michibo
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 2,315
- 3,915
najua katokea ACT kama founder wa chama kabla ya kujiunga CCM but inawezekana kumbukumbu zangu zimeingia kutu labda!
Kitila hakujiunga CCM, aliteuliwa kwa kunyakuliwa tu mzima mzima... kadi ilimfuata baadae!