Uchaguzi 2020 Watia nia watumishi wapigiwa simu kurejesha mikopo yao huku mshahara ukiwa umesimama

Uchaguzi 2020 Watia nia watumishi wapigiwa simu kurejesha mikopo yao huku mshahara ukiwa umesimama

Nimeumia sana hata kama mtu hampendi ilitakiwa wamheshimu kidogo

wale watu huwa hawatumii akili mkuu,tena usiombe uwakute anga zao,juzi kati nilienda kambi fulani ya jeshi sasa nikawakuta walinzi 3 getini,mmoja nikamsalimia nikamueleza shida yangu akanikaribisha ndani,wale wawili hawakutaka kabisa kuitikia salamu yangu licha ya kuwasalimia mara mbili,wakamuuliza tu mwenzao ninataka nini
 
wale watu huwa hawatumii akili mkuu,tena usiombe uwakute anga zao,juzi kati nilienda kambi fulani ya jeshi sasa nikawakuta walinzi 3 getini,mmoja nikamsalimia nikamueleza shida yangu akanikaribisha ndani,wale wawili hawakutaka kabisa kuitikia salamu yangu licha ya kuwasalimia mara mbili,wakamuuliza tu mwenzao ninataka nini
Wajinga sana hawa na staa muda wote ni nguvu tu
 
Kitu ambacho hauelewi vizuri ni kwamba Magufuli is a sadist - yaani anafurahia matatizo wa wenzie.

hahahaha[emoji23]. yule mzee bana hua nacheka sana humu ndani mnavomfanyia characterization yani kwa kifupi kama kuna mtu atataka kutunga kitabu kumhusu basi aje apitie humu JF
 
Nimesoma saikolojia. Amini, usiamini. Nakwambia kabisa - he is a sadist. Kadiri unavyolalamika kuumia, ndivyo anavyo kaza zaidi ili apate raha zaidi. Bahati mbaya amewaambukiza kundi kubwa la Watanzania ugonjwa huu. Watanzania wengi sana wanashangilia dhuluma na ufedhuli kwa sasa.
hahahaha[emoji23]. yule mzee bana hua nacheka sana humu ndani mnavomfanyia characterization yani kwa kifupi kama kuna mtu atataka kutunga kitabu kumhusu basi aje apitie humu JF
 
Nimesoma saikolojia. Amini, usiamini. Nakwambia kabisa - he is a sadist. Kadiri unavyolalamika kuumia, ndivyo anavyo kaza zaidi ili apate raha zaidi.

unachosema kinamfit kabisa mkuu,hata ule msemo wa vyuma vimekaza aliwahi kusema atazidi kuvikaza,naona leo kaahidi ndege 5 badala ya ajira
 
Cha ajabu kuna kundi kubwa sana la Watanzania wanaopigia makofi na kukatikia viuno huu upuuzi wakati vijana wetu wanaozea mtaani bila ajira! Na baadhi yao actually ni wale wasiokuwa na ajira! Wakati mwingine naomba Lissu aache tu kila mtu apambane na hali yake.
unachosema kinamfit kabisa mkuu,hata ule msemo wa vyuma vimekaza aliwahi kusema atazidi kuvikaza,naona leo kaahidi ndege 5 badala ya ajira
 
Cha ajabu kuna kundi kubwa sana la Watanzania wanaopigia makofi na kukatikia viuno huu upuuzi wakati vijana wetu wanaozea mtaani bila ajira! Na baadhi yao actually ni wale wasiokuwa na ajira!

kuna maza fulani nilimkuta anamsifia Magufuli nikamuliza kwanini anampenda akaniambia kwamba amewabana matajiri na amenunua ndege na anafukuza watu kazi hataki mchezo
 
kuna maza fulani nilimkuta anamsifia Magufuli nikamuliza kwanini anampenda akaniambia kwamba amewabana matajiri na amenunua ndege na anafukuza watu kazi hataki mchezo
Wasio na akili za kufikiria ndiyo wanamfagilia sana huyu mzee
 
The guy is sadist so he enjoys the sufferings of others, in order for him to have laughter there should be torturing, groaning, suppression, oppression, confiscation, trauma, stigma, manslaughter, kidnapping, mass killings, robbery, etc, etc.
Hakuna kipindi kibaya hapa tz kama miaka mitano ijayo kama nduli atarudi kitini ni Mungu pekee anaejua, maana si Kwa jeuri hii aliyoionesha nyangogo huyu kwenye awamu yake ya kwanza sasa awamu ya pili hakika waweza chinjwa hadharani.
 
It will certainly be very bad kwa watu wenye mawazo tofauti na yake.
The guy is sadist so he enjoys the sufferings of others, in order for him to have laughter there should be torturing, groaning, suppression, oppression, confiscation, trauma, stigma, manslaughter, kidnapping, mass killings, robbery, etc, etc.
Hakuna kipindi kibaya hapa tz kama miaka mitano ijayo kama nduli atarudi kitini ni Mungu pekee anaejua, maana si Kwa jeuri hii aliyoionesha nyangogo huyu kwenye awamu yake ya kwanza sasa awamu ya pili hakika waweza chinjwa hadharani.
 
His sadistic nature inaonekana wakati watu wako katika matatizo fulani km maafa kule Kagera, "mtaiita gwala sh 500 tena", nk...
unachosema kinamfit kabisa mkuu,hata ule msemo wa vyuma vimekaza aliwahi kusema atazidi kuvikaza,naona leo kaahidi ndege 5 badala ya ajira
 
kuna maza fulani nilimkuta anamsifia Magufuli nikamuliza kwanini anampenda akaniambia kwamba amewabana matajiri na amenunua ndege na anafukuza watu kazi hataki mchezo
Samahani kwa lugha Kali
Nilikuwa mahali tunapiga stori na mama mmoja ni mnunuzi wa mazao hususan karanga anasema magufuli atawale miaka yote nikauliza kwanini, alijibu hataki mchezo anatumbua watumishi nikauliza kingine tunaheshimiana sasa hv, nikajaribu kumueleza mama unanunua karanga vijijini hazijabanguliwa unalipa ushuru (zikiwa na maganda), unabangua unasafirisha unalipa ushuru (zikimenywa) sasa unachofurahia mbona kwako hakina faida alikaa akasema dogo uko sahihi.
Nilichogundua watanzania tumeambukizwa roho mbaya na kufurahia matatizo ya watu
 
kuna mambo rais hapaswi kushauriwa ila anapaswa kujiongeza yeye kwa akili yake mwenyewe mfano swala la mishahara kwa watumishi rais anapaswa ajue watumishi wana hali mbaya bila kushauriwa
Nirudie maneno ya yule mbunge. "Mtumishi atakayeunga mkono bajeti hii ana ujasiri wa kujifunika shuka moja na nyoka" RIP mzee wangu.
 
Yule unavyomuona ni mtu wa kujiongeza ?

Simchukii Magufuli binafsi ila anasilka ya kitoto sana.
Uko sahihi. Ni kiongozi mbinafsi aliyejificha kwenye kisingizio cha kuwatetea wanyinge. Watumishi wa Tanzania ni kundi mojawapo la wanyonge. Amewanyonya hadi kumaliza damu halafu anawatishia.
Sanduku na lijibu amina.
 
Uko sahihi. Ni kiongozi mbinafsi aliyejificha kwenye kisingizio cha kuwatetea wanyinge. Watumishi wa Tanzania ni kundi mojawapo la wanyonge. Amewanyonya hadi kumaliza damu halafu anawatishia.
Sanduku na lijibu amina.
Ndiyo maana anatumia nguvu nyingi sana kutafuta approval
 
Back
Top Bottom