Watoto wa Ilala miaka ya 80

Watoto wa Ilala miaka ya 80

Mr Sir1

JF-Expert Member
Joined
Sep 23, 2018
Posts
1,749
Reaction score
7,945
Leo nimejikuta nimekumbuka maisha ya zamani miaka 80 mpaka mwanzoni wa 2000 kwa wale tuliokulia Ilala.
Jana usiku nimepita Ilala mitaa ya sokoni nikashangaa mabadiliko makubwa niliyoyaona.

Kwa wale wanaijua ilala magorofa yalikuwa yanahesabika ilala. Kulikuwa na gorofa la Kidevu, Mzee Makaranga na Mzee Malapa. Lakini leo hii Ilala imekuwa kama Kariakoo.

Wa Ilala wenzangu tukutane hapa kukumbushana maisha ya enzi hizo. Karibuni
 
Pamejenga haswa... alafu mitaa imepewa majina ya mikao...
 
Leo nimejikuta nimekumbuka maisha ya zamani miaka 80 mpaka mwanzoni wa 2000 kwa wale tuliokulia Ilala.
Jana usiku nimepita Ilala mitaa ya sokoni nikashangaa mabadiliko makubwa niliyoyaona.

Kwa wale wanaijua ilala magorofa yalikuwa yanahesabika ilala. Kulikuwa na gorofa la Kidevu, Mzee Makaranga na Mzee Malapa. Lakini leo hii Ilala imekuwa kama Kariakoo.

Wa Ilala wenzangu tukutane hapa kukumbushana maisha ya enzi hizo. Karibuni
Wekapo basi kapicha
 
Leo nimejikuta nimekumbuka maisha ya zamani miaka 80 mpaka mwanzoni wa 2000 kwa wale tuliokulia Ilala.
Jana usiku nimepita Ilala mitaa ya sokoni nikashangaa mabadiliko makubwa niliyoyaona.

Kwa wale wanaijua ilala magorofa yalikuwa yanahesabika ilala. Kulikuwa na gorofa la Kidevu, Mzee Makaranga na Mzee Malapa. Lakini leo hii Ilala imekuwa kama Kariakoo.

Wa Ilala wenzangu tukutane hapa kukumbushana maisha ya enzi hizo. Karibuni
v jumbe masesa pale ilala flat bd yupo? ,muuza chips balafaa yupo?

Ilala kwa sasa si ile ya zamani
 
Ilala magorofa mbona bado yakuhesabu tu.
Kwa mlinganisho wa gorofa 3 za miaka hayo na magorofa ya apartments yaliyojaa mitaani kwa sasa basi hakika ni mengi mno ndugu.
 
Back
Top Bottom