johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #21
aka Tumbili alishika namba 2......hahahaaaa!Kafulila naye aliongoza?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
aka Tumbili alishika namba 2......hahahaaaa!Kafulila naye aliongoza?
Dr Mjema hakutoka Chadema bwashee.Je yule mama wa Dar es Salaam aliye enda kuchuana na Zungu vipi alishinda? Alafu hiyo orodha ya wagombea ubunge inatoka lini Yohana?
Kuna Devid Silinde pia ambaye licha ya kupiga magoti kwa wajumbe.Wajumbe hawa kuangaliaJuliana, Kitila walifukuzwa Chadema. Halafu huyo Juliana mwisho wake ni 2020 kama ulifuatilia vizuri mchakato.
Kafulila je?
Kafulila alitokea NCCRjohnthebaptist,
Juliana, Kitila walifukuzwa Chadema. Halafu huyo Juliana mwisho wake ni 2020 kama ulifuatilia vizuri mchakato.
Kafulila je?
Simanjiro?Bado natafakari tetemeko la ardhi lililotokea jana katika eneo kubwa la nchi yetu huku nikisubiri orodha ya wagombea ubunge wa CCM itangazwe.
Wateule wa Rais Magufuli waliotokea Chadema akina Juliana Shonza, Prof Kitila Mkumbo, Dr Mollel na Mwita Waitara wameongoza kwenye kura za maoni.
Aliyefeli ni Wakili msomi Patrobas Katambi wa Shinyanga Mjini ambaye bado anapambana hajakata tamaa.
Nawatakia siku njema!
Kwani Mjema alitokea chadema?Je yule mama wa Dar es Salaam aliye enda kuchuana na Zungu vipi alishinda? Alafu hiyo orodha ya wagombea ubunge inatoka lini Yohana?
Nimeshangaa na mimi?Wakili Katambi? Amekuwa wakili lini na hajafanya ma supplementary yake pale Law School of Tanzania?
Alitokea CHADEMA Kaenda Act akaibukia CCMKumbe Kitila naye alikuwa Chadema?
OK...
Hayo unajua wewe, angekuwa huko kwenu ungemjaza sifa ila kwa kuwa yuko kungine dharau nyingi.Wakili Katambi? Amekuwa wakili lini na hajafanya ma supplementary yake pale Law School of Tanzania?
Huyo Waitara pamoja na kwamba mjumbe aliyemuhonga hela ndogo ilikuwa ni shilingi laki tatu lakini kwa sababu ya jukumu lake katika issue ya Lissu anaweza asikatwe jina japo hata wakimpitisha uuzaji wake utakuwa ni nafuu ya anayeuza ngozi ya punda kwani wananchi hawamtaki hata bure.Waitara anaenguliwa mapemaaaa na kamati kuu maana aligawa sana rushwa. Yani huyu akiachwa basi nitaamini kuwa kuna uchawi wa kuloga hata nchi
Hahahaaaa........!Hayo unajua wewe, angekuwabhuko kwenu ungemjaza sifa ila kwa kuwa yuko kungine dharau nyingi.
Hayo unajua wewe, angekuwabhuko kwenu ungemjaza sifa ila kwa kuwa yuko kungine dharau nyingi.
Katambi sio wakili , bali ni mwanasheriaHayo unajua wewe, angekuwabhuko kwenu ungemjaza sifa ila kwa kuwa yuko kungine dharau nyingi.
najua but alipojiunga CCM alitokea ACT kama founder wa ACT.Alikuwa Chadema wakafukuzwa maa usiti na Zito ndio wakaenda ACT
Dr Mjema hakutoka Chadema bwashee.
Orodha ya CCM itatoka wakati wowote!
Mmezoea ubishi kama wa raisi wenu.
Amewafundisha vibya sana.
hii haina tofauti na kusema Makongoro Nyerere alihamia CCM akitokea CCM!Alitokea CHADEMA Kaenda Act akaibukia CCM