mangiTz
JF-Expert Member
- Jul 28, 2019
- 1,820
- 3,062
Salaam wana JF
Weekend imeendaje kwenu
Moja ya vitu vinasikitisha katika mamlaka na baadhi ya watendaji wasio waaminifu ni kufuja mali za umma na wizi uliokithiri
Hii huenda imeshuhudiwa na wengi zaidi na vingine vikionekana tu viashiria lakini hakuna jibu la moja kwa moja kubwa kuna wizi. Ndio ni katika halmashauri zetu upigaji umekuwa ni mwingi na umeshazoeleka ni kitu cha kawaida kwa baadhi ya watumishi wasio waaminifu.
Hii hali ni mbaya na inawapa moyo ama ujasiri wa walipa kodi kuona haina haja ya kulipa kodi bali uhalali ni kuikwepa kodi kwasababu, mfano mdogo achana na wanaojiweza chukua mfano mama anayeuza matunda akizunguka huku na kule kutafuta riziki jioni anamtumia mwanae yuko shule inabidi alipe tozo, ile tozo inaumiza kwa mtu asiye na kipato cha kueleweka ,halafu kesho anasikia wangu wameiba 100M na wakasimamishwa kazi au kuhamishwa. Huyu siku nyingine atalipa kwa hiari?
Hii inafanya watu wanaolipa wanalipa kodi tu kwa vile hamna namna ya kukwepa mfano tozo n.k zile ambazo zimeunganishwa na huduma/bidhaa moja kwa moja.
Hii haikubaliki watendaji baadhi wakajimilikisha kusiko stahili. Hii kuna siku watu wataingia barabarani ni vile tu Tanzania hatujazoea mambo ya fujo.
Angali ujenzi wa jengo la serikali kama hili na bado linajengwa sio gofu wala sio la siku nyingi ni jipya imagine cement iliyoweka na mchanga uliotumika.
Weekend imeendaje kwenu
Moja ya vitu vinasikitisha katika mamlaka na baadhi ya watendaji wasio waaminifu ni kufuja mali za umma na wizi uliokithiri
Hii huenda imeshuhudiwa na wengi zaidi na vingine vikionekana tu viashiria lakini hakuna jibu la moja kwa moja kubwa kuna wizi. Ndio ni katika halmashauri zetu upigaji umekuwa ni mwingi na umeshazoeleka ni kitu cha kawaida kwa baadhi ya watumishi wasio waaminifu.
Hii hali ni mbaya na inawapa moyo ama ujasiri wa walipa kodi kuona haina haja ya kulipa kodi bali uhalali ni kuikwepa kodi kwasababu, mfano mdogo achana na wanaojiweza chukua mfano mama anayeuza matunda akizunguka huku na kule kutafuta riziki jioni anamtumia mwanae yuko shule inabidi alipe tozo, ile tozo inaumiza kwa mtu asiye na kipato cha kueleweka ,halafu kesho anasikia wangu wameiba 100M na wakasimamishwa kazi au kuhamishwa. Huyu siku nyingine atalipa kwa hiari?
Hii inafanya watu wanaolipa wanalipa kodi tu kwa vile hamna namna ya kukwepa mfano tozo n.k zile ambazo zimeunganishwa na huduma/bidhaa moja kwa moja.
Hii haikubaliki watendaji baadhi wakajimilikisha kusiko stahili. Hii kuna siku watu wataingia barabarani ni vile tu Tanzania hatujazoea mambo ya fujo.
Angali ujenzi wa jengo la serikali kama hili na bado linajengwa sio gofu wala sio la siku nyingi ni jipya imagine cement iliyoweka na mchanga uliotumika.