Watazamaji zaidi ya milioni 600 kuitazama Simba SC kesho

Mkiambiwa nyie ni mambumbumbu kama alivyosema Rage mnaona tunawadhalilisha
 
Yaani Dunia imetulia inamwangia kibu, kweli umbumbumbuni Kuna vituko.[emoji1][emoji1]
 
Loading.......
Network error..
Try again Y/N
Yes.....
connected..
Searching all files...
1 second remains
2 files found
%%% file1_bange_za_arusha $
$file 2_njaa kali_$$%
..deleting...
$done

Kwa kifupi mtoa post anasumbuliwa na njaa kali pamoja na matumizi makubwa ya bange
 
Dakika ya 89 Simba 0-Gendermarie 3.
 
Acheni ukolo lini watanzania tukafikia milioni 600
Kwani watakao angalia tu ni watanzania?

Tanzania Tupo zaidi ya Milioni 60

Kenya Milioni 53.7

Uganda Milioni 45

Rwanda Milioni 12.95

Burundi Milioni 11.89

Sudan Milioni 11.9

DRC ni Milioni 90

Mozambique ni Milioni 31.26

Commoro ni Milioni 870,000

Niger kule ni Milioni 24.21

Moroko

Diaspora

Jumlisha na nchi ya Malawi, Zambia ,Zimbabwe, Ghana , Senegal, south Africa ambao watakuwa interested kuifatilia mechi ya simba, ukijumlisha na umaarufu walio nao Simba.

Kumbuka Africa Ina watu bilioni 1.2, tuambie kwa nini unaona ngumu idadi hiyo kufikiwa
 
Hivi ilikuaje mpaka Young Africans sc ikabatizwa na kuwa Yanga? Na kwanini haikusajiliwa tu kama vijana wa Afrika? Tulilazimisha uzungu matokeo yake tukaitwa Yanga... Tubadili jina tuitwe Wananchi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…