Water Pump nzuri

Water Pump nzuri

Gagurito

JF-Expert Member
Joined
Feb 11, 2011
Posts
5,600
Reaction score
806
Nishaurini juu ya water pump nzuri, kubwa, yakisasa, imara, fuel economical etc kwa ajiri ya kilimo cha umwagiliaji wa shamba lenye ekari 8.
 
MKUU tafuta Robbin 3'' inatumia petrol hii machine kaka utakuja kuniambia inapiga mzigo sana na ndiyo maana bei yake iko juu kidogo.
 
MKUU tafuta Robbin 3'' inatumia petrol hii machine kaka utakuja kuniambia inapiga mzigo sana na ndiyo maana bei yake iko juu kidogo.

Bei yake ikoje mkuu? Na matumizi yake ya mafuta ni vipi?
 
Kwa shamba lako utatumia kama litre 20 bei inanzia laki saba lkin huwa inashuka pia kuna water pump kubwa ila kwa kuanza anza na hiyo ila kama una hela kama mil 3 na nusu nikuelekeze ununue pump na sprinkle malanyingi pump sio tatizo ila jinsi ya kumwagiria maana mimi ina stage za ukuaji na kila stage ina itaji ainatofauti ya umwagiriaji ili kutoua mimea.
 
Kwa shamba lako utatumia kama litre 20 bei inanzia laki saba lkin huwa inashuka pia kuna water pump kubwa ila kwa kuanza anza na hiyo ila kama una hela kama mil 3 na nusu nikuelekeze ununue pump na sprinkle malanyingi pump sio tatizo ila jinsi ya kumwagiria maana mimi ina stage za ukuaji na kila stage ina itaji ainatofauti ya umwagiriaji ili kutoua mimea.

Mkuu hiyo lita 20 ni daily? Nielekeze zaidi mkuu, mashine za huku ni zile zakufungwa moja kwa moja shamba mkuu.
 
Zinakufaa
 

Attachments

  • 1410720850608.jpg
    1410720850608.jpg
    46.7 KB · Views: 387
  • 1410720885519.jpg
    1410720885519.jpg
    20.4 KB · Views: 410
😀👍sema
 

Attachments

  • 1410720948216.jpg
    1410720948216.jpg
    37.4 KB · Views: 389
Kwani upo wapi? itakuwa rahisi kukufahamisha lakini nina mfano wa pump moja heb iangalieIrrigation sprinkler.jpgIrrigation pump.jpg
 
Pump hii ni nzuri sana maana huweza kumwagilia eneo kubwa kwa wakati mdogo na bila kuuwa mazao yako mim nimekuwa nikitumia sana bila matatito yoyote.
 
Pump hii ni nzuri sana maana huweza kumwagilia eneo kubwa kwa wakati mdogo na bila kuuwa mazao yako mim nimekuwa nikitumia sana bila matatito yoyote.

Asante sana mkuu. Nitakucheck
 
Kwa shamba lako utatumia kama litre 20 bei inanzia laki saba lkin huwa inashuka pia kuna water pump kubwa ila kwa kuanza anza na hiyo ila kama una hela kama mil 3 na nusu nikuelekeze ununue pump na sprinkle malanyingi pump sio tatizo ila jinsi ya kumwagiria maana mimi ina stage za ukuaji na kila stage ina itaji ainatofauti ya umwagiriaji ili kutoua mimea.

Weka mawasiliano yako...wewe unauza hizi pump?bei zake?za nchi gani?zinafaa kwa kisima?
 
Mkuu ES
Mimi nasema ardhi kuchukuliwa ama kugawanywa was the right decision ila njia zilizo tumika ndiyo mbaya.Mimi nasema Mzungu hawezi kumuona mweusi anahamia na kuwa own mali nyingi wachilia mbali ardhi.Nimekaa sana hapa Uingereza nimeona mifano micvhache ikiwemo wa kusumbuliwa Al Fayeed Baba yake Dodi kila mapesa yake.Mimi nalalamika ukatili wa Mugabe kwa watu wake na kutumia mabavu kuiba kura na kuwanyima haki Wazimbabwe na kuwatesa kama hali ilivyo sasa .Ardhi ni sahihi kuwa mkononi mwa Wazimba lakini je wangapa wameipata ? Waliyo pata ni wale walo mzunguka Mugabe na koo zao Zimbabwe na Wazimbabwe wana hali ngumu .Mim na ma Western hakuna ninacho kubaliana nao ni wabaya sana when it comes to we blacks interests amd rights

Hiyo wolf ni kutoka Uk nimejaribu kukuandalizia, hata ikifika tz ni m1. New
 
Huu uzi utanisaidia na mimi pia. Thanks Gagurito
 
Last edited by a moderator:
Wasiliana na hawa pia wanauza sijui bei zao.
 

Attachments

  • 1410810808719.jpg
    1410810808719.jpg
    46.2 KB · Views: 305
Back
Top Bottom