figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
Mkuu uungwana ni vitendo......huu uzi ni wa kwake ili nisiuharibu nilimwambia yaishe ili wengine waendelee kuchangia.
Mabishano mengine hayana tija!
cc Mia....,bily....!
Umeona madhara ya kujipendekeza kwa mapimbi kama huyo!?
Ha ha ha ha ha.......!
mkuu mi nakuheshimu sana ebu tuambie juu ya hili ilikuaje au ni uzushi tu wa kimanzese na keko.
Usijali......!
Mambo madogo hayo,si unajua huu sio uzi wa hayo mambo.
Ni vyema kujadili jambo husika katika uzi husika.
Ila tukumbuke maisha ni mbegu kwahiyo tutavuna kulingana na mbegu gani tumepanda katika maisha.
Duuuh jamaa alikuwa handsome jamani.
Duuuh jamaa alikuwa handsome jamani.
tatizo la mashori dizaini yako mkiona mtu ana hela lazima huko chini palowe.....utamsifia kwa kila kitu ilmradi mumteke....shindwa