Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
Ni vilaza.Mimi binafsi kama raia wa kawaida nilitarajia kusikia watetezi wa Rais Samia wakijibu hoja za Lissu, Mwambukusi na wengineo kwa hoja zenye mantiki.
Mfano, kwa nini IGA ni mkatataba tayari kama ibara ya 2 ya IGA inanyosema. Kwa nini IGA iseme migogoro itapelekwa ICSID Kinyume na sheria za ulinzi wa rasimali za Tanzania?
Wamebaki kueneza propaganda za kipuuzi, kipumbavu na kishenzi.
πView attachment 2738287
Uwezo gani?Uwezo
Mwinjaku anasrma msomi wa chuo kikuu DSM wakati tunomjua hakumaliza mzumbeSasa Mwijaku anaweza kuwa na hoja ya maana?
Mimi binafsi kama raia wa kawaida nilitarajia kusikia watetezi wa Rais Samia wakijibu hoja za Lissu, Mwambukusi na wengineo kwa hoja zenye mantiki.
Mfano, kwa nini IGA ni mkatataba tayari kama ibara ya 2 ya IGA inanyosema. Kwa nini IGA iseme migogoro itapelekwa ICSID Kinyume na sheria za ulinzi wa rasimali za Tanzania?
Wamebaki kueneza propaganda za kipuuzi, kipumbavu na kishenzi.
πView attachment 2738287
Hivi ile hoja ya kwamba mbowe kalamba asali iliishia wapi maana siyasikii yakiiongelea.Mimi binafsi kama raia wa kawaida nilitarajia kusikia watetezi wa Rais Samia wakijibu hoja za Lissu, Mwambukusi na wengineo kwa hoja zenye mantiki.
Mfano, kwa nini IGA ni mkatataba tayari kama ibara ya 2 ya IGA inanyosema. Kwa nini IGA iseme migogoro itapelekwa ICSID Kinyume na sheria za ulinzi wa rasimali za Tanzania?
Wamebaki kueneza propaganda za kipuuzi, kipumbavu na kishenzi.
πView attachment 2738287
Hakika wametuaibisha sana sisi chawa wa Mama. Hii kitu fake hata kwa kuangalia tu.Mimi binafsi kama raia wa kawaida nilitarajia kusikia watetezi wa Rais Samia wakijibu hoja za Lissu, Mwambukusi na wengineo kwa hoja zenye mantiki.
Mfano, kwa nini IGA ni mkatataba tayari kama ibara ya 2 ya IGA inanyosema. Kwa nini IGA iseme migogoro itapelekwa ICSID Kinyume na sheria za ulinzi wa rasimali za Tanzania?
Wamebaki kueneza propaganda za kipuuzi, kipumbavu na kishenzi.
πView attachment 2738287
Sisi Chawa wa Mama tumehaibika sijui tujifiche wapi !.Mimi binafsi kama raia wa kawaida nilitarajia kusikia watetezi wa Rais Samia wakijibu hoja za Lissu, Mwambukusi na wengineo kwa hoja zenye mantiki.
Mfano, kwa nini IGA ni mkatataba tayari kama ibara ya 2 ya IGA inanyosema. Kwa nini IGA iseme migogoro itapelekwa ICSID Kinyume na sheria za ulinzi wa rasimali za Tanzania?
Wamebaki kueneza propaganda za kipuuzi, kipumbavu na kishenzi.
πView attachment 2738287
Akili ndogo wameshindwa kujibu hoja wamebaki kutoa FAKE newsMimi binafsi kama raia wa kawaida nilitarajia kusikia watetezi wa Rais Samia wakijibu hoja za Lissu, Mwambukusi na wengineo kwa hoja zenye mantiki.
Mfano, kwa nini IGA ni mkatataba tayari kama ibara ya 2 ya IGA inanyosema. Kwa nini IGA iseme migogoro itapelekwa ICSID Kinyume na sheria za ulinzi wa rasimali za Tanzania?
Wamebaki kueneza propaganda za kipuuzi, kipumbavu na kishenzi.
[emoji116]View attachment 2738287