Watawala wetu wajitathmini upya. Tanzania na Msumbiji hakuna tofauti sana

Watawala wetu wajitathmini upya. Tanzania na Msumbiji hakuna tofauti sana

Mushkov

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2024
Posts
357
Reaction score
686
Napenda kuwaasa watawala wetu kuwa, kuanzia sasa waanze kusoma alama za nyakati. Mwaka 2025 tunarajia kufanya uchaguzi Mkuu. Viongozi wetu waongoke, wasirudie tena yaliyopita katika uchaguzi wa serikali za mitaa 2019, uchaguzi Mkuu 2020 na uchaguzi wa serikali za mitaa 2024.

Kinachoendelea Msumbiji ni watu kufika nukta ya mwisho ya uvumilivu. Hatua hiyo ikifika, huwa hakuna mtu tena anayeogopa risasi, mabomu au silaha nyingine yoyote ile. Wakati huo, kufa au kutokufa huwa vina thamani sawa.

Mwenye masikio na asikie.
 
Napenda kuwaasa watawala wetu kuwa, kuanzia sasa waanze kusoma alama za nyakati. Mwaka 2025 tunarajia kufanya uchaguzi Mkuu. Viongozi wetu waongoke, wasirudie tena yaliyopita katika uchaguzi wa serikali za mitaa 2019, uchaguzi Mkuu 2020 na uchaguzi wa serikali za mitaa 2024.

Kinachoendelea Msumbiji ni watu kufika nukta ya mwisho ya uvumilivu. Hatua hiyo ikifika, huwa hakuna mtu tena anayeogopa risasi, mabomu au silaha nyingine yoyote ile. Wakati huo, kufa au kutokufa huwa vina thamani sawa.

Mwenye masikio na asikie.
As long as kwa sasa wako Confortaeble zone.

Tuendelee kupiga ngoma tu.
 
Frelimo walikuja Tanzania kuwaomba mbinu za ushindi ,Sasa wakachukua mbinu zote Ambazo CCM huwa wanatumia basi uchaguzi ulipofika wakaona watume mbinu za CCM wakasahau msumbiji wanaishi watu wakati Tanzania ni maiti
Kulikuwa na ukaribu na urafiki wa haraka sana kati ya Nyusi na Mama.

Pia kati ya Nyusi na Paulo mti mrefu
 
Frelimo walikuja Tanzania kuwaomba mbinu za ushindi ,Sasa wakachukua mbinu zote Ambazo CCM huwa wanatumia basi uchaguzi ulipofika wakaona watume mbinu za CCM wakasahau msumbiji wanaishi watu wakati Tanzania ni maiti
Msumbiji hakuna kondoo kama Tanzania
 
Frelimo walikuja Tanzania kuwaomba mbinu za ushindi ,Sasa wakachukua mbinu zote Ambazo CCM huwa wanatumia basi uchaguzi ulipofika wakaona watume mbinu za CCM wakasahau msumbiji wanaishi watu wakati Tanzania ni maiti
Kuna siku itafufuka. Si unajua tena balaa lake kama mtu mliyemzika ukakutana nae mtaani?
 
Lakini siku Maiti wakifufuka sidhani kama watakubali kurudishwa Makaburini wakati Vigogo wa CCM wanakula Nchi.
Wale Nchi kwa mara ya mwisho mwisho, maana yajayo yatawatesa. Vinginevyo wakubali matakwa ya raia.
 
Unawazungumzia watanzania hawa hawa au kuna wengine?
 

Attachments

  • IMG_3341.jpeg
    IMG_3341.jpeg
    136.9 KB · Views: 2
Tunataka HAKI zetu za kiraia za kumchagua tumtakaye.HAKI zetu zimeporwa na CCM
 
Unawazungumzia watanzania hawa hawa au kuna wengine?
Kaka, zama huwa zinabadilika sana. Mara nyingi mambo hayo huja automatically. Mimi nakuambia, siku hiyo ikifika watu hujawa na UJASIRI kwa kiwango ambacho haijapatapo kutokea.
Saa inakuja, hawa Askari badala ya kutupiga risasi wataungana na sisi.
 
Kaka, zama huwa zinabadilika sana. Mara nyingi mambo hayo huja automatically. Mimi nakuambia, siku hiyo ikifika watu hujawa na UJASIRI kwa kiwango ambacho haijapatapo kutokea.
Saa inakuja, hawa Askari badala ya kutupiga risasi wataungana na sisi.
Miaka buku ijayo mkuu…may be
 
Miaka buku ijayo mkuu…may be
Huko ni mbali mno. Siku hiyo, CCM hawataamini, Watawala hawataamini na hata Askari wetu hawataamini kinachotokea. Mambo haya huwa yana mwisho wake.
 
Back
Top Bottom