Watendaji wa JamiiForums watembelea hifadhi ya Ngorongoro baada ya kufanya tathmini ya mipango na maandalizi ya mwaka 2024

Watendaji wa JamiiForums watembelea hifadhi ya Ngorongoro baada ya kufanya tathmini ya mipango na maandalizi ya mwaka 2024

Mkirudi mjirekebishe. Muache kufuta nyuzi zinazoikosoa serikali, kuirekebisha, acheni tabia ya kubadilisha heading. Inatakiwa muishi slogan yenu hii where we dare to talk openly.
 
Kwakweli kama ntapigwa ban basi lakino huyo mod kwenye ya pili kulia mwanzoni kabisa nimempenda kabisa kwakweli hiyo miguu yake imenifanya nishindwe kulala…
I love you wewe mod…
 
Naunga mkono hoja, mimi nimependa ile leggy line ya pisi ile ya kwanza kulia yenye combat ya Chadema!.
Kuna watu tunakwama kuwa ma bosi kwasababu ningekuwa mimi ndio Max, sijui kama kungekuwa na usalama!.

Ndipo nimegundua ukiwa mtu hatari, hupewi ubosi utaharibu!, matokeo yake unaishia kuwa ni mtu wa kutumwa tumwa tuu, hautumi!.

Big up sana Mkuu @Maxence and the entire JF team, andaeni jf members retreat local and foreign, tutalipia
P
Tulia mzee wewe huyo ni shemeji yako!
 
OGOPA MATAPELI NYUMBA HII HAIUZWI
 

Attachments

  • IMG_1434.jpeg
    IMG_1434.jpeg
    7.9 KB · Views: 1
Tulia mzee wewe huyo ni shemeji yako!
Shaka ondoa kabisa, mimi tayari ni kibogoyo, sina tena meno ya kutafunia nyama, ni kula kwa macho tuu!.

After all, numbers zime tally, ukimuondoa Max na wale wazungu wawili preferably wageni wa JF, staff ni 20, kuna Serengeti 10 na Ngorongoro 10, ni man2man!, no loose ball hapo!.
P
 
Nzuri sana

Hapo baadaye na sisi membaz tutapanga sehemu ya kutembelea, au jambo la kufanya katika jamii ili kuifanya JF liwe jukwaa lenye manufaa zaidi katika jamii zetu, kitaifa na kimataifa.

Nimewaona nnaowajua yaani sikujua kama ndiyo akina Moderator ila JF jamani. Unaweza jikuta unabishana na mtu kwenye posts zako na mnawakiana sana kumbe ni jirani yako kabisa.

🤣🙏
 
Enzi zako baba Mark& Linda ulitisha sn, acha ss upumzike....hasa enzi za Ilala flats kbl ya kuhamia kwenye Hekaru lako mbezi.....
Duh Twilu...!Twilumba , kweli wewe unanijua toka Ilala!. Mna undugu na Twilumba Lupembe?.
Mark na Linda wamenizeesha fasta, kila mmoja ana watoto 2!.

Pale Mbezi mimi nakaa banda la uani, kile kibanda ni cha yule mdada cheupe!.
P
 
Duh Twilu...!Twilumba , kweli wewe unanijua toka Ilala!. Mna undugu na Twilumba Lupembe?.
Mark na Linda wamenizeesha fasta, kila mmoja ana watoto 2!.

Pale Mbezi mimi nakaa banda la uani, kile kibanda ni cha yule mdada cheupe!.
P
Hahaaaa huenda tunafahamiana na Twilumba Lupembe ila sina uhakika...
Wasalimie sana madogo Mark na Linda, u used to be Great Daddy, hata baada ya yote! Great sana P.....
 
Back
Top Bottom