Watawala wamebariki hizi faini za kionevu zinazofanywa na TRA mabarabarani?

Watawala wamebariki hizi faini za kionevu zinazofanywa na TRA mabarabarani?

Dah mkuu Hawa tra Wanachofanya sasaivi mungu ndo anajua wako brbrn wanakamata ad bajaj wamekua kama trafk

Jana nimechkua boda boda town naingia mtaani Ile dogo wa boda boda anakunja t kuingia street road jamaa Hawa hapa wakaivamia kbsa kwa kuidandia Kama tuko vitani kwa vurugu na vitisho alaf wako wawili wakaiweka pemben,kwa vurugu na vitisho kama tuko Somalia vitani

Aise nilistuka sana namuliza dogo Hawa nan aisee maana nilifkiri majambazi maana inatisha kwa kweli akaniambia WENYE NCHI YAO Hawa wanatuvamia t skuiz wanakagua Hadi Nguo z ndan .na jamaa ananshusha kbsa tafuta usafiri mwngne.
tunapoelekea Kama nchi sio kuzuri kwa kweli tunawafanya hata vijana wadog wataftaji wa Mia Mia tatu wachukie nchi yao.
Ikifika mahali kijana mdogo anakuambia HAWA WENYE NCHI YAO means tunapoelekea sio pazuri.
Serikali ijitathmini sana tunapoelekea iko wapi TZ ya wanyonge iliyohubiriwa kwenye kampeni
 
Sijaelewa..hapo ulitaka tra wapindishe sheria ili kodi ya serikali ipotee au unalalamika nini?
Mapenzi yako yasipelekee ukosefu wa akili,naamini wewe si chizi ila mapenzi kwa utawala huu ndio yanaibadili akili yako.Na wengi tunajua ukimuona mtu kiherehere wa utawala huu utajua ni ama ananufaika na utawala huu ama kula kulala kwa shemeji,ila ukiwa muhangaikaji utawala huu vikwazo ni vingi sana kwa watafutaji.

Mifano ya watu kama nyinyi ni mingi tukianza na mwenezi wa chama bwana taratibu tangu umeambiwa tumboni pana jaa ameshageuka kasuku.

Chukua mfano rahisi wa sababu za vitambulisho vya wajasiriamali wadogo na sababu za watawala kuvianzisha,huyu dereva kama kweli alipaswa kuadhibiwa basi ilitakiwa walau hata awekwe kwenye kundi hilo kwakuwa huyu ni mlala hoi,kilichofanyika ni sawa na kumpiga faini chinga 3000,0000/= kwakua hana kitambulisho cha mjasiriliamali jambo ambalo sio sawa .Nasisitiza hapa palihitaji hekima sio sifa za kijinga.

Kuwa mtimilifu kwenye sheria usifikiri ni jambo rahisi na ndio maana nasema sio wewe tu,kama sheria zingekuwa zinafuatwa hata Magufuli asingekuwepo uraiani leo.Na ili ujue kufuata Sheria ni ngumu,maraisi wamejitengenezea vifungu kwenye katiba vya Kinga yakutoshitakiwa mahakamani,jaribu kutafakari hayo na sio unabwabwaja tu.
 
Hili swala lilianza muda mrefu tu. Madereva walichekelea wakijua litawaumiza matajiri tu!

Yaani wakasahau kabisa hata hivyo vimizigo wanavyobeba ni hisani tu kwa sababu gari yenyewe ubavuni imeandikwa "UNAUTHORISED CARGO IS STRICTLY PROHIBITED".

Labda nikuulize kitu mtoa mada,

-TRA watajuaje kama huo mzigo uliobeba ni wako na siyo wa mwenye gari?

-unachohitaji kifanyike ni kipi hasa, mwenye gari adaiwe risiti ya kielektroniki wakati huo huo dereva akibeba mzigo usio na risiti busara itumike?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
NO BIG NO mazao hayatozwi Kodi iwe ya Halmashauri au ya TRA
Mleta Mada ungetuelekeza ni wapi hapo walipomkamata na mzigo huo wa maparachichi tena yaliyooza, maana mmiliki wa parachichi ni lazima na yeye atakuwepo kwenye hilo Semi
Dereva mzigo bado haumuhus km atamtaja mwenye mzigo
ila km kakamatwa kwenye mzani wa TANROAD basi TRA wana makosa
mkuu mtoa mada haujamuelewa kodi inayozungumziwa hapo sio kodi ya mazao ni kodi anayopaswa kulipa mwenye gari pale anapofanya biashara ya usafirishaji,maana yake mwenye nikwamba mzigo alitakiwa kuna na risiti inayonyesha kiasi alicholipa kwa kusafirishiwa parachich zake
 
Duh mbona kama sijaelewa hapa. Kwani wasafirishaji nao wanatakiwa kuwa na mashine ya efd? Vipi kwa wenye uber na kirikuu?
 
Mapenzi yako yasipelekee ukosefu wa akili,naamini wewe si chizi ila mapenzi kwa utawala huu ndio yanaibadili akili yako.Na wengi tunajua ukimuona mtu kiherehere wa utawala huu utajua ni ama ananufaika na utawala huu ama kula kulala kwa shemeji,ila ukiwa muhangaikaji utawala huu vikwazo ni vingi sana kwa watafutaji.

Mifano ya watu kama nyinyi ni mingi tukianza na mwenezi wa chama bwana taratibu tangu umeambiwa tumboni pana jaa ameshageuka kasuku.

Chukua mfano rahisi wa sababu za vitambulisho vya wajasiriamali wadogo na sababu za watawala kuvianzisha,huyu dereva kama kweli alipaswa kuadhibiwa basi ilitakiwa walau hata awekwe kwenye kundi hilo kwakuwa huyu ni mlala hoi,kilichofanyika ni sawa na kumpiga faini chinga 3000,0000/= kwakua hana kitambulisho cha mjasiriliamali jambo ambalo sio sawa .Nasisitiza hapa palihitaji hekima sio sifa za kijinga.

Kuwa mtimilifu kwenye sheria usifikiri ni jambo rahisi na ndio maana nasema sio wewe tu,kama sheria zingekuwa zinafuatwa hata Magufuli asingekuwepo uraiani leo.Na ili ujue kufuata Sheria ni ngumu,maraisi wamejitengenezea vifungu kwenye katiba vya Kinga yakutoshitakiwa mahakamani,jaribu kutafakari hayo na sio unabwabwaja tu.
Huyo si kwamba ana mapenzi ya kweli kwa huu utawala bali amepata ulaji ndo unaomtia upofu.
 
Kinachoendelea Tanzania kwa Sasa kinafikirisha kiasi cha kujiuliza hivi hao wanaoitwa wanyonge na watawala ni wakinanani?

Ndugu zangu kunadereva wa lorry kubwa(semi) amepigwa faini ya milioni tatu(3000,000/=) na TRA kisa amepakia gunia 25 za parachichi na walipomtaka risiti za kielekroni za transport hakuwanazo. Hivi gari la 30tones limepakia 2tones wameshindwa kujua kwamba ni dereva tu anabangaiza?

Mishahara yenyewe laki tatu dereva wa transit anasafiri kwenda kongo wakati mwingine hata mwezi mzima bado yupo njiani,siku anarudi anabahatisha japo vigunia kadhaa vimemponza ajira yake.

Huyu dereva alipofika dar ameshusha mabegi yake kaachafunguo za gari kwenye gari kaondoka bila ya kuaga kwani ile faini imeingizwa kwenye TIN no za tajiri hivyo aliogopa siku tajiri akijua huwenda akadaiwa.

Kuna mambo yanahitaji hekima wakati fulani kwani kama kila jambo likitazamwa kisheria naamini hata Magufuli kwa sasa asingekuwa uraiani muda huu angekuwa magereza. Hizi magereza zisingetosha kwani maisha yetu ya kawaida yangehamia magereza.

Nakumbuka Jakaya alishawahi kuwauliza tanroad kipindi kile cha bomoabomoa naomba nimnukuu,"Hivi kama itatokea kuna eneo la kihistoria za kale lipo kwenye hifadhi ya barabara nalo mtabomoa?"

TRA imekuwa kazi ya laaana kwani imekuwa kazi ya kuumiza na kutesa watu,tambueni mmetesa zaidi ya huyu dereva kwani huyu dereva anategemewa na familia yake na wote hawa mmewaweka kwenye taabu kisa kuwafurahisha watawala.

Nimalizie kwakusema hii faini aliopigwa huyu dereva haiendani kabisa na kosa lake kama haya ndio maagizo kutoka juu basi watawala wajue raia wanajutia wao kuwepo madarakani.
Kwenye hiyo nukuu ya mzee wetu JK walijibuje mkuu???
 
Ni kweli, busara itumike, sheria ikiangaliwa strictly kila wakati, hata jiwe lingekua ndani muda huu
 
NO BIG NO mazao hayatozwi Kodi iwe ya Halmashauri au ya TRA
Mleta Mada ungetuelekeza ni wapi hapo walipomkamata na mzigo huo wa maparachichi tena yaliyooza, maana mmiliki wa parachichi ni lazima na yeye atakuwepo kwenye hilo Semi
Dereva mzigo bado haumuhus km atamtaja mwenye mzigo
ila km kakamatwa kwenye mzani wa TANROAD basi TRA wana makosa
Sio kodi ya mazao, hujaelewa; ni risiti anayotoa mwenye gari kwa huduma ya usafirishaji anayoitoa, na huikabidhi kwa mteja huduma inapokamilika, yaani mzigo kufika
 
Sijaelewa..hapo ulitaka tra wapindishe sheria ili kodi ya serikali ipotee au unalalamika nini?
Kwahiyo, mi sielewi, ina maana huko kichwani kwako hakuna ubongo kabisa au neno busara ni gumu sana?
 
Kinachoendelea Tanzania kwa Sasa kinafikirisha kiasi cha kujiuliza hivi hao wanaoitwa wanyonge na watawala ni wakinanani?

Ndugu zangu kunadereva wa lorry kubwa(semi) amepigwa faini ya milioni tatu(3000,000/=) na TRA kisa amepakia gunia 25 za parachichi na walipomtaka risiti za kielekroni za transport hakuwanazo. Hivi gari la 30tones limepakia 2tones wameshindwa kujua kwamba ni dereva tu anabangaiza?

Mishahara yenyewe laki tatu dereva wa transit anasafiri kwenda kongo wakati mwingine hata mwezi mzima bado yupo njiani,siku anarudi anabahatisha japo vigunia kadhaa vimemponza ajira yake.

Huyu dereva alipofika dar ameshusha mabegi yake kaachafunguo za gari kwenye gari kaondoka bila ya kuaga kwani ile faini imeingizwa kwenye TIN no za tajiri hivyo aliogopa siku tajiri akijua huwenda akadaiwa.

Kuna mambo yanahitaji hekima wakati fulani kwani kama kila jambo likitazamwa kisheria naamini hata Magufuli kwa sasa asingekuwa uraiani muda huu angekuwa magereza. Hizi magereza zisingetosha kwani maisha yetu ya kawaida yangehamia magereza.

Nakumbuka Jakaya alishawahi kuwauliza tanroad kipindi kile cha bomoabomoa naomba nimnukuu,"Hivi kama itatokea kuna eneo la kihistoria za kale lipo kwenye hifadhi ya barabara nalo mtabomoa?"

TRA imekuwa kazi ya laaana kwani imekuwa kazi ya kuumiza na kutesa watu,tambueni mmetesa zaidi ya huyu dereva kwani huyu dereva anategemewa na familia yake na wote hawa mmewaweka kwenye taabu kisa kuwafurahisha watawala.

Nimalizie kwakusema hii faini aliopigwa huyu dereva haiendani kabisa na kosa lake kama haya ndio maagizo kutoka juu basi watawala wajue raia wanajutia wao kuwepo madarakani.
Kutoza kodi kindakindaki kunahitaji uchumi uwe umeshaendelea.

Kodi ni kama kumkamua ng'ombe maziwa.

Ili umkamue na upate maziwa vizuri bila kumuua ng'ombe, unahitaji kumlisha kwanza.

Ama sivyo utakamua maziwa mpaka upate damu na ng'ombe afe.

Tanzania kuna msisitizo wa kutoza kodi, wakati uchumi wenyewe dhooful-hal.

Tunaua uchumi. Kuanzia kwa makampuni makubwa, wafanyabiashara wa kati, mpaka wafanyabiashara wadogo.
 
Duh mbona kama sijaelewa hapa. Kwani wasafirishaji nao wanatakiwa kuwa na mashine ya efd? Vipi kwa wenye uber na kirikuu?
Ndio, wasafirishaji wa mizigo mikoani wanapaswa kuwa na EFD, vimzigo vya ndani ya mji wanalipia tu mapato annually, Uber wanakatwa kodi kupitia Tin ya kampuni ya uber ambayo wana ofisi hapa nchini
 
Kinachoendelea Tanzania kwa Sasa kinafikirisha kiasi cha kujiuliza hivi hao wanaoitwa wanyonge na watawala ni wakinanani?

Ndugu zangu kunadereva wa lorry kubwa(semi) amepigwa faini ya milioni tatu(3000,000/=) na TRA kisa amepakia gunia 25 za parachichi na walipomtaka risiti za kielekroni za transport hakuwanazo. Hivi gari la 30tones limepakia 2tones wameshindwa kujua kwamba ni dereva tu anabangaiza?

Mishahara yenyewe laki tatu dereva wa transit anasafiri kwenda kongo wakati mwingine hata mwezi mzima bado yupo njiani,siku anarudi anabahatisha japo vigunia kadhaa vimemponza ajira yake.

Huyu dereva alipofika dar ameshusha mabegi yake kaachafunguo za gari kwenye gari kaondoka bila ya kuaga kwani ile faini imeingizwa kwenye TIN no za tajiri hivyo aliogopa siku tajiri akijua huwenda akadaiwa.

Kuna mambo yanahitaji hekima wakati fulani kwani kama kila jambo likitazamwa kisheria naamini hata Magufuli kwa sasa asingekuwa uraiani muda huu angekuwa magereza. Hizi magereza zisingetosha kwani maisha yetu ya kawaida yangehamia magereza.

Nakumbuka Jakaya alishawahi kuwauliza tanroad kipindi kile cha bomoabomoa naomba nimnukuu,"Hivi kama itatokea kuna eneo la kihistoria za kale lipo kwenye hifadhi ya barabara nalo mtabomoa?"

TRA imekuwa kazi ya laaana kwani imekuwa kazi ya kuumiza na kutesa watu,tambueni mmetesa zaidi ya huyu dereva kwani huyu dereva anategemewa na familia yake na wote hawa mmewaweka kwenye taabu kisa kuwafurahisha watawala.

Nimalizie kwakusema hii faini aliopigwa huyu dereva haiendani kabisa na kosa lake kama haya ndio maagizo kutoka juu basi watawala wajue raia wanajutia wao kuwepo madarakani.
Mmeyataka wenyewe, chaguo lenu wenyewe...... Wacha muisome nambaaaa weee
 
SHIDA NI WATOTO WA MASIKINI AMBAO WANATAFUTA SIFA. HUKO JUU LAKINI NAWATANZANIA HAWASIKII KABSA
 
Back
Top Bottom