Watekaji wana nguvu kuliko Chama tawala; Hii siyo dalili nzuri kwa mustakabali wa Taifa letu

Watekaji wana nguvu kuliko Chama tawala; Hii siyo dalili nzuri kwa mustakabali wa Taifa letu

Stuxnet

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2011
Posts
13,417
Reaction score
23,310
Katibu Mkuu alizungumza vizuri kwa maslahi ya chama na umma. Aliamini vyombo vya ulinzi vina makosa, ama kwa kuhusika moja kwa moja kama wanavyoshutumiwa au kwa kutotekeleza wajibu. Mwenyekiti yeye anawatetea vyombo (100%) tu na kuwalaumu wahanga na umma unaodai haki kutendeka!

The logic is simple! Nguvu ya madaraka ipo kwa hao watekaji. Ni lazima wakumbatiwe maana ndiyo wanamsaidia kujenga empire yake. Raia wengi hawapo nae, kilichobaki ni kutumia nguvu. Kinachofanyika ni kujaza hofu. Kunyamazishwa ili yoyote atakaye doubt anakuwa targeted. Tupo gizani.
 
"Nimemsikiliza Nchimbi, nikamsikiliza Slaa, nikapata picha kwamba kuna watu wanataka kuharibu amani ya nchi yetu".

Meanwhile Nchimbi na Slaa waliongea mambo mengi, kwa nini vingine viachwe vichukuliwe vichache walivyoviongea!
 
The logic is simple! Nguvu ya madaraka ipo kwa hao watekaji. Ni lazima wakumbatiwe maana ndiyo wanamsaidia kujenga empire yake. Raia wengi hawapo nae, kilichobaki ni kutumia nguvu. Kinachofanyika ni kujaza hofu. Kunyamazishwa ili yoyote atakaye doubt anakuwa targeted. Tupo gizani.
Nakubaliana na wewe.
Lakini nguvu ya madaraka anayo Rais, ambaye ndiye anayapitishia madaraka hayo kwa hao watekaji; kwa maana halisi ni kuwa watekaji wana ruhusa ya mwenye madaraka, na si kinyume chake.

Nakubaliana nawe pia kwamba njia pekee iliyo baki kwa Samia kuendelea kuwa kwenye madaraka ni kuwatumia hawa; kwa kutia hofu watu, na kwa vyombo vingine vya dola pamoja na wateule wake mbalimbali, kama waliopo kwenye tume ya uchaguzi, mahakamani, na kwingineko.
Hana tena yale matumaini ya kutumia hadaa kama zile 4Rs na wasanii kumvusha hata kwa kutumia kura za bandia.

Hizi mbinu zilianza kitambo, na ile sheria ya Usalama kupitishwa na kusainiwa haraka. Hapakuwa nahapajawahi kuwepo na maelezo kwa nini sheria hiyo ililazimu kuwepo wakati huu. Hiyo sheria matokeo yake ndiyo haya ya watu kutekwa na kupotezwa hovyo hovyo.
Uchaguzi wa srikali za mitaa, nao ukafanywa uwe wa kuandaa kwa jukumu lile lile la kumrudisha madarakani kwa nguvu Samia hapo 2025. Ndiyo sababu Wizara ya Tamisemi ikaamua ndiyo isimamie uchaguzi huo.

Kwa hiyo haya yote yame pangwa toka mwanzo, kama mkakati wa kumweka madarakani Samia kwa mabavu

Sasa swali ni, je, waTanzania baada ya kufahamu haya wapo tayari kuruhusu kiongozi anaye wekwa madarakani kwa nguvu?

Lakini, pengine kabla hata ya kujibu hilo swali la wananchi; ni muhimu kuwauliza CCM wenyewe: je, CCM wapo tayari kuvuruga amani ya nchi hii? Huko ndani ya CCM hawawezi kulimaliza hili swala kabla ya kulifikisha kwa wananchi wenyewe? Je, CCM ipo tayari kubeba huu mzigo Samia anao kitwisha chama hicho?
 
Katibu Mkuu alizungumza vizuri kwa maslahi ya chama na umma. Aliamini vyombo vya ulinzi vina makosa: ama kwa kuhusika moja kwa moja kama wanavyoshutumiwa au kwa kutotekeleza wajibu. Mwenyekiti yeye anawatetea vyombo (100%) tu na kuwalaumu wahanga na umma unaodai haki kutendeka!

The logic is simple! Nguvu ya madaraka ipo kwa hao watekaji. Ni lazima wakumbatiwe maana ndiyo wanamsaidia kujenga empire yake. Raia wengi hawapo nae, kilichobaki ni kutumia nguvu. Kinachofanyika ni kujaza hofu. Kunyamazishwa ili yoyote atakaye doubt anakuwa targeted. Tupo gizani.
Kati ya hao wawili kuna mmoja mkweli mwingine muongo
 
Nakubaliana na wewe.
Lakini nguvu ya madaraka anayo Rais, ambaye ndiye anayapitishia madaraka hayo kwa hao watekaji; kwa maana halisi ni kuwa watekaji wana ruhusa ya mwenye madaraka, na si kinyume chake.

Nakubaliana nawe pia kwamba njia pekee iliyo baki kwa Samia kuendelea kuwa kwenye madaraka ni kuwatumia hawa; kwa kutia hofu watu, na kwa vyombo vingine vya dola pamoja na wateule wake mbalimbali, kama waliopo kwenye tume ya uchaguzi, mahakamani, na kwingineko.
Hana tena yale matumaini ya kutumia hadaa kama zile 4Rs na wasanii kumvusha hata kwa kutumia kura za bandia.

Hizi mbinu zilianza kitambo, na ile sheria ya Usalama kupitishwa na kusainiwa haraka. Hapakuwa nahapajawahi kuwepo na maelezo kwa nini sheria hiyo ililazimu kuwepo wakati huu. Hiyo sheria matokeo yake ndiyo haya ya watu kutekwa na kupotezwa hovyo hovyo.
Uchaguzi wa srikali za mitaa, nao ukafanywa uwe wa kuandaa kwa jukumu lile lile la kumrudisha madarakani kwa nguvu Samia hapo 2025. Ndiyo sababu Wizara ya Tamisemi ikaamua ndiyo isimamie uchaguzi huo.

Kwa hiyo haya yote yame pangwa toka mwanzo, kama mkakati wa kumweka madarakani Samia kwa mabavu

Sasa swali ni, je, waTanzania baada ya kufahamu haya wapo tayari kuruhusu kiongozi anaye wekwa madarakani kwa nguvu?

Lakini, pengine kabla hata ya kujibu hilo swali la wananchi; ni muhimu kuwauliza CCM wenyewe: je, CCM wapo tayari kuvuruga amani ya nchi hii? Huko ndani ya CCM hawawezi kulimaliza hili swala kabla ya kulifikisha kwa wananchi wenyewe? Je, CCM ipo tayari kubeba huu mzigo Samia anao kitwisha chama hicho?
Hizi mada zinakuja kutufungia mitandao yetuAligusia kidogo ila watekaji wakimtekenya atakamilisha kifungo.Yanaanzaga hivi hivi mwisho wanaenda zao.
 
Mnaficha kichwa kwenye mchanga kama mbuni ila kila kitu kiko wazi...ccm inaua wananchi wake kwa mkono wa vyombo vya ulinzi.

Moto mnaouwasha umeanza kukolea, matokeo yake mtayaona.

CCM ya sasa imegeuka na kuwa makazi ya shetani.

Ni wakati wa kujitenga na CCM, watu wote wanaojua kuwa kuua mwanadamu mwenzako kwaajili ya hofu ya kupoteza madaraka ni ushetani na kubeba laana.
 
Katibu Mkuu alizungumza vizuri kwa maslahi ya chama na umma. Aliamini vyombo vya ulinzi vina makosa: ama kwa kuhusika moja kwa moja kama wanavyoshutumiwa au kwa kutotekeleza wajibu. Mwenyekiti yeye anawatetea vyombo (100%) tu na kuwalaumu wahanga na umma unaodai haki kutendeka!

The logic is simple! Nguvu ya madaraka ipo kwa hao watekaji. Ni lazima wakumbatiwe maana ndiyo wanamsaidia kujenga empire yake. Raia wengi hawapo nae, kilichobaki ni kutumia nguvu. Kinachofanyika ni kujaza hofu. Kunyamazishwa ili yoyote atakaye doubt anakuwa targeted. Tupo gizani.

Nchimbi na hata Chalamila walitengeneza fursa ya kuliunganisha taifa.

Maandamano ya Sep 23 yangeweza kuwa na ufumbuzi mwema tokea kwenye Ekaristi ya siku ile.
 
Katibu Mkuu alizungumza vizuri kwa maslahi ya chama na umma. Aliamini vyombo vya ulinzi vina makosa: ama kwa kuhusika moja kwa moja kama wanavyoshutumiwa au kwa kutotekeleza wajibu. Mwenyekiti yeye anawatetea vyombo (100%) tu na kuwalaumu wahanga na umma unaodai haki kutendeka!

The logic is simple! Nguvu ya madaraka ipo kwa hao watekaji. Ni lazima wakumbatiwe maana ndiyo wanamsaidia kujenga empire yake. Raia wengi hawapo nae, kilichobaki ni kutumia nguvu. Kinachofanyika ni kujaza hofu. Kunyamazishwa ili yoyote atakaye doubt anakuwa targeted. Tupo gizani.

Umeongea ukweli kabisa.
 
Taratibu utaelewa tu!

Tukiwambia hilo jitu kichwani hamna kitu, mnaanza kubweka anaupiga mwingi
 
Katibu Mkuu alizungumza vizuri kwa maslahi ya chama na umma. Aliamini vyombo vya ulinzi vina makosa: ama kwa kuhusika moja kwa moja kama wanavyoshutumiwa au kwa kutotekeleza wajibu. Mwenyekiti yeye anawatetea vyombo (100%) tu na kuwalaumu wahanga na umma unaodai haki kutendeka!

The logic is simple! Nguvu ya madaraka ipo kwa hao watekaji. Ni lazima wakumbatiwe maana ndiyo wanamsaidia kujenga empire yake. Raia wengi hawapo nae, kilichobaki ni kutumia nguvu. Kinachofanyika ni kujaza hofu. Kunyamazishwa ili yoyote atakaye doubt anakuwa targeted. Tupo gizani.
Mungu ameachana na Samia.
Jana nilimuona wakala wa shetani akihutubia umma
 
Katibu Mkuu alizungumza vizuri kwa maslahi ya chama na umma. Aliamini vyombo vya ulinzi vina makosa: ama kwa kuhusika moja kwa moja kama wanavyoshutumiwa au kwa kutotekeleza wajibu. Mwenyekiti yeye anawatetea vyombo (100%) tu na kuwalaumu wahanga na umma unaodai haki kutendeka!

The logic is simple! Nguvu ya madaraka ipo kwa hao watekaji. Ni lazima wakumbatiwe maana ndiyo wanamsaidia kujenga empire yake. Raia wengi hawapo nae, kilichobaki ni kutumia nguvu. Kinachofanyika ni kujaza hofu. Kunyamazishwa ili yoyote atakaye doubt anakuwa targeted. Tupo gizani.
The problem of Africans is that those with power have no ideas, and those with ideas have no power.
 
Back
Top Bottom