miss strong
JF-Expert Member
- Jul 4, 2012
- 7,012
- 3,700
alafu useme nakuonea kumbe wengi tumekuona.....usiwe mkali ni kawaida yenu kuwatokea hasa kwa mtu mnaomzimika....na hongera wenzako hali kama hiyo kamwe hawaipati hata sehemu nyingine nyingne.....ila kuna wengine hata wakisikia mlio wa piki piki wanawet......nikawaida uliza jf doctor
Acha zako bhana.....mpaka mlio wa kitukutuku inshu c inshu.
Ila tuongee ukwel Yo yo,picha hiyo unaionaje ukilinganisha na picha za hic karibuni.
R.i.p Bro!