#COVID19 Watengeneza chanjo ya Covid-19 aina ya Pfizer na Moderna wapandisha bei ya chanjo

#COVID19 Watengeneza chanjo ya Covid-19 aina ya Pfizer na Moderna wapandisha bei ya chanjo

Mimi nawalaumu sana Wachina. Hawa Wachina walihofia kuipoteza Hong Kong kutokana na protesters zaidi ya milioni kila siku kupinga ugaidi, dhuluma na udhalimu wa Serikali ya China. Protesters walikuwa na mafanikio makubwa sana pamoja na kuwa wengi walipigwa sana na kukamatwa na jeshi na polisi. Dhana yangu ni kwamba Serikali ya China walipoona kwamba hawana mafanikio ndiyo wakaamua kutumia hicho kirusi cha COVID-19 lakini bahati mbaya ikatokea ajali pale lab na hawakujua negative impact yake kwa dunia nzima. Kama isingetokea ajali pale lab kirusi ilikuwa kipelekwe Hong Kong.
Kwanini Serikali ya China ilikataa wataalamu toka WHO kuwa na access ná hiyo Wuhan lab January 2020? January 2021 wataalamu toka CDC walikataliwa kuingia na wiki chache zilizopita wataalamu toka WHO kuingia China. Serikali ya China inaficha nini!?



Asante, mie kilio changu kipo kwa alieleta hili gonjwa. Watatumaliza sana.

Chanjo ni chaguo la mtu. Kama unaona nafasi ya kupata Covid 19 ni ndogo huna haja ya kuchanja. Kama unajiona nafasi ya kupata COVID-19 kubwa basi chanja upate kinga .
 
Mimi nawalaumu sana Wachina. Hawa Wachina walihofia kuipoteza Hong Kong kutokana na protesters zaidi ya milioni kila siku kupinga ugaidi, dhuluma na udhalimu wa Serikali ya China. Protesters walikuwa na mafanikio makubwa sana pamoja na kuwa wengi walipigwa sana na kukamatwa na jeshi na polisi. Dhana yangu ni kwamba Serikali ya China walipoona kwamba hawana mafanikio ndiyo wakaamua kutumia hicho kirusi cha COVID-19 lakini bahati mbaya ikatokea ajali pale lab na hawakujua negative impact yake kwa dunia nzima. Kama isingetokea ajali pale lab kirusi ilikuwa kipelekwe Hong Kong.
Kwanini Serikali ya China ilikataa wataalamu toka WHO kuwa na access ná hiyo Wuhan lab. Hiyo January wataalamu toka CDC walikataliwa kuingia na mwaka huu wataalamu toka WHO wamekataliwa kuingia China. Serikali ya China inaficha nini!?
Huo ndio ukweli mkuu.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Najua na nimekuelewa lakini nia ya COVID-19 kuua watu imefanikiwa whether it’s real or not.
Are you sure imeua watu?It has been proved beyond doubt thar deaths are exaggerated and in fact cooked ili watu wakubali kuchanjwa.Watu wame-check hospitals which were said to be full, but are actually empty!In India wanakusanya kuni wanazichoma halafu wanadai wanachoma maiti za watu waliokufa kwa C-19!Halafu mbaya zaidi wana harvest internal organs!This is not hearsay,they have been caught red handed.

Furthermore,the RT-PCR test reports 100% false positives.Infact the inventor of the PCR kit,Kary Mullis, walimuua at the beginning of the plandemic(not a pandemic) kuficha ukweli huu.Ni usanini,usanii mtupu.

Tatizo kubwa hapa ni measures taken.Mr Global is addressing the wrong problem and is therefore using wrong approaches.And mind you,it is not by mistake,but intentional,this is proved by using a flawed test kit.

Mkuu we know alot about this nonsense called C-19,sema hatuna mahali pa kusemea.
 
That’s the deal.

Nitafanya antibody titer test kabla ya kupewa dose ya tatu kama watasema tunaitaji. Na hata kama wakisema sina antibodies sita choma booster shot.

Nitaleta majibu ya titers hapa mda huo ukifika. Mpaka sasa bado jibu kamili kuhusu mda gani mwili wako unakua na kinga baada ya kuchoma chanjo hawajasema. Wanafikiri ni miezi 6 mpaka 9.
Nimechachoma Pfizer mbili,ni vile nafanya kazi hospital. Ya tatu sichomi hata kwa bunduki.
 
Kwa nini huchomi Victoire,hebu tupe first hand information.Unajisiaje so far?
Si unaona wamepandisha na bei. In short tumekuwa fursa .Big pharma wamepata pa kupatia pesa za bure kabisa.
Sitachoma kwa sababu hata watengeneza chanjo hawana uhakika na chanzo zao. Walisema mbili. Sasa wanatuambia ya tatu itahitajika ili kukabiliana vizuri na Delta. Huko mbeleni ikute watuambie tuchome kila mwaka.
Binafsi sikuwa kabisa pro vaccin wa hizi za Covid 19 maana wapo kibiashara zaidi na inaonekana kabisa hazipo efficacy. Wamekurupuka. Bado wanahitaji kumstudy vizuri huyu virus.
 
Si unaona wamepandisha na bei. In short tumekuwa fursa .Big pharma wamepata pa kupatia pesa za bure kabisa.
Sitachoma kwa sababu hata watengeneza chanjo hawana uhakika na chanzo zao. Walisema mbili. Sasa wanatuambia ya tatu itahitajika ili kukabiliana vizuri na Delta. Huko mbeleni ikute watuambie tuchome kila mwaka.
Binafsi sikuwa kabisa pro vaccin wa hizi za Covid 19 maana wapo kibiashara zaidi na inaonekana kabisa hazipo efficacy. Wamekurupuka. Bado wanahitaji kumstudy vizuri huyu virus.
Sasa kwa nini ulichanja and who exactly duped you into believing that it is for your benefit.
 
Mimi ni Dr hospital. Lazima tuchanje no way.
Do you know that you are choosing between life and death?Victoire,si afadhali ukose kazi uendelee kuishi ukiwa na afya yako?Pole sana.
 
Mkiambiwa hii ni biashara tu hamuelewi, hicho kilichoongezwa ndio ya kuwalipa madalali kama yule Gaidi aliyetaka iwe lazima
Nenda kaiambie serikali yako iliyoleta chanjo acha kushoboka na mambo yakijinga.Au akili zako ni kidogo haijui chanjo ililetwa na nani?
 
Sasa huoni kwamba kuna rushwa inatumika na madalali ili kushinikiza manunuzi?
Dalali gani anayeweza kumshawishi rais wa nchi kwa kiasi chakufanya vile wanavyotaka.Ukiona ilo limefanyika jua tatizo sio madalali bali kiongozi husika kaamua hivyo maana yeye ndiye mwenye maamuzi na dhamana ya nini kifanyike.
 
Back
Top Bottom