ilala yetu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 1,451
- 2,348
Dah mkuu Hawa tra Wanachofanya sasaivi mungu ndo anajua wako brbrn wanakamata ad bajaj wamekua kama trafk
Jana nimechkua boda boda town naingia mtaani Ile dogo wa boda boda anakunja t kuingia street road jamaa Hawa hapa wakaivamia kbsa kwa kuidandia Kama tuko vitani kwa vurugu na vitisho alaf wako wawili wakaiweka pemben,kwa vurugu na vitisho kama tuko Somalia vitani
Aise nilistuka sana namuliza dogo Hawa nan aisee maana nilifkiri majambazi maana inatisha kwa kweli akaniambia WENYE NCHI YAO Hawa wanatuvamia t skuiz wanakagua Hadi Nguo z ndan .na jamaa ananshusha kbsa tafuta usafiri mwngne.
tunapoelekea Kama nchi sio kuzuri kwa kweli tunawafanya hata vijana wadog wataftaji wa Mia Mia tatu wachukie nchi yao.
Ikifika mahali kijana mdogo anakuambia HAWA WENYE NCHI YAO means tunapoelekea sio pazuri.
Serikali ijitathmini sana tunapoelekea iko wapi TZ ya wanyonge iliyohubiriwa kwenye kampeni
Jana nimechkua boda boda town naingia mtaani Ile dogo wa boda boda anakunja t kuingia street road jamaa Hawa hapa wakaivamia kbsa kwa kuidandia Kama tuko vitani kwa vurugu na vitisho alaf wako wawili wakaiweka pemben,kwa vurugu na vitisho kama tuko Somalia vitani
Aise nilistuka sana namuliza dogo Hawa nan aisee maana nilifkiri majambazi maana inatisha kwa kweli akaniambia WENYE NCHI YAO Hawa wanatuvamia t skuiz wanakagua Hadi Nguo z ndan .na jamaa ananshusha kbsa tafuta usafiri mwngne.
tunapoelekea Kama nchi sio kuzuri kwa kweli tunawafanya hata vijana wadog wataftaji wa Mia Mia tatu wachukie nchi yao.
Ikifika mahali kijana mdogo anakuambia HAWA WENYE NCHI YAO means tunapoelekea sio pazuri.
Serikali ijitathmini sana tunapoelekea iko wapi TZ ya wanyonge iliyohubiriwa kwenye kampeni