Kati(CAR) Kati ya mwaka 1966 hadi 1979.Aliingia madarakani kwa mapinduzi ya kijeshi na baadaye alijitangaza yeye ni Mfalme.Wakati wa kujiapisha aliagiza kofia ya kifalme,farasi, champagne na hata maua kutoka Ufaransa.Huyu wapinzani wake walikufa vifo vibaya sana vya kulishwa simba na mamba.Na wakati mwingine aliua familia yote ili kuzuia kulipiza kisasi.

7. Mengistu Haile Mariam
aliitawala Ethiopia kati ya mwaka 1974 hadi 1991 alipopinduliwa na Meles Zenawi. Katika utawala wake wa miaka 17 Alifanya mauji ya kimbari, ubakaji nanjaa kwa maelfu ya raia. Karatasi yake ya mashtaka na ushahidi ilikuwa ya kurasa 8000. Yupo hai anaishi uhamishoni Zimbabwe.

8. Sani Abacha
aliitawala Nigeria kwa miaka mitano tu kati ya 1993-1998 lakini Wanaigeria waliweza kuuishi jehanamu yao kwa kipindi hiko kifupi.Pamoja na mateso na mauji mengine mengi alimtesa na kumuua mfanyabiashara maarufu Moshood Abiola mshindi wa Urais mwaka 1993 kabla ya mapinduzi, alimuua mwanaharakati maarufu wa mazingira Ken Saro-Wiwa.Wakati wa utawala wake magereza zilifurika na wapinzani wake. Aliiba zaidi ya Tirioni 1 za hela ya madafu na kuzificha ughaibuni. Alikufa mwaka 1998 kifo cha utata akiwa na makahaba watatu.

9. Teodoro Obianga Nguema
Rais wa sasa Equatorial Guinea tangu mwaka 1979.Taifa lake ni mojawapo ya nchi zenye mafuta mengi zaidi barani Africa ila zaidi ya theluthi mbili ya Raia wake wanaishi katika umaskini topevu.Yeye ndiye Alfa na Omega Guinea huwezi ukazungumza chochote dhidi yake hadharani ukabaki salama. Amemfanya mmoja wa watoto wake kuwa makamu wake wa Rais pia. Propaganda za vyombo vya habari zinamuelezea yeye kama mungu katika nchi hiyo.

10.Hissene Habre (1982-1990)
Inakadiriwa aliua watu zaidi ya elfu arobani na alitumia njia zozote za mateso kwa wapinzani wake.Katika utawala wake watu walinyongwa na vipago, walichomwa kwa gesi, waliuwawa kwa kunyimwa oksijeni n.k.
Ilikuwa ni lazima wawe kumi tu?
 
Back
Top Bottom