rmashauri
JF-Expert Member
- Jan 29, 2009
- 3,011
- 456
hii bei ya mwaka gani jamani.
2007, RC rig ilikuwa inachimba mita 1 kwa USD40, au hawa wanatumia nini kuchimba?
Dada Kongosho, hii bei ni ya mwezi Disemba 2011 na wanatumia yale magari yenye mtambo wa kuchima hadi mita 80 kwenda chini.