Wateule wa Rais Magufuli waliotokea CHADEMA wameongoza kwenye kura za maoni isipokuwa Patrobas Katambi

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Bado natafakari tetemeko la ardhi lililotokea jana katika eneo kubwa la nchi yetu huku nikisubiri orodha ya wagombea ubunge wa CCM itangazwe.

Wateule wa Rais Magufuli waliotokea CHADEMA akina Juliana Shonza, Prof Kitila Mkumbo, Dr Mollel na Mwita Waitara wameongoza kwenye kura za maoni.

Aliyefeli ni Wakili msomi Patrobas Katambi wa Shinyanga Mjini ambaye bado anapambana hajakata tamaa.

Nawatakia siku njema!
 
Umemsahau kafurila a.k.a Tumbiri??
 
Waitara anaenguliwa mapemaaaa na kamati kuu maana aligawa sana rushwa. Yani huyu akiachwa basi nitaamini kuwa kuna uchawi wa kuloga hata nchi
Heche hana pa kutokea safari hii!
 

Kumbe kafulila naye kashinda kwenye maoni ? au upo ndotoni bwa shee
 
Kafulila naye aliongoza?
 
Je yule mama wa Dar es Salaam aliye enda kuchuana na Zungu vipi alishinda? Halafu hiyo orodha ya wagombea ubunge inatoka lini Yohana?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…