Watazamaji zaidi ya milioni 600 kuitazama Simba SC kesho

Expensive life

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2020
Posts
2,971
Reaction score
9,437
Muwakilishi pekee kutoka Tanzania mnyama mkali Simba sc kesho majira ya saa nne kamili usiku, atatupa karata yake ya mwisho kwenye kundi lake, ushindi pekee unahitajika ili kuipeleka robo fainali miamba hiyo ya Africa.

Dunia inashauku na hamu kubwa kuona ni nini kitatokea kesho pale mkapa stadium, kulingana na ukubwa wa mechi hii kesho record za watizamaji kwenye television zinakwenda kuvunja.

Ikumbukwe CAF imerihusu mashabiki 35000 tu kwenda uwanjani kesho, hivyo basi idadi kubwa ya watizamaji wengi sana watakuwa majumbani mwao wakiufuatilia mchezo huo kupitia television dunian.

Huu ni wakati wetu watanzani na dunia kiujumla kuiombea Simba SC ushindi wa kishindo hapo kesho, Simba ikishinda Tanzania imeshinda.# NGUVUMOJA.
 
Acheni ukolo lini watanzania tukafikia milioni 600
 
Simba inatizamwa dunia nzima hivyo Kaa kwa kutulia.
Dunia ipi hiyo. Muda huo watu waache kuangalia mechi zinazo zihusu Barcelona na Inter wawaangalie Makolo na Boko wao.
Si utani lakini huu?
 
Sio bilioni 5 Tena??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…