Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 11,786
- 18,562
"Kula chuma hiko"Nilisikia Jana Vijana wakisema JF nayo ina Pisi Kali.....Leo hata sikuhitaji kuvaa miwani yangu ya macho kuweza kuwaona 🤗
Hongera Max na Timu yako, you guys are doing incredible, very proud of you 👏👏👏👏👊