Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Hivi sasa tunaona baadhi ya viongozi wa kuteuliwa, wanachapa watu viboko hadharani huku vitendo hivyo vikirekodiwa na picha kusambazwa mitandaoni.
Binafsi naamini vitendo hivi vinajenga chuki na kuamsha hasira za wananchi na naaamini pia wako baadhi ya watu kwa sasa wameanza kupania ku-react vibaya endapo watakuja kufanyiwa udhalilishaji huu.
Hatujui watu wanapanga nini katika mioyo yao ila kuna wanaoweza ku-react wakati kitendo hicho kinaendelea na kuna wanaoweza kuja kulipiza baadae-kila mtu na akili yake.
Hivyo, ikitokea kiongozi kageuziwa kibao na kudhalilishwa mbele ya camera au siku yoyote baada ya tukio, tunaomba watawala na vyombo vya dola mkae kimya kama mlivyochagua kukaa kimya wakati wananchi wanadhalilishwa.
Endeleeni ila iko siku mtakutana na watu wanaoweza kufanya maamuzi magumu na ya kijasiri yanayoweza kumaliza kabisa hii tabia kwa kumtoa mfano mmoja wa weteule anaendekeza hii tabia ya kudhalilisha watu hadharani.
Binafsi naamini vitendo hivi vinajenga chuki na kuamsha hasira za wananchi na naaamini pia wako baadhi ya watu kwa sasa wameanza kupania ku-react vibaya endapo watakuja kufanyiwa udhalilishaji huu.
Hatujui watu wanapanga nini katika mioyo yao ila kuna wanaoweza ku-react wakati kitendo hicho kinaendelea na kuna wanaoweza kuja kulipiza baadae-kila mtu na akili yake.
Hivyo, ikitokea kiongozi kageuziwa kibao na kudhalilishwa mbele ya camera au siku yoyote baada ya tukio, tunaomba watawala na vyombo vya dola mkae kimya kama mlivyochagua kukaa kimya wakati wananchi wanadhalilishwa.
Endeleeni ila iko siku mtakutana na watu wanaoweza kufanya maamuzi magumu na ya kijasiri yanayoweza kumaliza kabisa hii tabia kwa kumtoa mfano mmoja wa weteule anaendekeza hii tabia ya kudhalilisha watu hadharani.