Pisi kali iko wapi hapo MKUU?Nilisikia Jana Vijana wakisema JF nayo ina Pisi Kali.....Leo hata sikuhitaji kuvaa miwani yangu ya macho kuweza kuwaona π€
Hongera Max na Timu yako, you guys are doing incredible, very proud of you πππππ
Ina maana we huoni PisiKali hapo?Acha uwongo mzee π€£π€£π€£
Nawe umeshindwa kuwaona?Pisi kali iko wapi hapo MKUU?
Duh sawa Babu.Nawe umeshindwa kuwaona?
Nisije kuwataja hapo ukafanya nilimwe Ban na Uzee wote huu π
Na hao wazungu ndo nafikiri wameboresha hii jf imefanana sana na ile social media yao....yaani kuanzia majukwaa, threads, pm,Aisee kumbe kuna mods wazungu??
Kwamba mimi ni mfanyakazi wa jf ππ hapana aisee umekoseaNajua kwenye hiyo list ya hizo picture lazima uwepo ππ
Sasa unakuwa unawaanbia nini na weweNdio maana hamjibu pm
Mzungu nmemuona ila me siwataki wanakuwaga wa baridiWatafune vidole washindwe kutoa ban πππ
Hivi kuna mzungu umemuona hapo bff π
π bff umejuaje.??Mzungu nmemuona ila me siwataki wanakuwaga wa baridi
jaaambooooo haabaariiiii ganiii weweee ππ bff umejuaje.??
raraa reree umefurahi nilivyotaja mzungu au ni ww huyo?? Wanasema na ww ni mmojawapo hapo π€£π€£π€£
Si tunajua ya Max,hiyo yao wakaanzishe yaoNa hao wazungu ndo nafikiri wameboresha hii jf imefanana sana na ile social media yao....yaani kuanzia majukwaa, threads, pm,
πππππ Huna baya white manjaaambooooo haabaariiiii ganiii weweee π