Watendaji wa Mange Kimambi App wapandishwa kizimbani Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu

Watendaji wa Mange Kimambi App wapandishwa kizimbani Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu

Sisi ndio tunalipa bill ya matibabu ya Prof Jay

Tuna haki ya kujua hali yake inaendeleaje in detail.
 
Imagine mwanaume mzima unajitambulisha kwa watu eti wewe ni mfanyakazi wa Mange kimambi😃 hii haina tofauti na jamaa mmoja pale Buguruni ana bonge la mwili,bonge la baunsa halafu eti anauza sambusa tena za viazi
Halafu hapo unakuta ametuna kwenye ki IST ambacho amenunuliwa na mange kwa ajili ya kusaka habari za umbea 🤣
 
Back
Top Bottom