Watawala wasingekosea kama wangekuwa wanafunzi makini wa Historia!

Watawala wasingekosea kama wangekuwa wanafunzi makini wa Historia!

GoldDhahabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2023
Posts
7,189
Reaction score
10,375
Daniel Arap Moi "alijiapiza" kuwa KANU ingetawala Kenya miaka mia moja! Iko wapi kwa sasa? Haikufikisha hata miaka hamsini. Iliondolewa madarakani na waliowahi kuwa wana KANU waandamizi.

Adolf Hitler alikuwa na nia ya kuwaangamiza Wayahudi wote. Japo aliwaua wengi lakini lengo lake halikutimia. Badala yake, alikufa akawaacha Wayahudi wakiendelea "kustawi"

Kanali Ghadafi aliwapatia raia wake karibia kila kitu isipokuwa "uhuru". Kosa hilo lilimgharimu maisha na kuiharibu nchi yake "nzuri"

Rais wa Syria alijitahidi kuwanyamazisha raia wake waliotaka mabdaliko, lakini baada ya miaka mingi ya mtifuano nchini kwake, kaishia kuikimbia nchi yake. Angesoma alama za nyakati asingepatwa na hayo madhila!

Iliyokuwa nchi kubwa barani Afrika, Sudan, iliishia kugawanyika na kuwa nchi mbili, Sudan na
Sudan Kusini, kutokana na ubaguzi wa kiitikadi. Na kwa kuwa "dhambi" ya ubaguzi ni mbaya sana, amani haikudumu nchini Sudan hata baada ya Sudan Kusini kujitenga. Inafahamika kilichofuatia mpaka kumfurusha madarakani Rais Omar El Bashir.

Kama watawala wangejifunza kuwapatia wenye nchi wanachokihitaji hata kabla hawajakiulizia, wangeweza kutawala kwa utulivu na kujistaafia zao kwa amani!

Mungu ibariki Tanganyika!

Mchana Mwema!
 
Daniel Arap Moi "alijiapiza" kuwa KANU ingetawala Kenya miaka mia moja! Iko wapi kwa sasa? Haikufikisha hata miaka hamsini. Iliondolewa madarakani na waliowahi kuwa wana KANU waandamizi!

Adolf Hitler alikuwa na nia ya kuwaangamiza Wayahudi wote. Japo aliwaua wengi lakini lengo lake halikutimia. Badala yake, alikufa akawaacha Wayahudi wakiendelea "kustawi"

Kanali Ghadafi aliwapatia raia wake karibia kila kitu isipokuwa "uhuru". Kosa hilo lilimgharimu maisha na kuiharibu nchi yake "nzuri"

Rais wa Syria alijitahidi kuwanyamazisha raia wake waliotaka mabdaliko, lakini baada ya miaka mingi ya mtifuano nchini kwake, kaishia kuikimbia nchi yake. Angesoma alama za nyakati asingepatwa na hayo madhila!

Iliyokuwa nchi kubwa barani Afrika, Sudan, iliishia kugawanyika na kuwa nchi mbili, Sudan na
Sudan Kusini, kutokana na ubaguzi wa kiitikadi. Na kwa kuwa "dhambi" ya ubaguzi ni mbaya sana, amani haikudumu nchini Sudan hata baada ya Sudan Kusini kujitenga. Inafahamika kilichofuatia mpaka kumfurusha madarakani Rais Omar El Bashir!

Kama watawala wangejifunza kuwapatia wenye nchi wanachokihitaji hata kabla hawajakiulizia, wangeweza kutawala kwa utulivu na kujistaafia zao kwa amani!

Mungu ibariki Tanganyika!!!

Mchana Mwema!!!
Absolutely true,

History helps people to know social,economic and political changes took place in a give society.

It helps to know methodologies used by ancestors to solve problem occured in a given time.

Also it helps us TO KNOW MISTAKES DONE BY OUR ANCESTORS,AND AVOIDING BTO REPEAT IT.

Naam, I conquered with you, History is very good displine but people aren't ready to learn from it.

🙏🙏🙏
 
Daniel Arap Moi "alijiapiza" kuwa KANU ingetawala Kenya miaka mia moja! Iko wapi kwa sasa? Haikufikisha hata miaka hamsini. Iliondolewa madarakani na waliowahi kuwa wana KANU waandamizi!

Adolf Hitler alikuwa na nia ya kuwaangamiza Wayahudi wote. Japo aliwaua wengi lakini lengo lake halikutimia. Badala yake, alikufa akawaacha Wayahudi wakiendelea "kustawi"

Kanali Ghadafi aliwapatia raia wake karibia kila kitu isipokuwa "uhuru". Kosa hilo lilimgharimu maisha na kuiharibu nchi yake "nzuri"

Rais wa Syria alijitahidi kuwanyamazisha raia wake waliotaka mabdaliko, lakini baada ya miaka mingi ya mtifuano nchini kwake, kaishia kuikimbia nchi yake. Angesoma alama za nyakati asingepatwa na hayo madhila!

Iliyokuwa nchi kubwa barani Afrika, Sudan, iliishia kugawanyika na kuwa nchi mbili, Sudan na
Sudan Kusini, kutokana na ubaguzi wa kiitikadi. Na kwa kuwa "dhambi" ya ubaguzi ni mbaya sana, amani haikudumu nchini Sudan hata baada ya Sudan Kusini kujitenga. Inafahamika kilichofuatia mpaka kumfurusha madarakani Rais Omar El Bashir!

Kama watawala wangejifunza kuwapatia wenye nchi wanachokihitaji hata kabla hawajakiulizia, wangeweza kutawala kwa utulivu na kujistaafia zao kwa amani!

Mungu ibariki Tanganyika!!!

Mchana Mwema!!!hi

Daniel Arap Moi "alijiapiza" kuwa KANU ingetawala Kenya miaka mia moja! Iko wapi kwa sasa? Haikufikisha hata miaka hamsini. Iliondolewa madarakani na waliowahi kuwa wana KANU waandamizi!

Adolf Hitler alikuwa na nia ya kuwaangamiza Wayahudi wote. Japo aliwaua wengi lakini lengo lake halikutimia. Badala yake, alikufa akawaacha Wayahudi wakiendelea "kustawi"

Kanali Ghadafi aliwapatia raia wake karibia kila kitu isipokuwa "uhuru". Kosa hilo lilimgharimu maisha na kuiharibu nchi yake "nzuri"

Rais wa Syria alijitahidi kuwanyamazisha raia wake waliotaka mabdaliko, lakini baada ya miaka mingi ya mtifuano nchini kwake, kaishia kuikimbia nchi yake. Angesoma alama za nyakati asingepatwa na hayo madhila!

Iliyokuwa nchi kubwa barani Afrika, Sudan, iliishia kugawanyika na kuwa nchi mbili, Sudan na
Sudan Kusini, kutokana na ubaguzi wa kiitikadi. Na kwa kuwa "dhambi" ya ubaguzi ni mbaya sana, amani haikudumu nchini Sudan hata baada ya Sudan Kusini kujitenga. Inafahamika kilichofuatia mpaka kumfurusha madarakani Rais Omar El Bashir!

Kama watawala wangejifunza kuwapatia wenye nchi wanachokihitaji hata kabla hawajakiulizia, wangeweza kutawala kwa utulivu na kujistaafia zao kwa amani!

Mungu ibariki Tanganyika!!!

Mchana Mwema!!!
Historia ni ya kweli.
Kuhusu sababu za Mapinduzi yaliyotokea Ulaya na Asia miaka ya 1600-1800 sehemu kama Wingereza, Ufaransa, Austria, Urusi na sehemu nyingine. Kama Viongozi basi wangepitishwa kwenye sababu, na matokeo ya matukio hayo, basi hii ingesaidia katika kuwa na uongozi bora.
Walikuwepo watu kama;- Napoleon, Louis Adolf, Benito, Tojo, na wengine wanaendelea kufanya waliyoyafanya waliopita, mwisho wao ni ule ule.
Umuhimu wa Elimu ya Historia Kidato Sita.
 
Absolutely true,

History helps people to know social,economic and political changes took place in a give society.

It helps to know methodologies used by ancestors to solve problem occured in a given time.

Also it helps us TO KNOW MISTAKES DONE BY OUR ANCESTORS,AND AVOIDING BTO REPEAT IT.

Naam, I conquered with you, History is very good displine but people aren't ready to learn from it.

🙏🙏🙏
Absolutely true,

History helps people to know social,economic and political changes took place in a give society.

It helps to know methodologies used by ancestors to solve problem occured in a given time.

Also it helps us TO KNOW MISTAKES DONE BY OUR ANCESTORS,AND AVOIDING BTO REPEAT IT.

Naam, I conquered with you, History is very good displine but people aren't ready to learn from it.

🙏🙏🙏
Na asiyefunzwa na Historia hatokaa ajifunze!
 
Absolutely true,

History helps people to know social,economic and political changes took place in a give society.

It helps to know methodologies used by ancestors to solve problem occured in a given time.

Also it helps us TO KNOW MISTAKES DONE BY OUR ANCESTORS,AND AVOIDING BTO REPEAT IT.

Naam, I conquered with you, History is very good displine but people aren't ready to learn from it.

🙏🙏🙏
We can solve problems also by navigating through issues thoroughly, pasts shapes the present while present sets ground for the future, so basically one would have to figure what's trending with trending and projectory facts, domesticated thinking can also be catastrophic.

The past doest always necessarily help with current situations, focusing on micro and macro perspectives helps a lot, tracing history is just a proportion among several options/answers.

👍👍👍👍
 
Mara nyingi kusikia kwa Kenge mpaka damu zitoke masikioni,
Na mara viongozi huwa wanalewa madaraka na huota kiburi na hawajitambui kabisa...
 
We can solve problems also by navigating through issues thoroughly, pasts shapes the present while present sets ground for the future, so basically one would have to figure what's trending with trending and projectory facts, domesticated thinking can also be catastrophic.

The past doest always necessarily help with current situations, focusing on micro and macro perspectives helps a lot, tracing history is just a proportion among several options/answers.

👍👍👍👍
Great 🙏🙏
 
Back
Top Bottom