Wateule wa Rais Magufuli waliotokea CHADEMA wameongoza kwenye kura za maoni isipokuwa Patrobas Katambi

najua katokea ACT kama founder wa chama kabla ya kujiunga CCM but inawezekana kumbukumbu zangu zimeingia kutu labda!

Kitila hakujiunga CCM, aliteuliwa kwa kunyakuliwa tu mzima mzima... kadi ilimfuata baadae!
 
Kitila hakujiunga CCM, aliteuliwa kwa kunyakuliwa tu mzima mzima... kadi ilimfuata baadae!
aliponyakuliwa alikuwa chama gani?
after all, kadi ilikuwa ni formality tu!
 
Wanaongoza wapi mkuu mmeanza tena mchakato???, ila ukiona ivo ujue vichwa vipo Upinzani na madebe yapo Lumumba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…