Watawala wa kike katika nchi za Kiislamu

Watawala wa kike katika nchi za Kiislamu

Kama Hilter Alikuwa Mkristo Je Kwani Aliwauwa Wa Israel(Taifa La MUNGU).Hitler hakuwa mkristo bali alizaliwa katika familia ya kikristo na kupewa jina la kikristo. Ukristo haukuwa dini ukristo ulikuwa ni matendo yanayo fanana na Yesu Kristo, Yesu hakufundisha hekaluni , alifundisha kwa njia ya mkutano/makongamano na alifukuzwa na makuhani hekaluni. So kwenye Biblia hakuna Mstari wowote wa kiugadi , ila kama utataka nitaweka mistari ya kuran ya kiugaidi , Na Taliban , Al Queda wote ni vijana walio katika msimamo wa kidini ya Kiislamu - chini ya Quaran
Hiyo ni tafsiri yako wewe
 
Sibishani na wewe ntabishana na Muhamad mwenyewe ". Na ntaanza hivi "Kama MUNGU Alimuumba Adam Kwa umbo sura na mfano wake , iweje sasa Allah ana mikono miwili alafu yote ipo upande wa kulia , Alafu kwanini Allah anawapa dhawabu watu wanaowauwa mijusi na binadamu wasiomamini " (Kumbuka Biblia inasema MUNGU ni mwema huwanyeshea mvua wema kwa wabaya).
Wewe utanipita labda kwa melody(kuimba) ila sio uchambuzi na maana

Ndiomaana nikasema hamjui kuitafsiri Qur'an.

Astaghfirullah. Aya ipi katika Qur'an inayosema Allah ana mikono miwili? Naomba uthibitishe ilo.

Vilevile naomba aya inayosema wanapata thawabu watu ambao wanauwa watu wasioamini uisilamu!!!!
 
Ndiomaana nikasema hamjui kuitafsiri Qur'an.

Astaghfirullah. Aya ipi katika Qur'an inayosema Allah ana mikono miwili? Naomba uthibitishe ilo.

Vilevile naomba aya inayosema wanapata thawabu watu ambao wanauwa watu wasioamini uisilamu!!!!

Quran 9:29 Fight those who do not believe in Allah or in the Last Day and who do not consider unlawful what Allah and His Messenger have made unlawful and who do not adopt the religion of truth from those who were given the Scripture - [fight] until they give the jizyah willingly while they are humbled.

Quran 9:5
But when the forbidden months are past, then fight and slay(kuchinja) the Pagans(Wa-Hadzabe , Wamasai, Watindiga) wherever ye find them, an seize them, beleaguer them, and lie in wait for them in every stratagem (of war); but if they repent, and establish regular prayers and practise regular charity, then open the way for them: for Allah is Oft-forgiving

Surah 9:5 “Then kill the disbelievers (non-Muslims) wherever you find them, capture them and besiege them, and lie in wait for them in each and every ambush ...”

Surah 3:151
“We shall cast terror into the hearts of those who disbelieve (all non-Muslims) ...

Qur'an 5:33 "The recompense of those who fight Allah and His messenger, and seek to make corruption in the land, is that they be killed or crucified or that cut their hands and feet be cut off from alternate sides or that they be banished from the land; that is their disgrace in this world and in the Hereafter they will have a great torment




 
Jifunze kusoma na kuelewa mambo; wewe unazungumza Nigeria iliyoundwa baada ya Uhuru miaka ya sitini na post hiyo inazungumuza himaya ndani ya nchi hiyo miaka ya 1400 kabla ya Usman dan Fodio.
1629264909656.png

1629264757532.png
 

Sunan an-Nasa'i 5379 - The Book of the Etiquette of Judges

It was narrated from 'Abdullah bin 'Amr bin Al-'As that:

The Prophet [SAW] said: "Those who are just and fair will be with Allah, Most High, on thrones of light, at the right hand of the Most Merciful, those who are just in their rulings and in their dealings with their families and those of whom they are in charge." Muhammad (one of the narrators) said in his Hadith: "And both of His hands are right hands."


أَخْبَرَنَا قُتَيْبَةُ بْنُ سَعِيدٍ، قَالَ حَدَّثَنَا سُفْيَانُ، عَنْ عَمْرٍو، ح وَأَنْبَأَنَا مُحَمَّدُ بْنُ
آدَمَ بْنِ سُلَيْمَانَ، عَنِ ابْنِ الْمُبَارَكِ، عَنْ سُفْيَانَ بْنِ عُيَيْنَةَ، عَنْ عَمْرِو بْنِ
دِينَارٍ، عَنْ عَمْرِو بْنِ أَوْسٍ، عَنْ عَبْدِ اللَّهِ بْنِ عَمْرِو بْنِ الْعَاصِ، عَنِ النَّبِيِّ
صلى الله عليه وسلم قَالَ ‏"‏ إِنَّ الْمُقْسِطِينَ عِنْدَ اللَّهِ تَعَالَى عَلَى مَنَابِرَ مِنْ نُورٍ
عَلَى يَمِينِ الرَّحْمَنِ الَّذِينَ يَعْدِلُونَ فِي حُكْمِهِمْ وَأَهْلِيهِمْ وَمَا وَلُوا ‏"‏‏.‏ قَالَ مُحَمَّدٌ فِ
حَدِيثِهِ ‏"‏ وَكِلْتَا يَدَيْهِ يَمِينٌ​

KIFUNGU HAPO JUU KINA ONESHA ALLAH ANA MIKONO MIWILI NA YOTE IPO UPANDE WA KULIA

Sura Al-Ikhlas(The Purity)
بِسْمِ اللَّهِ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ قُلْ هُوَ اللَّهُ أَحَدٌ
Sema: Yeye Mwenyezi Mungu ni wa pekee.

اللَّهُ الصَّمَدُ
Mwenyezi Mungu Mkusudiwa.


لَمْ يَلِدْ وَلَمْ يُولَدْ
Hakuzaa wala hakuzaliwa.


وَلَمْ يَكُنْ لَهُ كُفُوًا أَحَدٌ
Wala hana anaye fanana naye hata mmoja.
 
Hiyo ni karne ya sita...
hakukuwa na karne ya zero kwahyo
1-100 karne ya kwanza
100-200 ya pili
200-300 ya tatu
300-400 ya nne
400-500 ya tano
500--600 ya sita
600-700 ya saba

Na bado sio kwamba alizaliwa tu na uislam ukaanza...ulianza akiwa na 40+years kwhyo ni kwenye miaka ya 600's karne ya saba

hivi we unazungumzia uislamu au unamzungumzia mtume Muhammad?!! Kuna hajaa ya kuwasiliana na wajuzi wakuelimishe.....bahati mbaya mi si mmojawao ktk wajuao, ningelikupa darsa
 
Hebu nikuulize swali hata mtoto aweza jibu. Kwa sasa Nigeria ina waisilamu wengi kuliko waco waisilamu. Sasa swali langu ni hili, iyo idadi ndogo iliobakia ya waco waisilamu mwisho wa cku nao wakaingia kwenye uisilamu, bado utasema Nigeria co nchi yakiisilamu?
Asante namimi nakujibu kitoto kwasababu umeniuliza swali lla wastani wa kitoto
Inamaana na nyie ukoo wenu mzima mkienda kuishi ulaya ndio mtakuwa wazungu?
Jifunze kuelewa tofauti kati ya nchi ya kiislamu na uislamu ni nini na asili yake na umekujaje africa nk
kuukimbia ukweli haina maana ndio kupona
 

Sunan an-Nasa'i 5379 - The Book of the Etiquette of Judges

It was narrated from 'Abdullah bin 'Amr bin Al-'As that:

The Prophet [SAW] said: "Those who are just and fair will be with Allah, Most High, on thrones of light, at the right hand of the Most Merciful, those who are just in their rulings and in their dealings with their families and those of whom they are in charge." Muhammad (one of the narrators) said in his Hadith: "And both of His hands are right hands."


أَخْبَرَنَا قُتَيْبَةُ بْنُ سَعِيدٍ، قَالَ حَدَّثَنَا سُفْيَانُ، عَنْ عَمْرٍو، ح وَأَنْبَأَنَا مُحَمَّدُ بْنُ
آدَمَ بْنِ سُلَيْمَانَ، عَنِ ابْنِ الْمُبَارَكِ، عَنْ سُفْيَانَ بْنِ عُيَيْنَةَ، عَنْ عَمْرِو بْنِ
دِينَارٍ، عَنْ عَمْرِو بْنِ أَوْسٍ، عَنْ عَبْدِ اللَّهِ بْنِ عَمْرِو بْنِ الْعَاصِ، عَنِ النَّبِيِّ
صلى الله عليه وسلم قَالَ ‏"‏ إِنَّ الْمُقْسِطِينَ عِنْدَ اللَّهِ تَعَالَى عَلَى مَنَابِرَ مِنْ نُورٍ
عَلَى يَمِينِ الرَّحْمَنِ الَّذِينَ يَعْدِلُونَ فِي حُكْمِهِمْ وَأَهْلِيهِمْ وَمَا وَلُوا ‏"‏‏.‏ قَالَ مُحَمَّدٌ فِ
حَدِيثِهِ ‏"‏ وَكِلْتَا يَدَيْهِ يَمِينٌ​

KIFUNGU HAPO JUU KINA ONESHA ALLAH ANA MIKONO MIWILI NA YOTE IPO UPANDE WA KULIA
Ukiitwa mjinga utaona unaonewa kumbe ni mjnga kweli tena kweli kweli.
Kwanza kwa msaada ili ufahamu kuwa wewe ni mjinga, tofautisha Hadith na Quran, pili tafsiri ya hata Biblia ni elimu na sio majinun kama wewe unaweza kuelewa bila kueleweshwa.
Umeambiwa weka ushahidi wa Quran unaleta mapokeo ya Hadith. Pia kwa ujinga wako tena uulize kwenye Hadith kuna Dhaif ambazo hazina uthibitisho kuwa Muhammad alitamka au laa, kwahiyo hilo la Hadith ni taalum sio kila kichaa anaweza kutafsiri anavyopenda.
 
Asante namimi nakujibu kitoto kwasababu umeniuliza swali lla wastani wa kitoto
Inamaana na nyie ukoo wenu mzima mkienda kuishi ulaya ndio mtakuwa wazungu?
Jifunze kuelewa tofauti kati ya nchi ya kiislamu na uislamu ni nini na asili yake na umekujaje africa nk
kuukimbia ukweli haina maana ndio kupona

Naona bado huwelewi chifu,,,,ukoo we2 uende europe wakati uko kuna wenye nchi yao ambao ni wazungu, na ndiyo many more zaid yawageni!


Chukulia nchi kama Sudan utasema co nchi yakiisilamu!!!!!, kwann nigeria ikiwa na waisilamu wengi icwe inchi yakiisilamu!

Zanzibar ina waisilamu wingi kuliko waco waisilamu but itaenderea kuwa inchi yakiisilamu.
 
Back
Top Bottom