Watawala wa kike katika nchi za Kiislamu


Hebu nikuulize swali hata mtoto aweza jibu. Kwa sasa Nigeria ina waisilamu wengi kuliko waco waisilamu. Sasa swali langu ni hili, iyo idadi ndogo iliobakia ya waco waisilamu mwisho wa cku nao wakaingia kwenye uisilamu, bado utasema Nigeria co nchi yakiisilamu?
 
Mlolongi unakosea sana kumuita mwenzako kafiri.
Hivi Mkristu nae ni kafir?
Ni lini tutaelimika??????

Wewe ni muisilamu ama umesilimu ivi karibuni ukayapuuza mafundisho ya dini!!! hujui hata kafiri ni nani!!!

Au nikupatie maana yake?
 
Nimesema nchi za kiislamu, siyo nchi za kiarabu. Ukishasema uarabuni, usisahau kuwa hata israel ni sehemu ya uarabuni ambayo licha ya wayahudi ina pia waislamu wengi sana na iliwahikutawaliwa na mwanamke Golda Meir
Hao Waislamu wengi ni asilimia ngapi ya population ya nchi ya Israel?
 
Maana ya 'kafiri' ni kila asiekuwa Muislamu. Kama kuna mtu anakereka na kukwazika kwa kuitwa kafiri, njia ya kuepukana na hilo awe Muislamu
Hahahah Yani Ni Sawa Na Mo akereke kuitwa boss ...Akatupe Hela Zake zote baharini
 
Sisi amina wetu wapo wanachimba viazi tu
 
Kwani Nigeria Kaskazini ni nchi?
 
Alafu kuna mavi-mavi anapita na kusema Uislam dini ya Amani. Tuone Matendo na sio maneno mengi. Ni Bora kukaa kama wa-Hadzabe, wa-Datoga na wa-Tindiga. Mana hawa sio wakatili licha ya kutojua nini mana ya MUNGU
Ukilinganisha kijinga hivyo, akina Hitler, Mussolini na Stalin walikuwa waislamu?
 
Wewe umeuliza kama Nigeria ina utawala wa uisilamu, mimi nimekujibu kuwa enzi za utawala wa Aminata hakukuwa na Nigeria kama ilivyo sasa. Umeelewa lakini?
Kwahyo Jibu la swali langu Ni ndiyo au hapana?ukiondoa blah blah nyingi
 
Usilinganishe kuchimba viazi Na vitu vya kijinga wewe....kwenye viazi unatumia akili nyingi...inabidi ujue maeneo yenye viazi,style ya kuvichimba Na speed ya kuvichimbia kuepuka kuchafuka....inahitaji akili Hyo Mzee sio kama Kuongoza maislam unasoma Raqat mbili, unaongezea kakiarabu ka kinafiki yenyewe yatafata chochote unachosema...
Ukimwambia dem Kwa kiarabu "nipe ****" ,anakupa ....ila ukimwambia Kiswahili hawezi....
niueni
 

Tatizo lenu hamjui kuitafasiri Qur'an. Unatasiri unavyotaka wewe, akili ya wapi iyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…