livinstonne
Member
- Nov 25, 2010
- 33
- 3
ni wizi huo upo.ila kwenye kucancel transaction inabidi wenye mtandao husika wawasiliane na wakala husika kuhakiki vinginevyo ni hatari sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni wizi huo upo.ila kwenye kucancel transaction inabidi wenye mtandao husika wawasiliane na wakala husika kuhakiki vinginevyo ni hatari sana
hawa voda na mmpesa yao ni wababaishaji,nimenunua luku mchana hakuna jibu,afu pesa wamekata hapa nilipo nipo kwenye giza....
duu kumbe iko hivyo?
Tatizo sasa limeisha kwa Airtel money.Hata kwa zap tatizo lipo.
Jamani naomba mnijuze ni tatizo nililolipata mwenyewe au kuna wengine wanaexperience hii kitu, nina wiki sasa sijui hata niende wapi, nmenunua Luku kwa M-Pesa sijaipata na customer care ya Vodacom hawapatikani.