Ukiachana na faida zingine ambazo pengine labda zipo ila mimi sizijui ila faida moja ya wazi ni kuhamasisha tu.Kwani faida ya hizi Likes hua ni nini hasa?
Huenda mimi nipo nyuma ya muda au muda ndio upo nyuma yangu.
Haters bhana sasa kwann anaongea maneno machafu hivyo🤔Ulinitia wewe?
😂😂😂😂 sio kwamba ana mimba changaHapana mkuu , utani tu humu😆😆😆
Usizubae bhana! Usikii raha kumtia mtu mimba🙄Hapana mkuu , utani tu humu😆😆😆
Hapana mbona tunaanza kubambikiana mapema namna hiiKama nina mimba basi ni yako
Nina mimba yako DaudiHapana mbona tunaanza kubambikiana mapema namna hii
Kumbe ndio wanavyo fanya😁😁🤣🤣🤣Unakimbia!? Huwa yanaanza hivihivi ...ukitaniana na mtu tayari umedate nae🙌
Kumbe, lakini ukiona umetaniwa sana unafanya tu yaishe, maisha yenyewe mafupi kwanini ujibane🤣🤣🤣Unakimbia!? Huwa yanaanza hivihivi ...ukitaniana na mtu tayari umedate nae🙌
Hatujafikia huko mama, hata Roho mtakatifu hafanyi kazi namna hiyoNina mimba yako Daudi
Akiwa mtoto wa kiume tutamuita junior
Hahahaha ,sio kweliUsizubae bhana! Usikii raha kumtia mtu mimba🙄