bitimkongwe
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 7,794
- 7,551
Hiyo ni tafsiri yako weweKama Hilter Alikuwa Mkristo Je Kwani Aliwauwa Wa Israel(Taifa La MUNGU).Hitler hakuwa mkristo bali alizaliwa katika familia ya kikristo na kupewa jina la kikristo. Ukristo haukuwa dini ukristo ulikuwa ni matendo yanayo fanana na Yesu Kristo, Yesu hakufundisha hekaluni , alifundisha kwa njia ya mkutano/makongamano na alifukuzwa na makuhani hekaluni. So kwenye Biblia hakuna Mstari wowote wa kiugadi , ila kama utataka nitaweka mistari ya kuran ya kiugaidi , Na Taliban , Al Queda wote ni vijana walio katika msimamo wa kidini ya Kiislamu - chini ya Quaran
Bhana kwanini tuzunguke Sana swali la yes au no?Ooh unajua ilikuwa Hivi ikawa vileReally?
Sibishani na wewe ntabishana na Muhamad mwenyewe ". Na ntaanza hivi "Kama MUNGU Alimuumba Adam Kwa umbo sura na mfano wake , iweje sasa Allah ana mikono miwili alafu yote ipo upande wa kulia , Alafu kwanini Allah anawapa dhawabu watu wanaowauwa mijusi na binadamu wasiomamini " (Kumbuka Biblia inasema MUNGU ni mwema huwanyeshea mvua wema kwa wabaya).
Wewe utanipita labda kwa melody(kuimba) ila sio uchambuzi na maana
Ndiomaana nikasema hamjui kuitafsiri Qur'an.
Astaghfirullah. Aya ipi katika Qur'an inayosema Allah ana mikono miwili? Naomba uthibitishe ilo.
Vilevile naomba aya inayosema wanapata thawabu watu ambao wanauwa watu wasioamini uisilamu!!!!
Sasa kuna mdau hapo juu katudanganya kwamba usilamu umeanza karne ya 4 wakati mwanzilishi kazaliwa mwaka 625.Ni Karne ya 7 na ndio miaka Muhammad Alizaliwa . Unahesabu hivi mwaka 601 (Baada Ya Kifo cha Kristo) hadi 700 (Baada Ya Kifo cha Kristo)
Jifunze kusoma na kuelewa mambo; wewe unazungumza Nigeria iliyoundwa baada ya Uhuru miaka ya sitini na post hiyo inazungumuza himaya ndani ya nchi hiyo miaka ya 1400 kabla ya Usman dan Fodio.
Sunan an-Nasa'i 5379 - The Book of the Etiquette of Judges
It was narrated from 'Abdullah bin 'Amr bin Al-'As that:
The Prophet [SAW] said: "Those who are just and fair will be with Allah, Most High, on thrones of light, at the right hand of the Most Merciful, those who are just in their rulings and in their dealings with their families and those of whom they are in charge." Muhammad (one of the narrators) said in his Hadith: "And both of His hands are right hands."
أَخْبَرَنَا قُتَيْبَةُ بْنُ سَعِيدٍ، قَالَ حَدَّثَنَا سُفْيَانُ، عَنْ عَمْرٍو، ح وَأَنْبَأَنَا مُحَمَّدُ بْنُ
آدَمَ بْنِ سُلَيْمَانَ، عَنِ ابْنِ الْمُبَارَكِ، عَنْ سُفْيَانَ بْنِ عُيَيْنَةَ، عَنْ عَمْرِو بْنِ
دِينَارٍ، عَنْ عَمْرِو بْنِ أَوْسٍ، عَنْ عَبْدِ اللَّهِ بْنِ عَمْرِو بْنِ الْعَاصِ، عَنِ النَّبِيِّ
صلى الله عليه وسلم قَالَ " إِنَّ الْمُقْسِطِينَ عِنْدَ اللَّهِ تَعَالَى عَلَى مَنَابِرَ مِنْ نُورٍ
عَلَى يَمِينِ الرَّحْمَنِ الَّذِينَ يَعْدِلُونَ فِي حُكْمِهِمْ وَأَهْلِيهِمْ وَمَا وَلُوا ". قَالَ مُحَمَّدٌ فِ
حَدِيثِهِ " وَكِلْتَا يَدَيْهِ يَمِينٌ
KIFUNGU HAPO JUU KINA ONESHA ALLAH ANA MIKONO MIWILI NA YOTE IPO UPANDE WA KULIA
Hiyo ni karne ya sita...
hakukuwa na karne ya zero kwahyo
1-100 karne ya kwanza
100-200 ya pili
200-300 ya tatu
300-400 ya nne
400-500 ya tano
500--600 ya sita
600-700 ya saba
Na bado sio kwamba alizaliwa tu na uislam ukaanza...ulianza akiwa na 40+years kwhyo ni kwenye miaka ya 600's karne ya saba
hivi we unazungumzia uislamu au unamzungumzia mtume Muhammad?!! Kuna hajaa ya kuwasiliana na wajuzi wakuelimishe.....bahati mbaya mi si mmojawao ktk wajuao, ningelikupa darsa
Kwaheri! Tusalimie hukoKwani Kuna Uislam kabla ya false prophet Muhammad?
Asante namimi nakujibu kitoto kwasababu umeniuliza swali lla wastani wa kitotoHebu nikuulize swali hata mtoto aweza jibu. Kwa sasa Nigeria ina waisilamu wengi kuliko waco waisilamu. Sasa swali langu ni hili, iyo idadi ndogo iliobakia ya waco waisilamu mwisho wa cku nao wakaingia kwenye uisilamu, bado utasema Nigeria co nchi yakiisilamu?
Ukiitwa mjinga utaona unaonewa kumbe ni mjnga kweli tena kweli kweli.Sunan an-Nasa'i 5379 - The Book of the Etiquette of Judges
It was narrated from 'Abdullah bin 'Amr bin Al-'As that:
The Prophet [SAW] said: "Those who are just and fair will be with Allah, Most High, on thrones of light, at the right hand of the Most Merciful, those who are just in their rulings and in their dealings with their families and those of whom they are in charge." Muhammad (one of the narrators) said in his Hadith: "And both of His hands are right hands."
أَخْبَرَنَا قُتَيْبَةُ بْنُ سَعِيدٍ، قَالَ حَدَّثَنَا سُفْيَانُ، عَنْ عَمْرٍو، ح وَأَنْبَأَنَا مُحَمَّدُ بْنُ
آدَمَ بْنِ سُلَيْمَانَ، عَنِ ابْنِ الْمُبَارَكِ، عَنْ سُفْيَانَ بْنِ عُيَيْنَةَ، عَنْ عَمْرِو بْنِ
دِينَارٍ، عَنْ عَمْرِو بْنِ أَوْسٍ، عَنْ عَبْدِ اللَّهِ بْنِ عَمْرِو بْنِ الْعَاصِ، عَنِ النَّبِيِّ
صلى الله عليه وسلم قَالَ " إِنَّ الْمُقْسِطِينَ عِنْدَ اللَّهِ تَعَالَى عَلَى مَنَابِرَ مِنْ نُورٍ
عَلَى يَمِينِ الرَّحْمَنِ الَّذِينَ يَعْدِلُونَ فِي حُكْمِهِمْ وَأَهْلِيهِمْ وَمَا وَلُوا ". قَالَ مُحَمَّدٌ فِ
حَدِيثِهِ " وَكِلْتَا يَدَيْهِ يَمِينٌ
KIFUNGU HAPO JUU KINA ONESHA ALLAH ANA MIKONO MIWILI NA YOTE IPO UPANDE WA KULIA
Asante namimi nakujibu kitoto kwasababu umeniuliza swali lla wastani wa kitoto
Inamaana na nyie ukoo wenu mzima mkienda kuishi ulaya ndio mtakuwa wazungu?
Jifunze kuelewa tofauti kati ya nchi ya kiislamu na uislamu ni nini na asili yake na umekujaje africa nk
kuukimbia ukweli haina maana ndio kupona