Wildchild
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 19,411
- 21,938
Sasa hivi waliokuwa waimba mapambio pendwa wanahack account zao wenyewe ili kupata huruma.Account yako Imekuwa hacked
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa hivi waliokuwa waimba mapambio pendwa wanahack account zao wenyewe ili kupata huruma.Account yako Imekuwa hacked
Hawapo Akina Mwamwindi siku hizi ndugu yanguWatu wanasahau mapema yaliyompata RC Iringa, Dr Kleruu, mbele ya Mwamwindi.
Mahakama c zipo wapelekwe huko wahukumiwe kwa hakiAcha ujuha wewe, hao wanaochapwa umejua mambo wanayoyafanya? Nini kuchapwa, walifaa kunyongwa kama ingekuwa china
Magufuli is evil, ogopa sana mtu anajionyesha ni mcha Mungu, Yesu alitufundisha unyenyekevu na siyo ukatili dhidi binadamu wengine, atalipa siku moja kwa uonevu huu dhidi ya Watanzania.
Mahakama pekee ndiyo yenye haki ya kuhukumu kwenye ya Mungu na siyo viboko,
Shoboka siku mojaJaribu na wewe uone
Mimi mgeni?Magufuli is evil, ogopa sana mtu anajionyesha ni mcha Mungu, Yesu alitufundisha unyenyekevu na siyo ukatili dhidi binadamu wengine, atalipa siku moja kwa uonevu huu dhidi ya Watanzania.
Mahakama pekee ndiyo yenye haki ya kuhukumu kwenye ya Mungu na siyo viboko, ...
Ni wew au account yako imekuwa hacked....!!?Magufuli is evil, ogopa sana mtu anajionyesha ni mcha Mungu, Yesu alitufundisha unyenyekevu na siyo ukatili dhidi binadamu wengine, atalipa siku moja kwa uonevu huu dhidi ya Watanzania.
Mahakama pekee ndiyo yenye haki ya kuhukumu kwenye ya Mungu na siyo viboko, ...
Kweli kabisa, Magufuli analea Ujinga, asije akalaumu haya mambo yakimfika yeye, na yatamfika!Hivi sasa tunaona baadhi ya viongozi wa kuteuliwa, wanachapa watu viboko hadharani huku vitendo hivyo vikirekodiwa na picha kusambazwa mitandaoni...
Lakini ndiyo yanafanya kaziHayo mliyonayo ni batili
Mtanyooka kabisaHata mwanao akisha zoe bakora mwisho wa siku atakuwa sugu [emoji849]kuliko ibilisi [emoji83]
Kibanga amchapa mkoloni hahahaha.Hivi sasa tunaona baadhi ya viongozi wa kuteuliwa, wanachapa watu viboko hadharani huku vitendo hivyo vikirekodiwa na picha kusambazwa mitandaoni.
Binafsi naamini vitendo hivi vinajenga chuki na kuamsha hasira za wananchi na naaamini pia wako baadhi ya watu kwa sasa wameanza kupania ku-react vibaya endapo watakuja kufanyiwa udhalilishaji huu.
Hatujui watu wanapanga nini katika mioyo yao ila kuna wanaoweza ku-react wakati kitendo hicho kinaendelea na kuna wanaoweza kuja kulipiza baadae-kila mtu na akili yake.
Hivyo, ikitokea kiongozi kageuziwa kibao na kudhalilishwa mbele ya camera au siku yoyote baada ya tukio, tunaomba watawala na vyombo vya dola mkae kimya kama mlivyochagua kukaa kimya wakati wananchi wanadhalilishwa.
Endeleeni ila iko siku mtakutana na watu wanaoweza kufanya maamuzi magumu na ya kijasiri yanayoweza kumaliza kabisa hii tabia kwa kumtoa mfano mmoja wa weteule anaendekeza hii tabia ya kudhalilisha watu hadharani.
Hata Afrika Kusini, makaburu waliporuhusu weusi wapige kura ndiyo ulikua mwisho wao.Lakini ndiyo yanafanya kazi
Ni kweli kabisa. Bora wangepelekwa mahakamani kwa kuhujumu mali za umma na wengine kuwadhalilisha na kusafirisha binadam kwa manufaa ya kiuchumi.Hivi sasa tunaona baadhi ya viongozi wa kuteuliwa, wanachapa watu viboko hadharani huku vitendo hivyo vikirekodiwa na picha kusambazwa mitandaoni.
Binafsi naamini vitendo hivi vinajenga chuki na kuamsha hasira za wananchi na naaamini pia wako baadhi ya watu kwa sasa wameanza kupania ku-react vibaya endapo watakuja kufanyiwa udhalilishaji huu.
Hatujui watu wanapanga nini katika mioyo yao ila kuna wanaoweza ku-react wakati kitendo hicho kinaendelea na kuna wanaoweza kuja kulipiza baadae-kila mtu na akili yake.
Hivyo, ikitokea kiongozi kageuziwa kibao na kudhalilishwa mbele ya camera au siku yoyote baada ya tukio, tunaomba watawala na vyombo vya dola mkae kimya kama mlivyochagua kukaa kimya wakati wananchi wanadhalilishwa.
Endeleeni ila iko siku mtakutana na watu wanaoweza kufanya maamuzi magumu na ya kijasiri yanayoweza kumaliza kabisa hii tabia kwa kumtoa mfano mmoja wa weteule anaendekeza hii tabia ya kudhalilisha watu hadharani.
Nani kashika simu ya huyu mtu? Atamletea matatizo jamaniMagufuli is evil, ogopa sana mtu anajionyesha ni mcha Mungu, Yesu alitufundisha unyenyekevu na siyo ukatili dhidi binadamu wengine, atalipa siku moja kwa uonevu huu dhidi ya Watanzania.
Mahakama pekee ndiyo yenye haki ya kuhukumu kwenye ya Mungu na siyo viboko, ...
ww uko nje ya sayari hii mwenzetu?!Mtanyooka kabisa
Sasa kwa mfano yule mama mlemavu angekutana na jehu likajibu mapigo si angekufa?Subiri yawkute hao wapenda sifa ndio mtajua ubaya wa vitendo hivi.
Kweli kabisa huu sio mwandiko wake! Atapata taabu huyu pale Lumumba shauri yake!!Nani kashika simu ya huyu mtu? Atamletea matatizo jamani
Leo akili ya Lumumba umepeleka wapi? Haki ya nani utapata taabu wewe!!Magufuli is evil, ogopa sana mtu anajionyesha ni mcha Mungu, Yesu alitufundisha unyenyekevu na siyo ukatili dhidi binadamu wengine, atalipa siku moja kwa uonevu huu dhidi ya Watanzania.
Mahakama pekee ndiyo yenye haki ya kuhukumu kwenye ya Mungu na siyo viboko, ...