Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 67,252
- 168,563
Yeah ni so nice!
Inapendeza sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah ni so nice!
Huyo ndio Cookie ndio maana anatupiga ban kila saa huku.Mwenye traki red kulia kabisa kanunaaaaa
Oops! We ran into some Problems.jaaambooooo haabaariiiii ganiii weweee 🖐
😁😁You do not have permission to use muzungu Greetings.
Tulia mzee wewe huyo ni shemeji yako!Naunga mkono hoja, mimi nimependa ile leggy line ya pisi ile ya kwanza kulia yenye combat ya Chadema!.
Kuna watu tunakwama kuwa ma bosi kwasababu ningekuwa mimi ndio Max, sijui kama kungekuwa na usalama!.
Ndipo nimegundua ukiwa mtu hatari, hupewi ubosi utaharibu!, matokeo yake unaishia kuwa ni mtu wa kutumwa tumwa tuu, hautumi!.
Big up sana Mkuu @Maxence and the entire JF team, andaeni jf members retreat local and foreign, tutalipia
P
kuna mmoja hapo huyo mwenye miwani na khaki fulani hivi mwishoni kulia..nina zawadi yake alirudi toka huko ataikuta ofcn kwaoAnaonekana mnoko balaa, ukibugi hana mswalia mtume ni nyundo moja ya Ban,
View attachment 2896178
Shaka ondoa kabisa, mimi tayari ni kibogoyo, sina tena meno ya kutafunia nyama, ni kula kwa macho tuu!.Tulia mzee wewe huyo ni shemeji yako!
Haha hao wanatembea na vishikwambi kabisa usije ukajichanganya hahhahaWapiga ban wetu mpo mapumzikoni ngoja tujidai
Mwenyewe nilitaka nimwombe Maxence Melo kama hatojali aniweke mle walahi!!kuna mmoja hapo huyo mwenye miwani na khaki fulani hivi mwishoni kulia..nina zawadi yake alirudi toka huko ataikuta ofcn kwao
Hahahaha nyie wazee huwa mnasemaga hivyo halafu unarudi unakuta binti ana mimba….😂😂😂😂 wazee huwa wanashindwa kutafuna nyama lakini si papuchiiiii….😂😂😂😂Shaka ondoa kabisa, mimi tayari ni kibogoyo, sina tena meno ya kutafunia nyama, ni kula kwa macho tuu!.
P
Nyie Wazee wa Soup pisi kali kwenu ni levola😂😂😂😂😂 KiddingHata mimi nimeshangaa tuache utani mkuu hapo hakuna pisi kali yeyote..
Wanipige tu ban haina shida ukweli usemwe..
Enzi zako baba Mark& Linda ulitisha sn, acha ss upumzike....hasa enzi za Ilala flats kbl ya kuhamia kwenye Hekaru lako mbezi.....Shaka ondoa kabisa, mimi tayari ni kibogoyo, sina tena meno ya kutafunia nyama, ni kula kwa macho tuu!.
P
Duh Twilu...!Twilumba , kweli wewe unanijua toka Ilala!. Mna undugu na Twilumba Lupembe?.Enzi zako baba Mark& Linda ulitisha sn, acha ss upumzike....hasa enzi za Ilala flats kbl ya kuhamia kwenye Hekaru lako mbezi.....
Hahaaaa huenda tunafahamiana na Twilumba Lupembe ila sina uhakika...Duh Twilu...!Twilumba , kweli wewe unanijua toka Ilala!. Mna undugu na Twilumba Lupembe?.
Mark na Linda wamenizeesha fasta, kila mmoja ana watoto 2!.
Pale Mbezi mimi nakaa banda la uani, kile kibanda ni cha yule mdada cheupe!.
P
Imetulia sana ..tujaribu mkuuMwenyewe nilitaka nimwombe Maxence Melo kama hatojali aniweke mle walahi!!