Watoto na vyeti vya kuzaliwa zaidi ya kimoja

Watoto na vyeti vya kuzaliwa zaidi ya kimoja

co fm

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2016
Posts
1,541
Reaction score
2,487
Habarini,

Wanajamii kuna hili suala la wanawake kuwatafutia watoto zao cheti cha kuzaliwa zaidi ya kimoja. Katika vyeti hivyo unaweza kuta vipo vitatu na kila kimoja kina jina la baba tofauti kabisa.

Hii ni kwa sababu ya wao kuendelea kupata hela ya matunzo ya mtoto, unaweza kuta mtoto ana mababa hata wanne na wote wanatoa matunzo wakiaminishwa kwa hivyo vyeti vya kuzaliwa.

Serikali kupitia RITA napomba mtusaidie katika hili.
 
Uswahilini huu mchezo umetamalaki. Mawazo ya mwanamke fukara ni kupata hela ya matumizi, mawazo ya the noble woman ni kutengeneza hela endelevu kwa mikono yake yeye mwenyewe.

Hela inayozaa, ambayo ataweza kurithisha vizazi na vizazi. Noble woman hana haja na Lundo la vyeti vya kuzaliwa mtoto
 
Uswahilini huu mchezo umetamalaki. Mawazo ya mwanamke fukara ni kupata hela ya matumizi, mawazo ya the noble woman ni kutengeneza hela endelevu kwa mikono yake yeye mwenyewe.

Hela inayozaa, ambayo ataweza kurithisha vizazi na vizazi. Noble woman hana haja na Lundo la vyeti vya kuzaliwa mtoto
Mwanamke ni kiumbe cha ajabu sana
 
Mkuu fikiria out of box,usiangalie ulipo angukia angalia ulipojikwaa, hii ni kielelezo kingine tunaishi in a shithole country, hili lisingewezekana kama serikali ya CCM ingetuwekea systems za kama nchi zingine kuwa mtoto hawezi kutoka hospital baada ya kujifungia bila ya kuwa na birth certificate yenye ID number, hii number ataishi nayo na kufa nayo maana ndio Jina lake alilopewa na serikali, mtoto akizaliwa huku lingusenguse na kuingizwa kwenye systems, ujue ni nchi nzima systems yake itajua,kuanzia home affairs, police, banks, maduka etc etc
 
Pagumu apo mkuu ata wachangiaji wanasoma na kukimbia. Kws mchango wangu mdogo tu ni kwamba malezi katika jamii yamelegea sana mzigo wa malezi wsmeachiwa wamama wakati jukumu la malezi ni wote wawili japo anayekuwa accountable ni baba ambao ama wamenyang'anywa mamlaka ama uzembe ama nini sielewi. Ivi wewe baba ukifuatilia cheti cha kuzaliwa kule RITA unapungukiwa nini? Mimi binafsi documents za watoto wangu nazifuatilia mwenyewe katika ilo siitahi ushauri wa mtu. Swala la ADA mashuleni nalipa mimi sihitaji ushauri wa mtu. Wanaume acheni kukwepa majukumu afu mnaishia kulalamika.
 
Pagumu apo mkuu ata wachangiaji wanasoma na kukimbia. Kws mchango wangu mdogo tu ni kwamba malezi katika jamii yamelegea sana mzigo wa malezi wsmeachiwa wamama wakati jukumu la malezi ni wote wawili japo anayekuwa accountable ni baba ambao ama wamenyang'anywa mamlaka ama uzembe ama nini sielewi. Ivi wewe baba ukifuatilia cheti cha kuzaliwa kule RITA unapungukiwa nini? Mimi binafsi documents za watoto wangu nazifuatilia mwenyewe katika ilo siitahi ushauri wa mtu. Swala la ADA mashuleni nalipa mimi sihitaji ushauri wa mtu. Wanaume acheni kukwepa majukumu afu mnaishia kulalamika.
Umejibu utadhani umesikia kishindo sehemu na akili yako ikaidhinisha kilichotokea, kumbe kilichotokea halisi si hicho ulichohisi akilini mwako!

mada si ufuatiliaji na upatikanaji wa vyeti vya kuzaliwa.

Mada hapa ni namna "malaya" wanavyoweza kutengeneza vyeti vingi vya kuzaliwa kwa mtoto mmoja ili kuaminisha mahawara zake kibao kila mmoja kuwa mtoto ni wake kwa ajili ya kuwakamua matumizi ya mtoto husika.
 
Back
Top Bottom