Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Sitaki kesiJopo la mabishoo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sitaki kesiJopo la mabishoo
Wapo Nanjilinji unaweza kwenda kuwaona huko.Embu tuone
Aisee mmekomaa na huyo mzungu, hivi Vishu Mtata hamumuoni??Naomba id ya huyo mzungu jamani 😃😃
Umeona eeh Mkuu Pascal Mayalla 🤗Naunga mkono hoja, mimi nimependa ile leggy line ya pisi ile ya kwanza kulia yenye combat ya Chadema!.
Kuna watu tunakwama kuwa ma bosi kwasababu ningekuwa mimi ndio Max, sijui kama kungekuwa na usalama!.
Ndipo nimegundua ukiwa mtu hatari, hupewi ubosi utaharibu!, matokeo yake unaishia kuwa ni mtu wa kutumwa tumwa tuu, hautumi!.
Big up sana Mkuu @Maxence and the entire JF team, andaeni jf members retreat local and foreign, tutalipia
P
Hatari 😜"Kula chuma hiko"
Nilisikia Jana Vijana wakisema JF nayo ina Pisi Kali.....Leo hata sikuhitaji kuvaa miwani yangu ya macho kuweza kuwaona 🤗
Hongera Max na Timu yako, you guys are doing incredible, very proud of you 👏👏👏👏👊
Hahahahaha ile combat ya chadema mbn tumeiona wengi MkuuNaunga mkono hoja, mimi nimependa ile leggy line ya pisi ile ya kwanza kulia yenye combat ya Chadema!.
Kuna watu tunakwama kuwa ma bosi kwasababu ningekuwa mimi ndio Max, sijui kama kungekuwa na usalama!.
Ndipo nimegundua ukiwa mtu hatari, hupewi ubosi utaharibu!, matokeo yake unaishia kuwa ni mtu wa kutumwa tumwa tuu, hautumi!.
Big up sana Mkuu @Maxence and the entire JF team, andaeni jf members retreat local and foreign, tutalipia
P
Ingekuwa enzi zetu alafu unafanya kazi kwenye hiyo Ofisi Kila Siku saa 11 alfajiri unawahi ofisini kusaidia shughuli za Usafi....Yaliyomo Yamo
NakaziaIngekuwa enzi zetu alafu unafanya kazi kwenye hiyo Ofisi Kila Siku saa 11 alfajiri unawahi ofisini kusaidia shughuli za Usafi....
Bora tumezeeka sasa 😜🤗
Hamna shida kwani Tanzania Hatuna wazungu ?Aisee kumbe kuna mods wazungu??
HahahahahaaaaaaNdio maana sahivi hamna BAN eeh. Wanarudi lini tuwe makini?
Watendaji Jamii forums Iko hewani masaa 24 haiendi likizoHawa ni ''baadhi ya watendaji''. Ina maana kuna wengine. JF ina watendaji wengi namna hii? Kazi yao ni nini?
Kwani nani kakwambia anakuhitaji hata ukituma maombi? Ni sawa na kukuta mwanaume anasema Mimi Sina mpango na mwanamke wakati hakuna hata Mwanamke aliyeonyesha nia ya kumtakaSitaki kutuma wala kufanya kazi JF Mimi.