WATOA MIKOPO TAFUTENU MBINU YA KUDAI NA SIO KUDHALILISHA WATU KUWA WANAJIUZA HII SIO SAWA

WATOA MIKOPO TAFUTENU MBINU YA KUDAI NA SIO KUDHALILISHA WATU KUWA WANAJIUZA HII SIO SAWA

je parle

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2018
Posts
2,022
Reaction score
3,919
niende moja kwa mbili kwenye mada kuu. kuna hawa watoa nikopo wa sasa kwa njia ya Mtandao Dah wanafanya kitu cha AJABU sana

hizi ni kampuni za HOVYO sana mana wanakopesha wanawake ambao hawana kazi yoyote MTAANI .Bali wanakula tu Hizo hela alafu wanashindwa kulipa na kudhalilishwa na watoa MIKOPO.!

Kwa mfano jirani yangu kabisa kumbe alikopa huko sijui alipatwa na balaa gani

BASI BWANA WAKAANZA KUTUMA SMS KWA KILA MDAU WAKE WA KARIBU

SMS
INASEMA HIVI
MIMI FULANI BIN FULANI NAJIUZA KWA BEI RAHISI. SANA KWA MAWASILIANO PIGA NAMBA HIZI 0***1235678

OMBI LANGU WASICHANA PUNGUZENI TAMAA ZA KUTAKA HELA ZA HARAKA AMBAZO HAMUWEZI KUZITAFUTA

KAMPUNI ZA MIKOPO KAMA HAMUWEZI KUKUSANYA MIKOPO YENU KWA HEKIMA ACHENI MARA MOJA KUKOPESHA WATU KWA KIGEZO CHA NAMBA YA NIDA TU. MANA SIKU MTAKUJA KUKOPWA KWA NAMBA ZA MAREHEMU.
 
niende moja kwa mbili kwenye mada kuu. kuna hawa watoa nikopo wa sasa kwa njia ya Mtandao Dah wanafanya kitu cha AJABU sana

hizi ni kampuni za HOVYO sana mana wanakopesha wanawake ambao hawana kazi yoyote MTAANI .Bali wanakula tu Hizo hela alafu wanashindwa kulipa na kudhalilishwa na watoa MIKOPO.!

Kwa mfano jirani yangu kabisa kumbe alikopa huko sijui alipatwa na balaa gani

BASI BWANA WAKAANZA KUTUMA SMS KWA KILA MDAU WAKE WA KARIBU

SMS
INASEMA HIVI
MIMI FULANI BIN FULANI NAJIUZA KWA BEI RAHISI. SANA KWA MAWASILIANO PIGA NAMBA HIZI 0***1235678

OMBI LANGU WASICHANA PUNGUZENI TAMAA ZA KUTAKA HELA ZA HARAKA AMBAZO HAMUWEZI KUZITAFUTA

KAMPUNI ZA MIKOPO KAMA HAMUWEZI KUKUSANYA MIKOPO YENU KWA HEKIMA ACHENI MARA MOJA KUKOPESHA WATU KWA KIGEZO CHA NAMBA YA NIDA TU. MANA SIKU MTAKUJA KUKOPWA KWA NAMBA ZA MAREHEMU.
Hizo, kampuni, ni, balaa, tena wale wanaotumia APSS, kwa, kutumia apps zao, wanaweza, kusoma contacts zote kwenye cm, ukishindwa kulipa mkopo,wanatuma SMS kwa watu wako wote wa, karibu, boss wako, baba, mama, mkwe,utashangaa unaanza, kupigiwa cm na, ndugu na, jamaa, kwamba kwanini umewaweka, wao, kama, wadhamini
 
Muda si mrefu nitaanza kuchukua pesa za hizo kampuni za mikopo maana naona ni za bure bure.
 
Na wewe kama huna hekima ya kulipa deni usikope,
Acha utapeli, hakuna hela ya bure.
Sahihi kabisa, kwa nini unakopa wakati hupendi kulipa?

Hiyo ndiyo dawa safi ya kukomesha wanaokopa kwa kufikiria zile ni pesa za bure.

Huu mtindo ulianza India, lazima itakuwa msimamizi ni muhindi.
 
Back
Top Bottom