Watoto 300+ Dodoma kulishwa wali wenye virutubisho kutoka USAID

Hebu muwe mnasoma na kufuatilia taarifa jamani...
 
Hivyo vyakula wapelekewe Palestina!
 
Yapo All over Germany mpaka najiuliza viongozi wetu wanafanya nini ?
Kuna mashirika ulaya wanatumia hiyo njia kujinufaisha sababu baadhi ya wazungu hawajui afrika na wanaambiwa huko ni eneo la jangwa wanaishi watu weusi ambao hata kulima hawajui.

Na wanaonyeshwa picha za maeneo hatarishi ambayo kamwe hayapo.
 
Kuna mashirika ulaya wanatumia hiyo njia kujinufaisha sababu baadhi ya wazungu hawajui afrika na wanaambiwa huko ni eneo la jangwa wanaishi watu weusi ambao hata kulima hawajui.

Na wanaonyeshwa picha za maeneo hatarishi ambayo kamwe hayapo.
Yaani hizo picha zipo nyingi nitazipiga siku nikiwa free na nitazipost huku na wanapewa hela kibao.
 
watuletee na nyama kwa kweli, hii nyama za wanyantuzu ngumu sana, unakula supu na stiki pembeni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…