Watawala wa kike katika nchi za Kiislamu

Hivi una ushahidi kuwa alikuwa Muislam?

Ulishuhudia akisilimishwa hata katika video clip kama wewe hukuwepo?

Jibu kinagaubaga tusonge mbele sheikh.
 
Write your reply...
NINASUBIRI JIBU LA juu ya swali je uislamu unasemaje kuhusu kutawaliwa na mwanamke? T
Ingia google type ''Major ban for Arabian women in Arab countries'' utaona wanavyowanyanyasa wanawake

Foristance'

Women are not allowed :

- To try clothes when doing shopping (kujaribu Nguo kabla ya kununua)

- To compete freely in sports (kushindana ktk michezo)

- To interact with men (kuchanganyika na wanaume)

- To drive (kuendesha gari)

- Kwenda sokoni

Kazi yao muhimu ni kupika, kuzaa na kulea watoto basi
 
Hata kama lakini ina waislamu wengi kuliko dini zote. Na kama unabisha nitakuwekea facts
Umeulizwa Nigeria imekuwa nchi ya kiislam tangu lini?

Badala ujibu swali unatoa maelezo ambayo hayajahitajika.

Mna shida gani kichwani enyi wafuasi wa Bwana mwamedi?
 
inayouma kuliko zote kwenye sharia iliyonona hawaruhusiwi kwenda sehem yoyote bila ruhusa ya mwanaume. Kwahyo hata akitaka kutoroka atadakwa airport aombwe ruhusa
 
inayouma kuliko zote kwenye sharia iliyonona hawaruhusiwi kwenda sehem yoyote bila ruhusa ya mwanaume..kwahyo hata akitaka kutoroka atadakwa airport aombwe ruhusa
Hii dini ina mateso sana kwa wanawake. Bado akiolewa analetewa wakewenza wengine wanne.
 
Hata kama lakini ina waislamu wengi kuliko dini zote. Na kama unabisha nitakuwekea facts
Ndugu kuna nchi ya waislamu na nchi ya kiislamu.

Nchi ya kiislamu ni ile inayoongozwa na sheria za kiislamu.

Nchi ya waislamu ni ile ambayo ina waislamu wengi kama vile zanzibar n.k

Sasa unapochanganya hayo inakuwa ngumu kutetea hoja
 
inayouma kuliko zote kwenye sharia iliyonona hawaruhusiwi kwenda sehem yoyote bila ruhusa ya mwanaume..kwahyo hata akitaka kutoroka atadakwa airport aombwe ruhusa
Naam mkuu huo ndio utaratibu wa uislamu.

Utaratibu bora kabisa wenye kulinda heshima katika dunia.
 
Naam mkuu huo ndio utaratibu wa uislamu.

Utaratibu bora kabisa wenye kulinda heshima katika dunia.
[emoji23][emoji23]haha,, it's one thing to be gullible ...and its totally another thing to like being gullible
 
Hii dini ina mateso sana kwa wanawake. Bado akiolewa analetewa wakewenza wengine wanne.
nmesoma shule za kiislam nmekaa na waislam...waschana weng hii kitu ya kuolewa wanne huwa hawapendi kinoma.
ila wanaoshadadia ni watembeza rungu.

yani kama mwanamke ni kuku uislam ni KFC
 
Kwa sasa nchi zinazoongozwa Kwa Sheria za kiislam mi Iran Azabaijan Brunei maleysia Somalia Yemeni Saudi Arabia Mauritania Pakistan Nigeria kaskazin saiv nao Wana utawala wa kiislam huko kaskazin hata mahakama huko wanatumia Sharia chechinia kama kuna nyingine mtaongeza
 
Ilikuwa bahari?
Haikuwa bahari, ilikuwa ni bara, yaani eneo kubwa la nchi kavu (so the opposite is true) hakukuwa na hizi nchi zilizopo Leo kama Nigeria, nchi zimekuja kuwapo baadae ukiacha Ethiopia na Egypt tu.
 
Haikuwa bahari, ilikuwa ni bara, yaani eneo kubwa la nchi kavu (so the opposite is true) hakukuwa na hizi nchi zilizopo Leo kama Nigeria, nchi zimekuja kuwapo baadae ukiacha Ethiopia na Egypt tu.
Unazungumza majina yanayotumika kuzitambulisha nchi, huzungmuzii nchi sehemu ya ardhi yenye watu wanaojitambulisha kwa maskani yao ambayo in mipaka yake. Himaya ya amina ilikuwa inaitwa Zazzau, ambayo leo hii inajulikana kama Kaduna ndani ya Nigeria. Eneo hilo lilikuwa la kiisalamu tangu miaka ya mwazo ya uislamu.
 
Hahaha, umeanza kuubadilisha gia angani. Sio nchi ya Nigeria tena, Well, tuwekee ushahidi wa kusilimu kwake na haya mengine pia.
 
Hahaha, umeanza kuubadilisha gia angani. Sio nchi ya Nigeria tena, Well, tuwekee ushahidi wa kusilimu kwake na haya mengine pia.
Na wewe ninaona kuwa una matatizo ya kusoma na kuelewa mambo; mimi niliandika kuwa "..... mtawala wa kike kule Nigeria ya kaskazini kwenye jamii ya wahausa ambayo ni ya kiislamu kwa muda mrefu sana aliyekuwa akiitwa malkia Amina."

Msomaji mzuri anajua kuwa huyo hakuwa mtawala wa Nigeria bali alikuwa wa kwenye jamii ya wahausa ambao wapo Nigeria. Ukitaka kuelezea historia ya Mtemi Milambo utasema alikuwa mtemi wa Unyanyembe huko Tabora, lakini ukiwa nje ya Tanzania utasema alikuwa mtemi wa Unyanyemebe huko katikati ya Tanzania. Kama unaona hilo ni tatizo, basi utakuwa na matatizo zaidi ya hilo.
 
Ndugu kuna nchi ya waislamu na nchi ya kiislamu.

Nchi ya kiislamu ni ile inayoongozwa na sheria za kiislamu.

Nchi ya waislamu ni ile ambayo ina waislamu wengi kama vile zanzibar n.k

Sasa unapochanganya hayo inakuwa ngumu kutetea hoja

Al akhi sina maana nigeria ni nchi ya kiislamu, "laa"ni nchi iliyo na waislamu wengi kuliko wakristo n.k.

Hata hapa kwetu inasemekana ina waislamu wengi kuliko dini zote ingawa inaendeshwa kwa mfumo kristo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…